WENGI WANAFIKIRI UTAWALA WA MAJIMBO NI UKOMBOZI WA MAENDELEO,HUU SI UTAWALA.UTAWALA WA MAJIMBO UNASABABISHA UBAGUZI MKUBWA KATIKA NCHI,NI WAZI KABISA KUWA KUNA BAADHI YA MAJIMBO YATAKUWA DHAIFU NA HIVYO KAMWE HAYATAWEZA KUENDELEA,HIVYO KUSABABISHA EITHER KUDHARAULIWA KWA WATU WAKE AU WATU HAO KUHISI HAWANA UMUHIMU WA KUWA NI SEHEMU YA NCHI HIYO NA HIVYO KUWEZA KUAMUA VYOVYOTE HATA KUJITENGA.MIFANO MINGI YA SERIKALI ZA MAJIMBO IPO KAMA NIGERIA AMBAYO KILA SIKU MAJIMBO YAO YAPO VITANI TOKA MOJA HADI JINGINE,MFANO MWINGINE NI SUDAN NA MAJIMBO YAKE KAMA DARFUR,ABYEI NA SUDAN KUSINI HAPO KABLA ILIJULIKANA KAMA JIMBO LA JUBA, LEO HII WANAJITENGA. CHAMA KINACHOTAKA KULETA UJIMBO NDANI YA TANZANIA KINAJULIKANA CHIMBUKO LAKE NA UONGOZI ULIOPO PIA UNAJULIKANA KWA LENGO LAO LA MAJIMBO KWA KUJIONA KUWA WAO WATAKUWA MBELE NA HAWATAADHIRIKA VYOVYOTE KUTOKANA NA HISTORIA YA MAENEO YAO.KULE AMBAKO KULIBAKI NYUMA WANAJUA HAKUWAHUSU NA HIVYO HATA KUKIENDELEA KUWA NYUMA WAO SI HOJA. SERIKALI YA CCM INA LENGO LA KUWEKA USAWA WA KI MAENDELEO BILA KUBAGUA MAENEO.NA HII NDIO SERIKALI YENYE UTAWALA WA HAKI KWANI WATANZANIA NI WAMOJA.DHAHABU YA NYAMONGO INANUFAISHA MTWARA NA GESI YA MTWARA PIA INA FAIDA KWA TANGA BILA UKIRITIMBA WOWOTE. CHAMA CHENYE SERA ZA KUWAGAWA WATANZANIA KWA NJIA YOYOTE ILE NI CHA KUOGOPWA KAMA UKOMA.
ANGALIA HAPA CHINI JINSI SERA ZAO ZILIVYO.
"kwanza elewa baraza halitakuwa kubwa kiasi hiki! Pili, waziri atakuwa ni Executive tu bila kuingiliana na legislatures, nchi itakuwa ndani ya utawala wa majimbo, tukiwa na majimbo 8.mashariki (Dar, Moro, Pwani na Tanga), Kusini -Lindi Mtwara na Ruvuma, inyanda za juu kusini-Njombe, Iringa, Mbeya, Rukwa; Kati- Dom, Tabora na Singida; Kasikazini- Knjaro, Arusha na Manyara; Ziwa- Mara, Mwz, Simiyu, Geita,shy na Magharibi- Kigoma, Katavi na kagera while Visiwan- Zanzibar yote!
Wakuu wa mikoa wata chaguliwa huku nafasi ya mkuu wa wilaya ikifutwa, mbunge na Mkurugenzi wanatosha ku-run dunia, i mean wilaya! wilaya moja mbunge mmoja!
tupo wote hadi hapo!
afu marando, atorney general"- (MENDE DUME.)