CHADEMA yaigalagaza tena CCM

CHADEMA yaigalagaza tena CCM

Ccm ni kama mbuyu,kura za mijini hazitusumbui sana,wapiga kura wako vijijini,na ndo tunawekeza nguvu nyingi huku mjini mfanye mnavyoona inafaa,na katiba lazima ipite,leo tuko loliondo tukirudi ni mkoa mzima wa arusha hadi kieleweke
vijijini mnaiba kwa urahisi lakini kuanzia sasa kila kijiji kina red brigade potelea mbali.Pia kutakua na mawakala 8 wa UKAWA wakati wa ccm ni 2 tuu,tofauti na zamani ukimuhonga wakala wa chadema basi umeshinda
 
Kwa waliojiandikisha makambako uchaguzi ukifanyika hata kesho ccm haipati 10%
 
niliona picha Kinana na Nape wakiwa na fisi aliyefungwa mnyororo kinyume na sheria za hifadhi na haki za wanyama pori lakini kama serikali hii imeweza kumuacha "Joka mjanja mnjanja macho makengeza msaka pesa" kutumia kabilioni alikolipwa na Rugemalila kwa shughuli mahsusi ni dhairi fisi ni kifaranga cha bata tu hawatoulizwa
 
Back
Top Bottom