CHADEMA yaingiza Pikipiki 252 kuimarisha chama

CHADEMA yaingiza Pikipiki 252 kuimarisha chama

Joined
Dec 11, 2010
Posts
3,321
Reaction score
6,331
Chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kimeingiza pikipiki 252 zitakazo tawanywa kwenye maeneo mbalimbali kwa ajili ya kuimarisha zoezi la CHADEMA ni msingi ambalo linaendelea nchi nzima likisimamiwa na kanda zilizoundwa mapema mwaka jana (2013), huu ni muendelezo wa kuziwezesha kanda ziweze kuendelea kufanya kazi kwa ufanisi kwa maendeleo endelevu ya chama.

Pikipiki hizo pia zitakuwa msaada mkubwa katika kipindi hiki ambapo chaguzi ndani ya chama zinaendelea kwenye maeneo mbalimbali hapa nchini, lakini pia ni maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa vijiji na vitongoji unao tarajiwa kufanyika mapema mwezi Oktoba.

Lakini pia itakuwa muendelezo wa kuziimarisha kanda za chama, kama mtakumbuka kwenye uzinduzi wa kanda kila kanda ilipatiwa gari mpya aina ya Ford Ranger, Pikipiki mpya zenye brand ya CHADEMA M4C zaidi 126 zenye PA system zenye uwezo wakuhutubia umati wa watu kuanzia 500 hadi 1000 na Megaphone ndogo zaidi ya 256.



no1.jpg
Sehemu ya Shehena ya pikipi zilizowaingizwa jana

no 2.jpg

Wakati watendaji wa chama makao makuu wakiwa busy na kushirik kupokea pikipiki hizo, jana kuna uzi uliwekwa hapa ukiwa na kichwa "Watendaji wa CHADEMA makao makuu kugoma", na eti wanataka kumfungia katibu mkuu Dr Slaa ofisini ili kushinikiza kuongeza mishahara; Tuliupuuza kwa kuwa haukuwa na ukweli wowote bali ulijaa hekaya za kutunga zisizo kuwa na msingi kwa kuwa CHADEMA kinafanya mambo yake kwa utaratibu.

Mapambano yanaendelea ili kuzidi kuwaamsha watanzania dhidi ya ufisadi, ubadhirifu wa mali na nyara za umma na ukandamizaji wa haki za binadamu. Mpaka kieleweke.

no3.jpg
 
Chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kimeingiza pikipiki 252 zitakazo tawanywa kwenye maeneo mbalimbali kwa ajili ya kuimarisha zoezi la CHADEMA ni msingi ambalo linaendelea nchi nzima likisimamiwa na kanda zilizoundwa mapema mwaka jana (2013), huu ni muendelezo wa kuziwezesha kanda ziweze kuendelea kufanya kazi kwa ufanisi kwa maendeleo endelevu ya chama.

Pikipiki hizo pia zitakuwa msaada mkubwa katika kipindi hiki ambapo chaguzi ndani ya chama zinaendelea kwenye maeneo mbalimbali hapa nchini, lakini pia ni maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa vijiji na vitongoji unao tarajiwa kufanyika mapema mwezi Oktoba.



View attachment 162786
Sehemu ya Shehena ya pikipi zilizowaingizwa jana

View attachment 162786

Wakati watendaji wa chama makao makuu wakiwa busy na kushirik kupokea pikipiki hizo, jana kuna uzi uliwekwa hapa ukiwa na kichwa "Watendaji wa CHADEMA makao makuu kugoma", Tuliupuuza kwa kuwa haukuwa na ukweli wowote bali ulijaa hekaya za kutunga zisizo kuwa na msingi.

Mapambano yanaendelea ili kuzidi kuwaamsha watanzania dhidi ya ufisadi, ubadhirifu wa mali na nyara za umma na ukandamizaji wa haki za binadamu. Mpaka kieleweke.

Big up CDM!
 
Wanakopeshwa watendaji!!!!?????
Zinakuwa za ofisi!!!????
Ufadhili au pesa ya ndani!!??? Kama ufadhili wa nani na makubaliano yepi!!!!??????

Operation mode please na expected maintenance costs !!!!!

A matter of sustainability.....otherwise it is a good move!!!!!
 
Hizo pikipiki kila moja imegharimu shs ngapi?

MSALANI,

Taarifa itatolewa Rasmi Kwenye Vikao kupitia vyombo vya uwakilishi katika uendeshaji wa chama yaani sekretarieti,Kamati Kuu na Baraza Kuu ambavyo vipo kwa niaba ya wanachama,wapenzi na Wafuasi wa CHADEMA na harakati za Mageuzi kwa ujumla
 
Last edited by a moderator:
Chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kimeingiza pikipiki 252 zitakazo tawanywa kwenye maeneo mbalimbali kwa ajili ya kuimarisha zoezi la CHADEMA ni msingi ambalo linaendelea nchi nzima likisimamiwa na kanda zilizoundwa mapema mwaka jana (2013), huu ni muendelezo wa kuziwezesha kanda ziweze kuendelea kufanya kazi kwa ufanisi kwa maendeleo endelevu ya chama.

Pikipiki hizo pia zitakuwa msaada mkubwa katika kipindi hiki ambapo chaguzi ndani ya chama zinaendelea kwenye maeneo mbalimbali hapa nchini, lakini pia ni maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa vijiji na vitongoji unao tarajiwa kufanyika mapema mwezi Oktoba.



View attachment 162786
Sehemu ya Shehena ya pikipi zilizowaingizwa jana

View attachment 162786

Wakati watendaji wa chama makao makuu wakiwa busy na kushirik kupokea pikipiki hizo, jana kuna uzi uliwekwa hapa ukiwa na kichwa "Watendaji wa CHADEMA makao makuu kugoma", Tuliupuuza kwa kuwa haukuwa na ukweli wowote bali ulijaa hekaya za kutunga zisizo kuwa na msingi.

Mapambano yanaendelea ili kuzidi kuwaamsha watanzania dhidi ya ufisadi, ubadhirifu wa mali na nyara za umma na ukandamizaji wa haki za binadamu. Mpaka kieleweke.

Habari ndio hiyo waacheni wachonge chapeni kazi
 
MSALANI,

Taarifa itatolewa Rasmi Kwenye Vikao kupitia vyombo vya uwakilishi katika uendeshaji wa chama yaani sekretarieti,Kamati Kuu na Baraza Kuu ambavyo vipo kwa niaba ya wanachama,wapenzi na Wafuasi wa CHADEMA na harakati za Mageuzi kwa ujumla

Ben unamjibu wa nini huyu...! Pigeni kimya kama jana mlivyoichunia thread ya mishahara... Huyu toilet hastahili kujua hata rangi ya pikipiki 1
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom