CHADEMA yaiiga ODM kuhusu Sera ya Majimbo

CHADEMA yaiiga ODM kuhusu Sera ya Majimbo

Hii sera ya majimbo ni empty suit, nimeshaongelea kila mara kwamba CHADEMA wanaitaji kuja na idea nyingine inayoendana na Uchumi wa Tanzania.

Until watakapo mfukuza Mbowe ndio tutaona mchakato mzima wa CHADEMA. I believe CHADEMA contains very smart individuals, but Mbowe hinder the potential within that party. Mnyika and other fellows can come up with something better than sera ya majimbo. Tatizo la sera ya majimbo ni spending, and Tanzania doesn't have enough resource to back that up. Nigeria wanafanya lakini sababu wana resources kubwa, likewise USA and Canada. Tanzania hatuna uwezo, tuta end kuwa na Big government and Big spending. I know mnaweza kusema kwamba labda kila majimbo yata utilize resource zake na kujiendesha lakini ukweli ni kwamba Tanzania economy depends on subsidy kupita kiasi.

CHADEMA wanatakiwa kukaa chini na smart THINK TANKERS wakapewa the good package ambayo haitakuwa based on political ideaology, but scientific facts. Until then Majimbo will not work in Tanzania, ni bora tuendeleee na hihi system iliyooza ya sasa ambayo JK anaamisha takataka Mwanza analeta Dar na za Dar anapeleka KIGOMA
Hivi Wakuu wa Mikoa sasa hivi hawalipwi? Nionavyo mimi sera ya majimbo inaweza kupunguza gharama kuliko kuongeza. Kwanza, mikoa kadhaa inaweza kuunganishwa ili kuwa na majimbo. Pili, serikali kuu itakuwa na mawaziri wachache kuliko ilivyo sasa na kwa njia hiyo kupunguza gharama zisizo za lazima. Tatu, kila jimbo litakuwa na mipango yake ya maendeleo kulingana na mazingira yake hivyo kuwepo wa ushindani wa maendeleo kimajimbo.

Zaidi ya hapo, kwa mfano badala ya waziri wa kilimo kukaa makao makuu ya serikali (Dodoma), kila jimbo litakuwa na waziri wa kilimo kulingana na mazingira yake: Mwanza, Shinyanga, Tabora wanaweza kuwa wanashughulika na kilimo cha pamba; Mbeya, Iringa, Rukwa, Ruvuma kilimo cha mahindi, mpunga, kahawa, chai, n.k. Dar, Pwani, Morogoro, Tanga wanaweza kuwa wanashughulisha na kilimo cha matunda na mazao mengine yanayostawi vizuri maeneo hayo, pamoja na maswala ya viwanda, n.k.

Hii ni mifano michache tu ya jinsi serikali za majimbo zinavyoweza kufanya kazi na kupunguza gharama.
 
hili kamwe haliwezi kufanywa na serikali ya ccm,kwa sababu wao walishashindwa,
utawala wa majimbo nafikiri inaweza kuwa njia ya kututoa hapa tulipo,
tukiwa na majimbo kama matano
kila jimbo liwe na mkuu wake atakaeitwa mkuu wa jimbo
kila jimbo liwe na bunge lake,yaani wale wabunge wanaotoka ndani ya jimbo watakuwa ndio wabunge,
kila jimbo liwe na mawaziri wake
kila jimbo liwe na bajeti yake
serikali kuu iwe inasimamia utendaji kazi wa majimbo

jamani nafikiri itakuwa rahisi sana kuletea wananchi maendeleo kuliko hii ya sasa hivi kila mtu anamwangalia
waziri fulani au rais
naomba maoni yenu mnaonaje hiyo!
 
Mfumo huu ndo unaweza kuleta maendeleo hasa kwa nchi kubwa kijiografia kama Tanzania, maana kwa sasa serikali yote inaongozwa kutoka Dar-es-Salaam, madaraka mikoni bado yako contolled na wizara kutoka DSM. Hii ni sera ya Chadema, na ilishaelezwa vizuri, lakini Magamba hawaitaki kwa kuwa itawanyima ulaji.
 
hili kamwe haliwezi kufanywa na serikali ya ccm,kwa sababu wao walishashindwa,
utawala wa majimbo nafikiri inaweza kuwa njia ya kututoa hapa tulipo,
tukiwa na majimbo kama matano
kila jimbo liwe na mkuu wake atakaeitwa mkuu wa jimbo
kila jimbo liwe na bunge lake,yaani wale wabunge wanaotoka ndani ya jimbo watakuwa ndio wabunge,
kila jimbo liwe na mawaziri wake
kila jimbo liwe na bajeti yake
serikali kuu iwe inasimamia utendaji kazi wa majimbo

jamani nafikiri itakuwa rahisi sana kuletea wananchi maendeleo kuliko hii ya sasa hivi kila mtu anamwangalia
waziri fulani au rais
naomba maoni yenu mnaonaje hiyo!

