CHADEMA yaisambaratisha CCM Kyela

CHADEMA yaisambaratisha CCM Kyela

Nashindwa kuamini kwamba Mwakyembe anapoteza umaarufu wake jimboni haraka kiasi hiki. Nini kinasababisha hali hii wakati 2010 alishinda kwa kishindo!!! na kama nakumbuka vizuri CDM walim'support'???

Mkuu kwa walio Kyela watanielewa kwamba ukiingia pale mjini Kyela kila kona kuna bendera na matawi ya chadema.Bendera za CCM ni za kuokoteza.
 
Chama cha Demokrasia na maendeleo-CHADEMA kimeibomoa vibaya ngome ya waziri wa Uchukuzi Harisson Mwakyembe jimboni kwake Kyela.

Hali hiyo imetokea baada ya mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Mbeya Juma Mwalunga kujiunga na CHADEMA na kulaani CCM kwamba ni chama kilichochoka na kinapaswa kuondolewa madarakani mara moja.

Kiongozi huyo alikuwa ni nguzo kuu ya CCM jimboni Kyela na ndiye aliongoza kampeni za CCM jimboni humo.

Wanachama kadhaa wa CCM waliohojiwa kuhusu uamuzi huo wameshtushwa na kusema ni wazi CCM itazikwa Kyela.

Source:Tanzania Daima.



Hii habari inanitia shaka sana. Hiki ni kipindi cha wapelelezi kuhama vyama. Kyela wanampenda Mwakyembe. Najua hawaipendi CCM. Wanakyela wamemsihi sana Mwakyembe kuhamia CHADEMA aendelee kuwawakilisha lakini kana kawaida ya waandishi wa habari za zamani huwa watu wa misimamo sana. Mwakyembe ameng'ang'ania CCM.

Huyu Mwalunga atakuwa na mapenzi gani na CHADEMA? Nina mashaka sana na huyu atatangaza kurudi CCM miezi mitatu kabla ya uchaguzi 2015. mmh?! Mwalunga?
 
Chama cha Demokrasia na maendeleo-CHADEMA kimeibomoa vibaya ngome ya waziri wa Uchukuzi Harisson Mwakyembe jimboni kwake Kyela.

Hali hiyo imetokea baada ya mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Mbeya Juma Mwalunga kujiunga na CHADEMA na kulaani CCM kwamba ni chama kilichochoka na kinapaswa kuondolewa madarakani mara moja.

Kiongozi huyo alikuwa ni nguzo kuu ya CCM jimboni Kyela na ndiye aliongoza kampeni za CCM jimboni humo.

Wanachama kadhaa wa CCM waliohojiwa kuhusu uamuzi huo wameshtushwa na kusema ni wazi CCM itazikwa Kyela.

Source:Tanzania Daima.

Hii nimeipenda karibu uhuru utapatika.
 
simiyu yetu, mbona unaonekana tahaira bila sababu? yani ukiona thread inahusu cdm, unachokumbuka cha kwanza ni dr slaa. Kwani dr slaa kawafanyeje ccm jamani? alaf ukitaka kujua maccm yasiyojiamini, yakiona thread yenye msisimuko, hayawezi kutulia yakatoa mchango mzima, uwa yanaandika maneno matatu, yanakaa, yanawashwa tena yanaandika tena, yanakaa yanaandika tena,,,,yani utadhani kichaa kashika kalamu. Ebu basi tulieni japo kila thread uweke mchango wa maana ila kuropoka ropoka inaonesha hawa mijitu hawana amani, kila dakika arudi kuchungulia, aandika ,aaandika dah tulieni basi....lete mchango kamili. Ukipata ujue wangu wajulishe na wenzio.
 
Mkuu asante sana kwa taarifa , japo nilikuwa nakunywa chai ya rangi tena kavu , lakini najiona kama natafuna mchemsho wa mbuzi !
 
hivi Mwakyembe amemaliza kukarabati ile nyumba yake ya Bujonde ? Maana mkakati ulikuwa kuwazuga wanakijiji aonekane kwamba naye ni mkazi mwenzao ! Huku yeye anakula kuku Dar !
 
simiyu yetu, mbona unaonekana tahaira bila sababu? Yani ukiona thread inahusu cdm, unachokumbuka cha kwanza ni dr slaa. Kwani dr slaa kawafanyeje ccm jamani? Alaf ukitaka kujua maccm yasiyojiamini, yakiona thread yenye msisimuko, hayawezi kutulia yakatoa mchango mzima, uwa yanaandika maneno matatu, yanakaa, yanawashwa tena yanaandika tena, yanakaa yanaandika tena,,,,yani utadhani kichaa kashika kalamu. Ebu basi tulieni japo kila thread uweke mchango wa maana ila kuropoka ropoka inaonesha hawa mijitu hawana amani, kila dakika arudi kuchungulia, aandika ,aaandika dah tulieni basi....lete mchango kamili. Ukipata ujue wangu wajulishe na wenzio.

kuna taarifa inasambaa kwa kasi sana kwamba vijana wa lumumba wamenunuliwa vitendea kazi kwa ajili ya kumshambulia binafsi kabisa slaa mitandaoni , wako kazini , wanalipwa , wanajikimu , ndiyo zile ajira mil 1 , wala usihangaike naye !
 
