CHADEMA yaigalagaza tena CCM

CHADEMA yaigalagaza tena CCM

Chama kinachoelekea kaburini bado kinaendelea kufanya vitu vyake na kukigaragaza chama chenye uhai mkubwa wa miaka 200 ijayo! Kweli Mungu ni mkubwa.

😛eace: 😛eace: 😛eace:
 
Safi sana hii ndiyo hali halisi, na sio zile porojo za vuvuzela Nape.
 
inaona aibu! Wako bize kushawishi waliokuwa viongoz wa chadema na juhuisha uanachama wao temporary!

jamanieeee!!! Hebu pangeni matokeo yote ya marudio ili tuone tulivowagalagaza..
Ili wajitambue kuwa hii ni ishara ya safari (ccm)ya kuelekea kuzimuni.
#
PANGENI HAYA MATOKEO HALAFU TUM CC: YULE CHANGU WAO
 
Vijana wa lumumba watakuja mda si mrefu kukwambia chadema imekufa.

Sio vijana tuu, inashangaza hata wakubwa wao wanaendelea kuwaaminisha watu kuwa Chadema/UKAWA eti ni wafu. Sasa kila uchaguzi wa marudio ukifanyika wanashindwa na bado wanasema hivyo hivyo mpaka inatia mashaka kama kweli mwenyekiti wao alipotoa tahadhari kuwa wajiandae kisaikolojia kama walimwelewa.
Hili ni jambo muhimu sana kuhakikisha kuwa wanaelewa. Hasa Katibu wao mwenezi Nape, naona atafutiwe kabisa Mshauri Nasaha aanze kumpa tuisheni ili aelewe.
 
aaah!!! waTZ wanafanya kama vile walivyoainisha!!!
saaa ya mabadiriko yaja!!
misingi ya nchi imeharibika!!
 
Siyo dalili nzuri hizi kwa chama chetu pendwa CCM

Ziara za Kinana mbona hazitusaidii kwenye chaguzi za marudio toka Sumbawanga,Mbezi na leo Kwembe?
 
Afadhari yule wa msituni katangulia kwa maana hakujiandaa kisaikolojia ingekuwa shida sana kwake.
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeibuka na ushindi dhidi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi wa marudio wa Serikali za Mitaa katika mtaa wa King'azi B, Kata ya Kwembe, jijini Dar es Salaam.

Akitangaza matokeo hayo, Msimamizi wa uchaguzi huo, George Lupia, alisema Chadema kimeshinda nafasi zote hizo dhidi ya wapinzani wake CCM na hivyo kuwa viongozi wa mtaa huo.

Msimamizi huyo alisema kuwa mgombea wa Chadema, Donath Mtemekele, alishinda kwa kupata kura 585 huku wa CCM, Daud Ngaliba, akipata kura 376 na kwamba kura 18 ziliharibika.

Chanzo:EATV radio

Hii kata ndiyo kile kimtaa ambacho marehemu HOLACE KOLIMBA,aliyekuwa katibu mkuu wa chama cha mapinduzi alikuwa anaishi. Pia Marehemu Williamu Mpiluka ,aliyekuwa mbunge wa Mufindi(CCM) alikuwa anaishi hapo. Nina huhakika familia zao mpaka sasa zinaishi hapo. Pia huku anaishi MANYERERE , pia Shule ya Mama Tibaijuka Babro JOHA girls ndiyo ilipo. Ongera Chadema
 
Sitashangaa akiapishwa aliyekuwa mgombea wa CCM kama mwenyekiti wa mtaa.......!!!
 
Sio vijana tuu, inashangaza hata wakubwa wao wanaendelea kuwaaminisha watu kuwa Chadema/UKAWA eti ni wafu. Sasa kila uchaguzi wa marudio ukifanyika wanashindwa na bado wanasema hivyo hivyo mpaka inatia mashaka kama kweli mwenyekiti wao alipotoa tahadhari kuwa wajiandae kisaikolojia kama walimwelewa.
Hili ni jambo muhimu sana kuhakikisha kuwa wanaelewa. Hasa Katibu wao mwenezi Nape, naona atafutiwe kabisa Mshauri Nasaha aanze kumpa tuisheni ili aelewe.
Hii kata ndiyo kile kimtaa ambacho marehemu HOLACE KOLIMBA,aliyekuwa katibu mkuu wa chama cha mapinduzi alikuwa anaishi. Pia Marehemu Williamu Mpiluka ,aliyekuwa mbunge wa Mufindi(CCM) alikuwa anaishi hapo. Nina huhakika familia zao mpaka sasa zinaishi hapo. Pia huku anaishi MANYERERE , pia Shule ya Mama Tibaijuka Babro JOHA girls ndiyo ilipo. Ongera Chadema
 
Chama kinachoelekea kaburini bado kinaendelea kufanya vitu vyake na kukigaragaza chama chenye uhai mkubwa wa miaka 200 ijayo! Kweli Mungu ni mkubwa.

😛eace: 😛eace: 😛eace:

Hii kata ndiyo kile kimtaa ambacho marehemu HOLACE KOLIMBA,aliyekuwa katibu mkuu wa chama cha mapinduzi alikuwa anaishi. Pia Marehemu Williamu Mpiluka ,aliyekuwa mbunge wa Mufindi(CCM) alikuwa anaishi hapo. Nina huhakika familia zao mpaka sasa zinaishi hapo. Pia huku anaishi MANYERERE , pia Shule ya Mama Tibaijuka Babro JOHA girls ndiyo ilipo. Ongera Chadema
 
Chadema ya nchi gani imeshinda? Maana nilisikia wanasema CHADEMA ya Tanzania inakufa sasa mbona kila siku ndo inashinda tu! Au zilikua propaganda tu za kisiasa ili kujifuraisha wenyewe?
 
Chama kinachoelekea kaburini bado kinaendelea kufanya vitu vyake na kukigaragaza chama chenye uhai mkubwa wa miaka 200 ijayo! Kweli Mungu ni mkubwa.

😛eace: 😛eace: 😛eace:

Sijakusoma mtu wangu....
 
Ccm ni kama mbuyu,kura za mijini hazitusumbui sana,wapiga kura wako vijijini,na ndo tunawekeza nguvu nyingi huku mjini mfanye mnavyoona inafaa,na katiba lazima ipite,leo tuko loliondo tukirudi ni mkoa mzima wa arusha hadi kieleweke
 
Back
Top Bottom