CHADEMA yailaumu CCM baada ya kuangukia pua

CHADEMA yailaumu CCM baada ya kuangukia pua

utaifakwanza

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2013
Posts
14,193
Reaction score
2,815
CHADEMA imeanza kuweweseka na matamko baada ya kukataliwa na wananchi ambapo sasa imekuja na style mpya ya ku pre empty matukio kwa njia ya matamko yasiyo na tija.

Hata hivyo yaliyomo kwenye matamko hayo ni yale yale tuliyoyazoea kama vile.
1.CCM WAMEIBA KURA
2.WANACHAMA WETU HAWAJAPIGA KURA
3.VIJANA WENGI WANAIPENDA CHADEMA
4. IDADI YA MITAA NA VIJIJI AMBAYO CHADEMA/UKAWA UMESHINDA VIMEONGEZEKA.
5.
6.
7..............Nk nk

ukweli utabaki pale pale kwamba haya ni maweweseko.
 
CHADEMA imeanza kuweweseka na matamko baada ya kukataliwa na wananchi ambapo sasa imekuja na style mpya ya ku pre empty matukio kwa njia ya matamko yasiyo na tija.

Hata hivyo yaliyomo kwenye matamko hayo ni yale yale tuliyoyazoea kama vile.
1.CCM WAMEIBA KURA
2.WANACHAMA WETU HAWAJAPIGA KURA
3.VIJANA WENGI WANAIPENDA CHADEMA
4. IDADI YA MITAA NA VIJIJI AMBAYO CHADEMA/UKAWA UMESHINDA VIMEONGEZEKA.
5.
6.
7..............Nk nk

ukweli utabaki pale pale kwamba haya ni maweweseko.

tulieni sindano ziwaingine . mwaka 2009 CCM mlinshinda mitaa kwa 98%, mwaka huu mmeshinda kwa 67%
 
Unajua ukiwa unatoka msalani jihifadhi kwakunawa mikono kwanza weka takwimu ndio utajua chadema tumepanda au tumeshuka wacheni kuropoka bila takwimu kama Nepi
 
tulieni sindano ziwaingine . mwaka 2009 CCM mlinshinda mitaa kwa 98%, mwaka huu mmeshinda kwa 67%[/

Ni kweli Mkuu watulie kimya maana kiukweli UKAWA tumejitahida mno tena sana,muungano wa vyama vyetu vinne(4) umeleleta mafanikio makubwa
Na kiutaalamu kwa data zako hapo juu ranking zinatakiwa kuwa kama ifuatavyo,
1.CCM 68/1 = 68%
2.CHADEMA 32/4=8%
3.CUF 32/4=8%
4.NCCR 32/4=8%
5.UDP 32/4=8
 
tulieni sindano ziwaingine . mwaka 2009 CCM mlinshinda mitaa kwa 98%, mwaka huu mmeshinda kwa 67%[/

Ni kweli Mkuu watulie kimya maana kiukweli UKAWA tumejitahida mno tena sana,muungano wa vyama vyetu vinne(4) umeleleta mafanikio makubwa
Na kutaalamu kwa data zako hapo juu ranking ziatakiwa kuwa kama ifuatavyo
1.CCM 68/1 = 68%
2.CHADEMA 32/4=8%
3.CUF 32/4=8%
4.NCCR 32/4=8%
5.UDP 32/4=8

mbona unaweweseka sana? muulize Tundu Lisu alichowafanyia CCM jimboni kwake.
 
CHADEMA imeanza kuweweseka na matamko baada ya kukataliwa na wananchi ambapo sasa imekuja na style mpya ya ku pre empty matukio kwa njia ya matamko yasiyo na tija.

Hata hivyo yaliyomo kwenye matamko hayo ni yale yale tuliyoyazoea kama vile.
1.CCM WAMEIBA KURA
2.WANACHAMA WETU HAWAJAPIGA KURA
3.VIJANA WENGI WANAIPENDA CHADEMA
4. IDADI YA MITAA NA VIJIJI AMBAYO CHADEMA/UKAWA UMESHINDA VIMEONGEZEKA.
5.
6.
7..............Nk nk

ukweli utabaki pale pale kwamba haya ni maweweseko.

Ehehehe kichapo haukukitarajia hiki,UKAWA nomaaa

Salamu za pongezi kwa watu wa Muleba kusini kwa Mama jizi na Muleba kaskazini kwa mtete mijizi Charles Mwijage,mmepigwa mno!

Pongezi pia kwa kwetu Kyela tumewachapa mno,toka kiti kimoja 2009 hadi viti 41 mwaka huu ehehehe!
 
Moto wa CCM nimeukubali, kama imeshindwa kuanguka kipindi hiki cha escorw basi ina maana rais akiwawajibisha waliohusika na wizi wa fedha basi CCM kitashinda kwa kura nyingi 2015.
 
Back
Top Bottom