Hyu mtu hajui kwanini ni mbunge wa kyela make hajui kabisa kuwatumikia wananchi wa kyela hua anachukiwa sana hapa kyela
Nashindwa kuamini kwamba Mwakyembe anapoteza umaarufu wake jimboni haraka kiasi hiki. Nini kinasababisha hali hii wakati 2010 alishinda kwa kishindo!!! na kama nakumbuka vizuri CDM walim'support'???
 
Kyela ipi wanayompenda mwaktembe wewe kijana, acha kutufanya mazuzu watu wa kyela ci tushajitambua kitambo,. Mwakyembe ashawai fukuzwa stend askanyage sasa we umetoa wapi upotoshwaji huu
Hii habari inanitia shaka sana. Hiki ni kipindi cha wapelelezi kuhama vyama. Kyela wanampenda Mwakyembe. Najua hawaipendi CCM. Wanakyela wamemsihi sana Mwakyembe kuhamia CHADEMA aendelee kuwawakilisha lakini kana kawaida ya waandishi wa habari za zamani huwa watu wa misimamo sana. Mwakyembe ameng'ang'ania CCM.

Huyu Mwalunga atakuwa na mapenzi gani na CHADEMA? Nina mashaka sana na huyu atatangaza kurudi CCM miezi mitatu kabla ya uchaguzi 2015. mmh?! Mwalunga?
 
Chama cha Demokrasia na maendeleo-CHADEMA kimeibomoa vibaya ngome ya waziri wa Uchukuzi Harisson Mwakyembe jimboni kwake Kyela. Hali hiyo imetokea baada ya mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Mbeya Juma Mwalunga kujiunga na CHADEMA na kulaani CCM kwamba ni chama kilichochoka na kinapaswa kuondolewa madarakani mara moja. Kiongozi huyo alikuwa ni nguzo kuu ya CCM jimboni Kyela na ndiye aliongoza kampeni za CCM jimboni humo. Wanachama kadhaa wa CCM waliohojiwa kuhusu uamuzi huo wameshtushwa na kusema ni wazi CCM itazikwa Kyela. Source:Tanzania Daima.
tanzania daima mbona ni gazeti la udaku? huo ni usanii.
 
Mkuu haipo bujonde ipo ikolo njiani tu pale kama unelekea ngonga, kamaliza tiyari kapaka rangi na kaweka sola ila ce wanakijiji wenzake hatudanganyiki kwa hilo
hivi Mwakyembe amemaliza kukarabati ile nyumba yake ya Bujonde ? Maana mkakati ulikuwa kuwazuga wanakijiji aonekane kwamba naye ni mkazi mwenzao ! Huku yeye anakula kuku Dar !
 
Mkuu asante sana kwa taarifa , japo nilikuwa nakunywa chai ya rangi tena kavu , lakini najiona kama natafuna mchemsho wa mbuzi !
hakuna atakayeshangaa, unakula ugali kwa picha ya samaki sembuse chai? Josephine na Dr wanakula kuku kwa mrija wakati wenzangu na mimi mnataabika Tz. kweli akili ni mali.
 
jamani nilishasema kitambo kuwa mwakyembe msimuogope kwa kumsikia kwa sifa za kwenye magazeti,ni mbovu sn hapendwi kyela kama shetani kajaza makundi tupu kwenye chama chake kwa upande wa maendeleo hakuna alichokifanya chochote,mpk hatua yake ya kutangaza kuwa 2015 hatagombea ni baada ya kuona upepo mgumu kwake kisiasa,nenda shm kama kyela mjini,matema,ipinda,mwaya,lugombo,tenende,ipande na ngonga hawampendi hata kumsikia.
 
hata wananchi wameshastuka ??
hizi zama za
----- KUSHTUKA ??
kama sisiem bado wana imani na wananchi, kwa sasa wananchi hawana imani na sisiem pengne itumike kazi ya ziada.
 
Chama cha Demokrasia na maendeleo-CHADEMA kimeibomoa vibaya ngome ya waziri wa Uchukuzi Harisson Mwakyembe jimboni kwake Kyela.

Hali hiyo imetokea baada ya mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Mbeya Juma Mwalunga kujiunga na CHADEMA na kulaani CCM kwamba ni chama kilichochoka na kinapaswa kuondolewa madarakani mara moja.

Kiongozi huyo alikuwa ni nguzo kuu ya CCM jimboni Kyela na ndiye aliongoza kampeni za CCM jimboni humo.

Wanachama kadhaa wa CCM waliohojiwa kuhusu uamuzi huo wameshtushwa na kusema ni wazi CCM itazikwa Kyela.

Source:Tanzania Daima.
Ushauli wa bure kwa Dr. Mwakyembe kwa umaarufu wake namuomba 2015 asijaribu kugombea tena kwani atauporomosha umaarufu wake maladufu sisi kweli hapa Kyela hatutaki tena ccm hata kwa AK47 huku kwetu Matema beach tumejipanga zaidi kumuondoa mkoloni mweusi ccm.
 
simiyu una kazi nzito ya kupambana na kuitetea chama cha majambazi!!! Hivi UNAFANYA KAZI KWELI!
 
Back
Top Bottom