Nyie ndio watu wenye fikra fupi ambao badala ya kukisaidia chama chenu kimawazo,mmebaki na porojo mfu,hakuna sehemu ambayo ilikua ni moja ya stronghold ya ccm kama Morogoro mjini,ila kwa uchaguzi wa juzi na Chadema walivyozoa maeneo kibao ya mji huu kwa mara ya kwanza katika historia ya vyama vingi Tanzania,ukweli Ccm inabidi wakae na watu wenye fikra pana na wajitafakari kwa nini mpaka Mororgoro wameanza kukataliwa kwa kasi,ila wakiwa na watu wenye akili,porojo na ushauri kama wewe na Nape Nnauye basi wataangamia kabisa!vijana hawataki porojo tena