Tukundane
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 11,455
- 8,248
CDM bado kaz ni nzito sana...
Endeleeni tu kujibaraguza hapa JF cuz huu ndio uwanja wenu pamoja na gazeti lenu la TZ Daima. CCM inajua inachokifanya. Hawafanyi mambo kwa kurupuka kama CDM wala hawaitaji kujitangaza humu kila siku.
Aliyoyafanya Mangufuli Chato sidhani kama ana mpinzani yoyote anaweza kuyafanya. Kwa kifupi Chato hapaingiliki.
Ushauri wangu kwenu CDM, endelee kujiimarisha Arusha, Moshi mjini, Mbeya mjini na Iringa. Tumieni resources zenu kidogo mlizo nazo kutoka kwa Sabodo kufanya mikutano huko. Huko kwingine hampawezi!!!!
Lengo kuu la cdm siyo kuangalia kilichofanywa na mzee wa lubambagwe.bali ni kuing'oa ccm madarakani ambayo imeoza na viongozi wake wengi wameoza ambao wanawafanya hata wale waadilifu wachache wasifanye kazi inavyotakiwa.sasa km makufuli atakuwa bado yuko ndani ya ccm sidhani km atasalimika.