Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,917
- Thread starter
- #21
mbona yanafanyika sanaHila wakumbushe Dar na sisi tunaitaji mambo Kama hayo sababu tuna meya wa jiji naye ni chadema
mbona yanafanyika sanaHila wakumbushe Dar na sisi tunaitaji mambo Kama hayo sababu tuna meya wa jiji naye ni chadema
Muulize mbunge wako....co suala LA chadema...HIVI KWANINI CHADEMA ISSUE ZA MAENDELEO MNAPELEKA ARUSHA LAKINI LINDI NA MTWARA MMETUSAHAU
Naibu Meya wa Jiji la Arusha Mh. Viola Lazaro akizindua mpango wa maji safi na salama kata ya Moivaro jana Jumamosi.
Mpango huo ulionufaisha mitaa miwili ni jitahada binafsi za Mh. Diwani wa Moivaro Ricky Moiro. Mradi huu umepunguza kero kubwa ya maji katika mitaa hiyo ya Sekei na Oldonyomasi ambayo haikuwahi kuwa na maji safi ya bomba tangu kundwa kwa kijiji cha Moivaro na hatimaye kata sasa.
Wakazi wa mitaa hiyo wameona kama ni ndoto kwa mradi huo kufika katika mitaa hiyo, kwani hawakuwahi kuamini kuwa maji yatafika katika maeneo yao.
HONGERA SANA DIWANI WA CHADEMA
Wanapeleka kutokea wapi? Labda tuanzie hapo!HIVI KWANINI CHADEMA ISSUE ZA MAENDELEO MNAPELEKA ARUSHA LAKINI LINDI NA MTWARA MMETUSAHAU
Bora viroba vimepigwa marufuku!Wewe umeshindwa nini kupiga picha japo hata Baba yako mama yako,mkeo na watotowako kwenye mabomba ya maji uje utudanga jinsi chama chako cha kijani kinavodanganya watu?
Safi sana hicho ndicho wananchi tunahitaji....waache mafisi waendeler kugombana dodomaHongera Diwani wa CDM
Nzuri inapendeza kuwahudumia wananchi
Tujifunze nn hapo.....cdm inaihitaji ccm kujiimalisha ila ccm haihitaji cdm kujimalishaCCM hawajifunzi kitu hapa
Hongera hizi ndo habari zinaleta raha kuzisikia
CCM hawajifunzi kitu hapa
Jifunze kuandika kwanza.Tujifunze nn hapo.....cdm inaihitaji ccm kujiimalisha ila ccm haihitaji cdm kujimalisha
.....Jifunze kuandika kwanza.
Oyeeeeeecdm oyeee