Hawataki hilo lakini linakuja, hatuwezi sehemu zingine watu wanafanyakazi kama mchwa kwingine wanacheza bao tu!
 
Mfumo huu ndo unaweza kuleta maendeleo hasa kwa nchi kubwa kijiografia kama Tanzania, maana kwa sasa serikali yote inaongozwa kutoka Dar-es-Salaam, madaraka mikoni bado yako contolled na wizara kutoka DSM. Hii ni sera ya Chadema, na ilishaelezwa vizuri, lakini Magamba hawaitaki kwa kuwa itawanyima ulaji.


ndio maana kila mtu anamwangalia kikwete na kuongea ovyo kwa sababu utaratibu ni mbovu
 
Hivyo vitu vyote vipo mpaka sasa hivi ktk sheria za Mikoa. Pamoja na kwamba wanachaguliwa na Rais, bado kisheria walitakiwa wawe na bajeti yao. Tatizo kubwa si katiba, bali ni kwamba hatuna viongozi wenye elimu, viongozi wanaojua kuongoza.Wabunge tuliokuwa nao hawajui cha kufanya zaidi ya kupiga kelele Bungeni, na vikao visivyo isha. Tatizo kubwa la TZ, Afrika ni Viongozi, hatuna Viongozi bora.
 
Hivyo vitu vyote vipo mpaka sasa hivi ktk sheria za Mikoa. Pamoja na kwamba wanachaguliwa na Rais, bado kisheria walitakiwa wawe na bajeti yao. Tatizo kubwa si katiba, bali ni kwamba hatuna viongozi wenye elimu, viongozi wanaojua kuongoza.Wabunge tuliokuwa nao hawajui cha kufanya zaidi ya kupiga kelele Bungeni, na vikao visivyo isha. Tatizo kubwa la TZ, Afrika ni Viongozi, hatuna Viongozi bora.

halafunafikiri kuwa mbunge sio lazima uongee bungeni,nafikiri utendaji ndio lingekuwa jambo la muhimu zaidi
 
hii mada nzuri sana ngoja nikanywe mbege halafu nitarudi kuchangia hii mada

ngienda kunywo wari ngamcha
 
hili kamwe haliwezi kufanywa na serikali ya ccm,kwa sababu wao walishashindwa,
utawala wa majimbo nafikiri inaweza kuwa njia ya kututoa hapa tulipo,
tukiwa na majimbo kama matano
kila jimbo liwe na mkuu wake atakaeitwa mkuu wa jimbo
kila jimbo liwe na bunge lake,yaani wale wabunge wanaotoka ndani ya jimbo watakuwa ndio wabunge,
kila jimbo liwe na mawaziri wake
kila jimbo liwe na bajeti yake
serikali kuu iwe inasimamia utendaji kazi wa majimbo

jamani nafikiri itakuwa rahisi sana kuletea wananchi maendeleo kuliko hii ya sasa hivi kila mtu anamwangalia
waziri fulani au rais
naomba maoni yenu mnaonaje hiyo!


fantastic idea,nafikiri linaweza kutoa kabisa tanzania hapo ilipo na ikasonga mbele kwa mwendo wa haraka
hapa south africa tuna utawala wa majimbo,
watu hawajui zuma yuko wanapigiana makelele kwenye majimbo
wana kila kitu,kuna primer wa jimbo,kuna mawaziri wa jimbo na bunge
lakini kwa jinsi tanzania ilivyo na viongozi wasiokubali idea mpya ni ngumu kukubali
 
hili kamwe haliwezi kufanywa na serikali ya ccm,kwa sababu wao walishashindwa,
utawala wa majimbo nafikiri inaweza kuwa njia ya kututoa hapa tulipo,
tukiwa na majimbo kama matano
kila jimbo liwe na mkuu wake atakaeitwa mkuu wa jimbo
kila jimbo liwe na bunge lake,yaani wale wabunge wanaotoka ndani ya jimbo watakuwa ndio wabunge,
kila jimbo liwe na mawaziri wake
kila jimbo liwe na bajeti yake
serikali kuu iwe inasimamia utendaji kazi wa majimbo

