utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,815
CHADEMA imeanza kuweweseka na matamko baada ya kukataliwa na wananchi ambapo sasa imekuja na style mpya ya ku pre empty matukio kwa njia ya matamko yasiyo na tija.
Hata hivyo yaliyomo kwenye matamko hayo ni yale yale tuliyoyazoea kama vile.
1.CCM WAMEIBA KURA
2.WANACHAMA WETU HAWAJAPIGA KURA
3.VIJANA WENGI WANAIPENDA CHADEMA
4. IDADI YA MITAA NA VIJIJI AMBAYO CHADEMA/UKAWA UMESHINDA VIMEONGEZEKA.
5.
6.
7..............Nk nk
ukweli utabaki pale pale kwamba haya ni maweweseko.
Hata hivyo yaliyomo kwenye matamko hayo ni yale yale tuliyoyazoea kama vile.
1.CCM WAMEIBA KURA
2.WANACHAMA WETU HAWAJAPIGA KURA
3.VIJANA WENGI WANAIPENDA CHADEMA
4. IDADI YA MITAA NA VIJIJI AMBAYO CHADEMA/UKAWA UMESHINDA VIMEONGEZEKA.
5.
6.
7..............Nk nk
ukweli utabaki pale pale kwamba haya ni maweweseko.