CHADEMA yaisambaratisha CCM Kyela

CHADEMA yaisambaratisha CCM Kyela

Watu kama Simiyu yetu wasipoandaliwa kisaikolojia kwa msimamo huo watakuwa wendawazimu 2015 au watatumiwa vibaya na wasiasa wenye uchu wa madaraka na wasiokubali kushindwa. Msimamo wao nitishio si tu kwa usalama wao bali wataifa. Ni raisi sana kupewa majambia na virungu wafanye watakavyo ilimradi watangazwe washindi.

Nivizuri watambuliwe mapema hata kama wanatumia id fake....iyo kazi nawakabizi tiss, Kova na team yake.
 
Una Roho ngumu wewe!!!
haizidi ya yuda mkariose Dr Slaa, kwani anauwezo wa kusema uhongo mbele ya madhabauni. mzee mzinzi kinoma sijui tujifunze nini sisi kama Dr Slaa hajafunga ndoa hadi sasa.
 
Kuna shm magamba wanajua hata watumie mbinu zote chafu kamwe hawatoiweza CHADEMA
 
CHADEMA kwao hata mbuzi wa mwanaccm wakienda kwenye zizi la mwanachadema wanasema CCM imebomoka ni watu wa ajabu sana.

CCM kwao hata kwa mganga wa kienyeji ni nyumba ya mungu. Mbayuwayu nyie!!!
1384347_344364132367260_1116346923_n.jpg
 
Wajomba wamekwisha,kwa mtindo wa kuweka wazi uchovu wa ccm TUNAKUPONGEZA
 
Kuna mzee anaitwa ZED wa nyakato mwanza tumemficha hii taarifa asife ghafla..
 
CCM kwao hata kwa mganga wa kienyeji ni nyumba ya mungu. Mbayuwayu nyie!!!
1384347_344364132367260_1116346923_n.jpg

Khaaaa! inatishaaa kama nini! mara scoan mara waganga wa kienyeji. Na bado maana nasikia maccm ni utawala wa maruani....which I may think so. Uwezi kutawala nchi ikaendekea kuwa maskini kiasi hiki kama si mashart ya mapepo.
 
Mkuu simiyu yetu au Chenge, kwa kweli la kuvunda halina ubani.
Maumivu huanza polepole
 
Nashindwa kuamini kwamba Mwakyembe anapoteza umaarufu wake jimboni haraka kiasi hiki. Nini kinasababisha hali hii wakati 2010 alishinda kwa kishindo!!! na kama nakumbuka vizuri CDM walim'support'???

Kasha jiunga na Ukoo wa panya!
 
mkuu kwa walio kyela watanielewa kwamba ukiingia pale mjini kyela kila kona kuna bendera na matawi ya chadema.bendera za ccm ni za kuokoteza.

lazima uamini.kwani we hupendi demokrasial? Au hupendi na maendeleo? Kwahiyo chadema ni demokrasia na maendeleo chanya daima.hvy mwakyembe, mangula.nk ufahamu ukiwarudia watarudi chadema.
 
Ikolo ndo kwao mwakyembe, na navyongea nipo apa mjini kyela, sasa unabisha mwakyembe hakufukuzwa stenf pale

he?! upo kyela mjini? ha ha ha ha... ivi kumbe nabishana na osama habari za ndevu? lile la stendi lilikuwa dogo ndomyana. saaawa alifukuzwa, lakini kinachoendelea sasa si kumchukia mwakyembe ninavyojua mie. kule ccm kuna makundi ya kina half london na huyo meya wa sasa. wakielewana hayo makundi yakatoweka ccm inakuwa haina shida kabisa hapo kyela. sasa unambie kitu gani kitatokea huyu mtu wa mwakyembe anajitia anahamia chadema leo makundi yakimalizwa. si ataruka tu kiukuta akiwa na siri cha chadema. kyela yenyewe hata kwenye kiganja haijai. patakuwa na siri gani za kisiasa hapo mtu akikaa nanyi hata wiki akauzulia vikao viwili vitatu keshawajua. mimi nina wasiwasi sana na huyo juma wako.
 
Mkuu umenifaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
he?! upo kyela mjini? ha ha ha ha... ivi kumbe nabishana na osama habari za ndevu? lile la stendi lilikuwa dogo ndomyana. saaawa alifukuzwa, lakini kinachoendelea sasa si kumchukia mwakyembe ninavyojua mie. kule ccm kuna makundi ya kina half london na huyo meya wa sasa. wakielewana hayo makundi yakatoweka ccm inakuwa haina shida kabisa hapo kyela. sasa unambie kitu gani kitatokea huyu mtu wa mwakyembe anajitia anahamia chadema leo makundi yakimalizwa. si ataruka tu kiukuta akiwa na siri cha chadema. kyela yenyewe hata kwenye kiganja haijai. patakuwa na siri gani za kisiasa hapo mtu akikaa nanyi hata wiki akauzulia vikao viwili vitatu keshawajua. mimi nina wasiwasi sana na huyo juma wako.
 
Mkuu umenifananisha, mi sio wa aina hyo ya hao unaowasema,. Ula mwakyembe saivi hana hata wapambe ko hata wapatane vp hyu jamaa hana chake
he?! upo kyela mjini? ha ha ha ha... ivi kumbe nabishana na osama habari za ndevu? lile la stendi lilikuwa dogo ndomyana. saaawa alifukuzwa, lakini kinachoendelea sasa si kumchukia mwakyembe ninavyojua mie. kule ccm kuna makundi ya kina half london na huyo meya wa sasa. wakielewana hayo makundi yakatoweka ccm inakuwa haina shida kabisa hapo kyela. sasa unambie kitu gani kitatokea huyu mtu wa mwakyembe anajitia anahamia chadema leo makundi yakimalizwa. si ataruka tu kiukuta akiwa na siri cha chadema. kyela yenyewe hata kwenye kiganja haijai. patakuwa na siri gani za kisiasa hapo mtu akikaa nanyi hata wiki akauzulia vikao viwili vitatu keshawajua. mimi nina wasiwasi sana na huyo juma wako.
 
Mkuu umenifananisha, mi sio wa aina hyo ya hao unaowasema,. Ula mwakyembe saivi hana hata wapambe ko hata wapatane vp hyu jamaa hana chake

ni kweli kwamba mwakyembe alijiingiza mkenge kukubali uwaziri kwenye system lililooza. sema tu uzoefu wangu kule kyela ni kwamba kuna watu wenye misimamo sana. sijafika kyela kwa muda mrefu kidogo lakini nakumbuka kyela wamewahi kusema wanampenda mwakyembe ingawa chama chake hawakitaki. Je wameamua sasa kumtupilia mbali kwa sababu ya ung'ang'anizi wake kwenye CCM? au kuna lipi hasa...

em niambie wametoa sababu zipi kuachana naye kwa sasa, labda naweza kukuelewa mkuu. bahati wewe upo eneo la tukio kwa sasa wakati mie natumia majamaa zangu kwa long distance. haya. em nambie. katemwa kwa yepi hasa....
 
Mkuu haipo bujonde ipo ikolo njiani tu pale kama unelekea ngonga, kamaliza tiyari kapaka rangi na kaweka sola ila ce wanakijiji wenzake hatudanganyiki kwa hilo

nashukuru kama mmeshituka kama mimi .
 
Back
Top Bottom