jamani nafikiri itakuwa rahisi sana kuletea wananchi maendeleo kuliko hii ya sasa hivi kila mtu anamwangalia
waziri fulani au rais
naomba maoni yenu mnaonaje hiyo!
Mkuu mawazo yako ni mazuri sana sana, na laiti Tanzania ingefuata utawala wa aina hii tungefika mbali. Ukiniuliza mimi ni nini sababu kubwa inayofanya Tanzania isiendelee licha ya kuwa na rasilimali luluki nitakuambia ni uongozi mbovu. Sasa kama tunajijua tuna tatizo la uongozi njia pekee ya kupunguza tatizo ni kugawanya nchi kwenye majimbo madogo kadiri inavyowezekana ili iwe rahisi ku-plan na ku-impliment na ku-monitor strategies za kuleta maendeleo. Kwa wale waliosoma computer programming kuna kanuni moja ambayo ni ya muhimu sana kama unataka ku-solve program yeyote complicated kwa urahisi. Gawanya 'main problem' yako kwenye 'small problems' na ziandikie kila moja solution yake... utajikuta umeshapata jawabu la 'the main problem". Nchi za kiafrika kinachotuangusha ni kutokuwa udadisi/utundu wa kudodosa ni wapi tunapokosea na tufanye nini ili tusirudie makosa.
 
..nawaunga mkono CDM ktk masuala mengi lakini sikubaliani na sera ya majimbo.

..majimbo yataongeza mzigo wa gharama za utawala kwa wananchi wa kawaida.

..huu ni wakati wa kupunguza ukubwa wa serikali hii tuliyonayo, pamoja na gharama zake za uendeshaji.
 
Good!! haya ndiyo mawazo tunayotakiwa kuyajadili kama great thinkers tz itajengwa na watz!!
 
Tatizo la Utawala wa Majimbo; Kila Jimbo litakuwa na serikali yake; Rais ina maana ataondolewa Nguvu za kiutawala... Kwahiyo kama sasa hivi tuna Udini ambao unaendekezwa na Rais tutakuwa na Ukabila sababu Rais hatachagua viongozi wa Maeneo yaliyo na Majimbo na pia Mali kama Madini na Kilimo vitakuwa chini ya Jimbo kwahiyo utaona Majimbo yenye Utajiri yataendelea na hivyo hayata hitaji serikali kuu kuwaongoza

That will be the end of the Country Known as Tanzania. This country has far more problems than it deserves and far more solutions than it applies.
 
Tatizo la Utawala wa Majimbo; Kila Jimbo litakuwa na serikali yake; Rais ina maana ataondolewa Nguvu za kiutawala... Kwahiyo kama sasa hivi tuna Udini ambao unaendekezwa na Rais tutakuwa na Ukabila sababu Rais hatachagua viongozi wa Maeneo yaliyo na Majimbo na pia Mali kama Madini na Kilimo vitakuwa chini ya Jimbo kwahiyo utaona Majimbo yenye Utajiri yataendelea na hivyo hayata hitaji serikali kuu kuwaongoza

That will be the end of the Country Known as Tanzania. This country has far more problems than it deserves and far more solutions than it applies.

Si kweli mkuu, nchi kama Nigeria na Afrrika Kusini zinajiendesha kwa njia hii..na kuna uwajibikaji mkubwa kwa watendaji..wanawajibika kwa bunge na serikali ya jimbo husika..hivyo ni rahisi ufuatiliaji wa utendaji. Haya mambo ya ukabila na udini hayaletwi na ujimbo,ila yanaletwa na propaganda za walafi wa madaraka na wenye interests zao ambazo sio za umma
 
Si kweli mkuu, nchi kama Nigeria na Afrrika Kusini zinajiendesha kwa njia hii..na kuna uwajibikaji mkubwa kwa watendaji..wanawajibika kwa bunge na serikali ya jimbo husika..hivyo ni rahisi ufuatiliaji wa utendaji. Haya mambo ya ukabila na udini hayaletwi na ujimbo,ila yanaletwa na propaganda za walafi wa madaraka na wenye interests zao ambazo sio za umma

Nigeria? vita visivyo kwisha vya kikabila na udini.
 
Ssssssssssssssssssssssshhhhhhhhhh.......kaka William Malecela akikusikia.............
 
Hapa ni suala la utashi tu na tukitaka tunaweza

hebu nijaribu,jimbo la kati (Dodoma,Singida,Tabora,Morogoro),jimbo la kusini (Ruvuma,Mbeya,Iringa,Rukwa) jimbo la mashariki (Mtwara,Pwani,Lindi,DSM),jimbo la kaskazini (Kilimanjaro,Arusha,Tanga,Manyara,) na jimbo la magharibi (Kagera,Mara,Mwanza,Shinyanga,Kigoma)
 
Hapa ni suala la utashi tu na tukitaka tunawezahebu nijaribu,jimbo la kati (Dodoma,Singida,Tabora,Morogoro),jimbo la kusini (Ruvuma,Mbeya,Iringa,Rukwa) jimbo la mashariki (Mtwara,Pwani,Lindi,DSM),jimbo la kaskazini (Kilimanjaro,Arusha,Tanga,Manyara,) na jimbo la magharibi (Kagera,Mara,Mwanza,Shinyanga,Kigoma)
Zanzibar??
 
Back
Top Bottom