CHADEMA yaingia Marekani

shilanona

Member
Oct 31, 2010
55
22
Kuna tetesi kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Mheshimiwa Mbowe anaingia leo mjini Washington DC pamoja na ujumbe wake ili pamoja na mambo mengine, azungumea na Watanzania walnaoishi huko Marekani na kupokea maswali mbalimbali yanayohusu nchi yetu. Aliye na taarifa zaidi atujulishe ili tupeleke makamanda wetu huko Washington DC.
 
Mkuu, wewe ndio umeanzisha thread kutufahamisha kuwa Chadema yaingia Marekani, halafu wewe tena unatuuliza aliye na taarifa atujulishe.
 
Mkuu, wewe ndio umeanzisha thread kutufahamisha kuwa Chadema yaingia Marekani, halafu wewe tena unatuuliza aliye na taarifa atujulishe.

povu limeanza kukutoka kabla hata details and updates hazijafika
 
Mimi nadhani hao wa huko angeachana nao kwanza! Angekazana na wa huku ambao bado wanadhan CCM ni mama yao. Ila pamoja mkuu, waeleze jinsi mali zao zinavyoibwa na serikali yao.
 
Mkuu, wewe ndio umeanzisha thread kutufahamisha kuwa Chadema yaingia Marekani, halafu wewe tena unatuuliza aliye na taarifa atujulishe.

Amesema kuna tetesi!!! Hujasoma vidudu nini...??
 
mkuu, wewe ndio umeanzisha thread kutufahamisha kuwa chadema yaingia marekani, halafu wewe tena unatuuliza aliye na taarifa atujulishe.

kasema kuna tetesi.....magamba bwana wako makn kwenye maazmisho tu na misiba
 
Mimi nadhani hao wa huko angeachana nao kwanza! Angekazana na wa huku ambao bado wanadhan CCM ni mama yao. Ila pamoja mkuu, waeleze jinsi mali zao zinavyoibwa na serikali yao.

Hapo penye nyekundu siyo selikali yao sema na wakoloni wao! hawa ni wakoloni weusi
 
Kuna tetesi kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Mheshimiwa Mbowe anaingia leo mjini Washington DC pamoja na ujumbe wake ili pamoja na mambo mengine, azungumea na Watanzania walnaoishi huko Marekani na kupokea maswali mbalimbali yanayohusu nchi yetu. Aliye na taarifa zaidi atujulishe ili tupeleke makamanda wetu huko Washington DC.

Halafu kampeni uzini kamuachia nani?au amekata tamaa baada ya kupata mapokezi yasiyostahili juzi?mwambieni ndio siasa asipende siasa za kubebwa juu juu kama jeneza kila siku!
 
hivi marekani kuna wapiga kura wa kutosha kuwa na impact yoyote kwenye chaguzi zetu ndani,cdm hako karuzuku mnakopata katumieni vizuri jamani.
 
Back
Top Bottom