CHADEMA yaisambaratisha CCM Chato

CDM bado kaz ni nzito sana...
Endeleeni tu kujibaraguza hapa JF cuz huu ndio uwanja wenu pamoja na gazeti lenu la TZ Daima. CCM inajua inachokifanya. Hawafanyi mambo kwa kurupuka kama CDM wala hawaitaji kujitangaza humu kila siku.

Aliyoyafanya Mangufuli Chato sidhani kama ana mpinzani yoyote anaweza kuyafanya. Kwa kifupi Chato hapaingiliki.

Ushauri wangu kwenu CDM, endelee kujiimarisha Arusha, Moshi mjini, Mbeya mjini na Iringa. Tumieni resources zenu kidogo mlizo nazo kutoka kwa Sabodo kufanya mikutano huko. Huko kwingine hampawezi!!!!

Lengo kuu la cdm siyo kuangalia kilichofanywa na mzee wa lubambagwe.bali ni kuing'oa ccm madarakani ambayo imeoza na viongozi wake wengi wameoza ambao wanawafanya hata wale waadilifu wachache wasifanye kazi inavyotakiwa.sasa km makufuli atakuwa bado yuko ndani ya ccm sidhani km atasalimika.
 
CDM bado kaz ni nzito sana...
Endeleeni tu kujibaraguza hapa JF cuz huu ndio uwanja wenu pamoja na gazeti lenu la TZ Daima. CCM inajua inachokifanya. Hawafanyi mambo kwa kurupuka kama CDM wala hawaitaji kujitangaza humu kila siku.

Aliyoyafanya Mangufuli Chato sidhani kama ana mpinzani yoyote anaweza kuyafanya. Kwa kifupi Chato hapaingiliki.

Ushauri wangu kwenu CDM, endelee kujiimarisha Arusha, Moshi mjini, Mbeya mjini na Iringa. Tumieni resources zenu kidogo mlizo nazo kutoka kwa Sabodo kufanya mikutano huko. Huko kwingine hampawezi!!!!

ongeza na haya,
kanda ya ziwa
nyanda za juu kusini na
central zone
USIFICHE UKWELI KUHUSU COVERAGE YA CHADEMA ,KUWA MZALENDO ,KUWA MWANAMAPINDUZI.
 
Hayo ndio ukisikia magamba, yanapukutika yenyewe. Huyo kajuwa hana ubavu kwa Magufuli nae ana uchu wa madaraka, afanye nini? shortcut ni kuvaa gwanda, kama Slaa. Sishangai baada ya siku mbili tatu nikasikia ni mgombea Urais kupitia magwanda.
Dhaifu zaid ya wenzako
 
hii ni taarifa nzuri sana kwangu na kwa wapenda maguzi wote....bye,bye mzee wa kupiga mbizi
 
CDM bado kaz ni nzito sana...
Endeleeni tu kujibaraguza hapa JF cuz huu ndio uwanja wenu pamoja na gazeti lenu la TZ Daima. CCM inajua inachokifanya. Hawafanyi mambo kwa kurupuka kama CDM wala hawaitaji kujitangaza humu kila siku.

Aliyoyafanya Mangufuli Chato sidhani kama ana mpinzani yoyote anaweza kuyafanya. Kwa kifupi Chato hapaingiliki.

Ushauri wangu kwenu CDM, endelee kujiimarisha Arusha, Moshi mjini, Mbeya mjini na Iringa. Tumieni resources zenu kidogo mlizo nazo kutoka kwa Sabodo kufanya mikutano huko. Huko kwingine hampawezi!!!!

Kikuumacho nini? Ndondo si chululu kwani wahenga walinena haba na haba hujaza kibaba.
 
CDM bado kaz ni nzito sana...
Endeleeni tu kujibaraguza hapa JF cuz huu ndio uwanja wenu pamoja na gazeti lenu la TZ Daima. CCM inajua inachokifanya. Hawafanyi mambo kwa kurupuka kama CDM wala hawaitaji kujitangaza humu kila siku.

Aliyoyafanya Mangufuli Chato sidhani kama ana mpinzani yoyote anaweza kuyafanya. Kwa kifupi Chato hapaingiliki.

Ushauri wangu kwenu CDM, endelee kujiimarisha Arusha, Moshi mjini, Mbeya mjini na Iringa. Tumieni resources zenu kidogo mlizo nazo kutoka kwa Sabodo kufanya mikutano huko. Huko kwingine hampawezi!!!!

Nadhani umeanza kuuamini uongo mliojitungia wenyewe kuhusu CHADEMA. Keep on dreaming, ya Arumeru ni cha mtoto (na kumbuka mlichosema huko).
 
CDM bado kaz ni nzito sana...
Endeleeni tu kujibaraguza hapa JF cuz huu ndio uwanja wenu pamoja na gazeti lenu la TZ Daima. CCM inajua inachokifanya. Hawafanyi mambo kwa kurupuka kama CDM wala hawaitaji kujitangaza humu kila siku.

