CHADEMA yaisambaratisha CCM Kyela

CHADEMA yaisambaratisha CCM Kyela

Ushauli wa bure kwa Dr. Mwakyembe kwa umaarufu wake namuomba 2015 asijaribu kugombea tena kwani atauporomosha umaarufu wake maladufu sisi kweli hapa Kyela hatutaki tena ccm hata kwa AK47 huku kwetu Matema beach tumejipanga zaidi kumuondoa mkoloni mweusi ccm.

asanteni sana wanakyela tunawashukuru sana , kuikataa ccm ni sawa na kumkataa shetani .
 
Yaani kijana wa MABOMU kutoka China mnamuita Mbwa?
Tumwiteje sasa kama kila siku anafumaniwa?!!!... na kila mwanachama mpya anamtaka.... asipopewa sevisi anamporomosha kisiasa...
 
Kiukweli sishaangaii CCM kubomoka kyela kwan mambo mengi ya kimaendeleo yamesimama wamebakia kumsifia Mwakyembe na km 3 za barabara ya ipinda.Watu wa kyela tumelala leo hii ukienda kilasilo,mbako,ibungu,mpka mwigo maji ya bomba ni hadithi yanatumika boda kasumulu.Shule kongwe ya ITOPE SEC imetelekezwa wkt ndyo shule kongwe na imetoa wasomi wengi na nyumba za waalimu zimegeuzwa mabanda ya kufugia kuku.nguzo za umeme shulen zmeng'olewa.ninatumain vjana wa kikusya (kona),itope wanashukuru kisma cha mwaipopo na kwa bulenge lasivyo maji ya mto kiwira ilkuwa halali yao.wana kyela ikimbien CCM ni haina dira nanyi
 
Nashindwa kuamini kwamba Mwakyembe anapoteza umaarufu wake jimboni haraka kiasi hiki. Nini kinasababisha hali hii wakati 2010 alishinda kwa kishindo!!! na kama nakumbuka vizuri CDM walim'support'???

Mwakyembe anausaka urais lakini anasahau kuwa bila support ya watu wa Mbeya na hasa hasa Kyela hawezi kufika popote; he should learn from what happened to Mwandosya in 2005!!! Huwezi kushupalia kukamata wauza madawa ya kulevya feki huku ukisahau kuwa Kyela kuna port ya Itungi ambayo inahitaji matengenezo!!!
 
Mwakyembe anausaka urais lakini anasahau kuwa bila support ya watu wa Mbeya na hasa hasa Kyela hawezi kufika popote; he should learn from what happened to Mwandosya in 2005!!! Huwezi kushupalia kukamata wauza madawa ya kulevya feki huku ukisahau kuwa Kyela kuna port ya Itungi ambayo inahitaji matengenezo!!!
Mkuu itungi port pamechakaa utadhani hapatumiki na gamba M'kyembe linashinda Dsm, 2015 wampigie kura watu wa Dsm!
 
Back
Top Bottom