Aliyoyafanya Mangufuli Chato sidhani kama ana mpinzani yoyote anaweza kuyafanya. Kwa kifupi Chato hapaingiliki.

Ushauri wangu kwenu CDM, endelee kujiimarisha Arusha, Moshi mjini, Mbeya mjini na Iringa. Tumieni resources zenu kidogo mlizo nazo kutoka kwa Sabodo kufanya mikutano huko. Huko kwingine hampawezi!!!!

Ushabiki wa kishenzi sana, kwa hiyo shinyanga, mwanza, Singida, Katavi, Rukwa, Dar huko kote ni ccm? ccm wamekupa nini rejeo? Au kwa sababu tu hamtungi mimba? tungeshajua nape anachowapa, bila shaka ni zaidi ya pesa? Mnatia kichefu chefu kweli.
 
​uuwi una ndoto za mchana mbona mapovu yanawatoka mkiwaona chadema si wanakurukupa?
CDM bado kaz ni nzito sana...
Endeleeni tu kujibaraguza hapa JF cuz huu ndio uwanja wenu pamoja na gazeti lenu la TZ Daima. CCM inajua inachokifanya. Hawafanyi mambo kwa kurupuka kama CDM wala hawaitaji kujitangaza humu kila siku.

Aliyoyafanya Mangufuli Chato sidhani kama ana mpinzani yoyote anaweza kuyafanya. Kwa kifupi Chato hapaingiliki.

Ushauri wangu kwenu CDM, endelee kujiimarisha Arusha, Moshi mjini, Mbeya mjini na Iringa. Tumieni resources zenu kidogo mlizo nazo kutoka kwa Sabodo kufanya mikutano huko. Huko kwingine hampawezi!!!!
 
​mmeshikwa pabaya mbona kampeni hajizaanza mnaanza kutokwa na mapovu eewe mungu niweke hai 2015 nione chadema wakiongoza wanawe kutoka utumwani misri ccm pazuri hapo
hayo ndio ukisikia magamba, yanapukutika yenyewe. Huyo kajuwa hana ubavu kwa magufuli nae ana uchu wa madaraka, afanye nini? Shortcut ni kuvaa gwanda, kama slaa. Sishangai baada ya siku mbili tatu nikasikia ni mgombea urais kupitia magwanda.
 
Mkurugenzi wa ulinzi na usalama wa CDM Wilfred Lwakatare ameongoza mkutano mkubwa wa hadhara uliofanyika viwanja vya S/M Chato na kuwavua gamba viongozi na wanachama wa CCM wapatao 80.Kati ya waliojivua Gamba ni Mhadhiri wa chuo kikuu cha Mzumbe Dr.Benedicto Lukanima ambaye alishika nafasi ya pili kwenye kura za maoni kugombea ubunge kupitia CCM nyuma ya Dr Magufuli.
Wengine waliojitoa CCM ni mjumbe wa mkurano mkuu UVCCM,wenyeviti wa vitongoji na wa serikali za vijiji.Wachunguzi wa mambo ya kisiasa mkoani hapa wanadai kwa sasa jimbo la Chato ni ngome kuu ya CDM.

Source:Tanzania Daima Jumapili.
Katika mkutano wa Chato hii nimeipenda,
Lwakatare alimuita Dk. Magufuli bingwa wa takwimu aliyeshindwa kuwaletea maendeleo wananchi wake, licha ya kuwa waziri kwa muda mrefu serikalini.
”Magufuli ni bingwa mkubwa wa takwimu. Anaweza kuwaambieni hadi samaki walio na mimba Ziwa Victoria. Lakini ameshindwa kutoa takwimu za wanafunzi wanaokwenda shuleni bila viatu wala ‘yebo yebo’.
 
Ama kweli hii ni dhoruba!!!!mpaka Chato napenyewe nyinyiem wako hoi??? eeeeh! Eee Mungu niweke hai mpaka 2015 nione jinsi magamba yanavyokuwa chama pinzani!!!!
 
Ina maana huyo mhadhiri wa mzumbe naye alikuwa kati ya wale watatu wailiotakiwa kujivua magamba?
 
CDM bado kaz ni nzito sana...
Endeleeni tu kujibaraguza hapa JF cuz huu ndio uwanja wenu pamoja na gazeti lenu la TZ Daima. CCM inajua inachokifanya. Hawafanyi mambo kwa kurupuka kama CDM wala hawaitaji kujitangaza humu kila siku.

Aliyoyafanya Mangufuli Chato sidhani kama ana mpinzani yoyote anaweza kuyafanya. Kwa kifupi Chato hapaingiliki.

Ushauri wangu kwenu CDM, endelee kujiimarisha Arusha, Moshi mjini, Mbeya mjini na Iringa. Tumieni resources zenu kidogo mlizo nazo kutoka kwa Sabodo kufanya mikutano huko. Huko kwingine hampawezi!!!!

hahaaaa ngumu kumeza Rejao hzo sehemu nilizo bold zilikua ni ngome zenu lakini mkazipoteza ndio hivyo mkuu hata hapo Chato mtapoteza
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom