CHADEMA yaanza rasmi kuivuruga Tanzania, tuwe macho

Ni sisi wapinzani wenyewe tutaweza kujitetea, kwa sasa ccm wamepoteza ushawishi kwa umma, hivyo wamejishika na vyombo vya dola ili kuendelea kututawala kwa shuruti. Namna pekee ni sisi wapinzani kugoma kushirikiana na wanaccm.

Hakuna kushiriki msiba wala sherehe ama hafla yoyote ya mwanaccm, hakuna kununua chochote kwenye biashara ya mwanaccm ama hata kupakia vyombo vyao vya usafiri labda iwe lazima sana. Tusiogope kuhamasishana kwenye hili. Kwa vyovyote mbinu hii itamgusa kila mtanzania. Kwenye nyumba za ibada hakuna kutoa sadaka, na kuwaambia viongozi wa dini wanakalia kimya uovu. Mbinu hii haitatuacha na vilema wala kubambikiwa kesi, kutekwa ama kuuwawa. Mbinu hii ilitumiwa Zanzibar na ilifanya kazi. Madai ya katiba mpya ni ya halali, kwanini wezi wa kura wasio na ushawishi waendelee kututesa na kutuumiza kwa madai yetu halali. Ni juu yetu wapinzani kujiokoa.
Mkuu kumbuka kuna watanzania zaidi ya 60m

Umeshajiuliza chadema mko wangapi

Kipindi mnahamasisha vodacom isusiwe uliona matokeo yake?

Suseni.
 

CHADEMA YAANZA RASMI KUIVURUGA TANZANIA, TUWE MACHO.


Baada ya kugonga mwamba kwa mpango chama cha CHADEMA wa kuanzisha vurugu kupitia kongamano la Katiba Mpya lililopangwa kufanyika Jijini Mwanza Julai 21, 2021, chama hicho cha upinzani kimemwaga mpango wake mzima wa kuanzisha vurugu Tanzania.

Taarifa za ndani za kikao cha Kamati Kuu cha CHADEMA kilichoongozwa na Tundu Lissu aliyeshiriki kwa njia ya mtandao kutoka Ughaibuni na Katibu Mkuu John Mnyika zimeeleza kuwa mpango wa kuzusha vurugu kwa lengo la kuivuruga Serikali ya Awamu ya Sita ya Rais Samia Suluhu Hassan uliandaliwa tangu siku nyingi kwa mahesabu kuwa ungewasilishwa kwenye Kongamano hilo na kuwakabidhi vijana wa CHADEMA kuutekeleza.

Taarifa za uhakika zinasema CHADEMA ambayo imekataa kuchukua fedha za ruzuku kutoka Serikalini imepatiwa mabilioni ya fedha kutoka nchi za Ulaya aliko Tundu Lissu kwa lengo la kufanikisha mpango wa Kuivuruga Tanzania ili Serikali ya CCM iondolewe madarakani na fedha hizo zimepangwa kugawiwa kwa vijana watakaojitolea kupambana na vyombo vya dola. Fedha hizo zimeingia nchi ni na zingine zinaendelea kuletwa kupitia Balozi, Mashirika yasiyo ya kiserikali na nchi jirani.

Mpango wa vurugu umetangazwa na Tundu Lissu ikiwa ni maamuzi rasmi ya kamati kuu ya CHADEMA. Tundu Lissu ametangaza mpango huo huku akiubatiza kuwa “HATUA ZITAKAZOCHUKULIWA KUFUATIA KUKAMATWA KWA MWENYEKITI WA CHADEMA FREEMAN MBOWE ANAYEKABILIWA NA TUHUMA ZA UGHAIDI NA NJAMA ZA KUDHULU VIONGOZI WA SERIKALI”

Kupitia mpango huo CHADEMA imepanga kuunda kamati ya kimataifa ambayo itaongozwa na Tundu Lissu kupita duniani kote kwa nchi marafiki wa Tanzania wakiwemo wadau wa maendeleo kuwaeleza kuwa uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan ni hivyo zaidi ya uongozi wa Hayati John Pombe Magufuli.

Kwamba kamati hiyo itakwenda duniani kuitangazia dunia kuwa Rais Samia ana mpango wa kuwatesa wapinzani na kuwabambia kesi nyingi za jinai kuliko hayati Magufuli.

Kwamba kamati hiyo itakwenda kuiambia dunia kuwa Rais Samia amepanga kuongeza wafungwa wa kisiasa kwa kuongeza viongozi wa vyama vya upinzani kuliko ilivyokuwa kwa Hayati Magufuli.

Kwamba wanakwenda kuiambia dunia isitishe uhusiano wa kiuchumi na kidiplomasia na Tanzania mpaka hapo itakapotekeleza matakwa ya CHADEMA wanaodai kuruhusiwa kufanya maandamano na kudai katiba mpya.

Kwamba kamati hiyo inakwenda kuziomba nchi marafiki zote duniani kusitisha misaada yote kwa Tanzania. Na itazungumza na wananchi wa nchi hizo na kampuni za uwekezaji kwamba wasiwekeze Tanzania kwa sababu ni hatari sawa na ilivyokuwa wakati wa Hayati Magufuli.

Kwamba kamati hiyo itaendesha kampeni ya kudai Katiba Mpya kinyume na maelekezo ya Rais Samia na itafanya makongamano ya kudai Katiba Mpya nchi nzima.

Tafsiri ya haya yote ni kuwa sasa ni rasmi CHADEMA imeamua kutafuta madaraka kwa nguvu, inataka kuchochea vurugu Tanzania ili kushinikiza mazingira ya kukamata dola, inataka Tanzania iwekewe vikwazo vya kiuchumi na Dunia na inavialika vyombo vya habari vya kimataifa kuichafua Tanzania.

Hapa ndipo Watanzania tuwe macho, tusikubali kuharibu nchi yetu, tusikubali kuvuruga uchumi wetu, tuwakatae vibaraka hawa wa mabeberu ambao wanatumika kutuangamiza na tusimame na Rais Samia Suluhu Hassan.

Tanzania ni nchi huru, ni nchi inayojiamulia mambo yake yenyewe. Mbowe na wenzake akina Tundu Lissu wasiruhusiwe kuiyumbisha nchi hii.

Narudia Watanzania tuwe macho sana. Kwa miaka kadhaa tumekuwa nchi yenye utulivu, hawa jamaa wanataka kuturudisha kwenye nchi inayopambwa na mapambano ya vyombo vya dola na raia, milipuko ya mabomu na risasi, watu kupata ulemavu na kumwaga damu na kuharibu taswira ya nchi yetu.

Hawa jamaa wanataka tupoteze mwelekeo mzuri wa maendeleo tunaokwenda nao, wanataka tuache kujenga miradi yetu mikubwa ya reli, barabara, madaraja, hospitali, shule, maji nakadhalika na badala yake wanataka tuwe tunashinda na kukesha tukibishana kuhusu dhamira yao ya kuchukua dola.

Hawa jamaa wanataka tuvurugane ili rasilimali zetu, madini, gesi, mafuta, ardhi, hifadhi za misitu na mapori vichukuliwe na wageni wanaowatuma na kuwafadhili ili hatimaye watuache Watanzania tukiwa vibarua, ombaomba na masikini wa kutupwa kama ilivyo Afrika Kusini.

Wanataka tupoteze uhuru wetu, tuwe nchi inayopangiwa cha kufanya na nchi nyingine, wanataka tuchekwe na wanataka tudhalilishwe ilimradi wao wapate madaraka.

Wanataka Watanzania turudi nyuma, tuwe masikini wa kutupwa, tukose huduma za kijamii kama matibabu, maji, chakula nakadhalika.

Wanataka Watanzania tupoteze ajira, tuharibu biashara zetu, tuue utalii wetu, tukose wawekezaji wa kuja kujenga viwanda na kulima mashamba makubwa.

Wanataka Tanzania irudi kuwa nchi ya kuombaomba, isiyokuwa na heshima duniani na wenye nguvu za kiuchumi waje watupande mabegani.

Narudia Watanzania tukatae. Naomba sana Serikali yangu isiruhusi upuuzi huu wa akina Mbowe na wenzake. Nchi yetu ina sheria na taratibu, zisimamiwe. Asionewe mtu lakini pia asitokee mtu akawa na uhuru wa kuvunja sheria na kuhatarisha usalama wa Watanzania na rasilimali zao kwa matakwa yake binafsi.

Mwisho nawaomba Watanzania wenzangu tuungane na Serikali yetu, tuungane na Rais wetu Samia Suluhu Hassan katika kujenga Tanzania nzuri kwetu. Rais Samia ni Mama mwenye dhamira nzuri sana na wanae. Tukifanya hivyo amini nawaambieni hawa jamaa watakwama.

Wasitutishe kuwa tutasusiwa na Jumuiya ya Kimataifa, hii ni hoja ya kipuuzi kabisa. Hakuna kitu chochote cha maana ambacho kinaweza kututisha kwa hoja hii. Jumuiya ya kimataifa ni muhimu lakini ni lazima tulinde maslahi ya Taifa letu machoni pa Jumuiya ya Kimataifa kinyume na hapo ni uzwazwa na tutachekwa kila mahali.

Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Afrika.

Makala hii imeandikwa na Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Julai 24, 2021.
Takataka za lumumba kama kawaida yenu Ok vipi sisi tunaodai katiba mpya
 
Wameshindwa kabla hawajaanza, nilikuwa namlaumu sana JPM alivyokuwa anawatreat hawa watu, now naona walistahili kila kitu walichofanyiwa na Magu, huyu Mama hata miezi 6 hajamaliza wameanza upuuzi wao, watu gani hawana subira! Vyombo vya ulinzi na usalama shughulikia hawa magaidi
Sasa mbona jpm wababe wamemlaza milele na cdm bado ipo inadunda ??
 
Hii hadithi ya kipuuzi ingewafaa zaidi wendawazimu na watu wajinga.

Wenye akili tunajua anayelididmiza na kulichafua taifa ni yule asiyeheshimu sheria, haki za watu, demokrasia, uhuru wa maoni na haki ya kukusanyika.
Usisahau asiyeheshimu utawala wa sheria

bwana malienge
 
Chadema is for REGIME CHANGE...

REGIME CHANGE ....
REGIME CHANGE.....
REGIME CHANGE.....


Lengo lao si KATIBA MPYA....

Walimuogopa Hayati JPM aliposema si LENGO LAKE ...

Hawamuogopi mh.SSH....wanataka KUMTINGISHA NA KULETA MABADILIKO YA UTAWALA KWA NJIA YA UMMA.....

HAWA WAOGOPWE KAMA UKOMA....

TUWAKATAE KWA NGUVU ZOTE....

#NchiKwanza
#UtulivuKwanza
#JMTMilele
#KaziIendelee
Mbona tunawaelewa na kuwaunga mkono
 

CHADEMA YAANZA RASMI KUIVURUGA TANZANIA, TUWE MACHO.


Baada ya kugonga mwamba kwa mpango chama cha CHADEMA wa kuanzisha vurugu kupitia kongamano la Katiba Mpya lililopangwa kufanyika Jijini Mwanza Julai 21, 2021, chama hicho cha upinzani kimemwaga mpango wake mzima wa kuanzisha vurugu Tanzania.

Taarifa za ndani za kikao cha Kamati Kuu cha CHADEMA kilichoongozwa na Tundu Lissu aliyeshiriki kwa njia ya mtandao kutoka Ughaibuni na Katibu Mkuu John Mnyika zimeeleza kuwa mpango wa kuzusha vurugu kwa lengo la kuivuruga Serikali ya Awamu ya Sita ya Rais Samia Suluhu Hassan uliandaliwa tangu siku nyingi kwa mahesabu kuwa ungewasilishwa kwenye Kongamano hilo na kuwakabidhi vijana wa CHADEMA kuutekeleza.

Taarifa za uhakika zinasema CHADEMA ambayo imekataa kuchukua fedha za ruzuku kutoka Serikalini imepatiwa mabilioni ya fedha kutoka nchi za Ulaya aliko Tundu Lissu kwa lengo la kufanikisha mpango wa Kuivuruga Tanzania ili Serikali ya CCM iondolewe madarakani na fedha hizo zimepangwa kugawiwa kwa vijana watakaojitolea kupambana na vyombo vya dola. Fedha hizo zimeingia nchi ni na zingine zinaendelea kuletwa kupitia Balozi, Mashirika yasiyo ya kiserikali na nchi jirani.

Mpango wa vurugu umetangazwa na Tundu Lissu ikiwa ni maamuzi rasmi ya kamati kuu ya CHADEMA. Tundu Lissu ametangaza mpango huo huku akiubatiza kuwa “HATUA ZITAKAZOCHUKULIWA KUFUATIA KUKAMATWA KWA MWENYEKITI WA CHADEMA FREEMAN MBOWE ANAYEKABILIWA NA TUHUMA ZA UGHAIDI NA NJAMA ZA KUDHULU VIONGOZI WA SERIKALI”

Kupitia mpango huo CHADEMA imepanga kuunda kamati ya kimataifa ambayo itaongozwa na Tundu Lissu kupita duniani kote kwa nchi marafiki wa Tanzania wakiwemo wadau wa maendeleo kuwaeleza kuwa uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan ni hivyo zaidi ya uongozi wa Hayati John Pombe Magufuli.

Kwamba kamati hiyo itakwenda duniani kuitangazia dunia kuwa Rais Samia ana mpango wa kuwatesa wapinzani na kuwabambia kesi nyingi za jinai kuliko hayati Magufuli.

Kwamba kamati hiyo itakwenda kuiambia dunia kuwa Rais Samia amepanga kuongeza wafungwa wa kisiasa kwa kuongeza viongozi wa vyama vya upinzani kuliko ilivyokuwa kwa Hayati Magufuli.

Kwamba wanakwenda kuiambia dunia isitishe uhusiano wa kiuchumi na kidiplomasia na Tanzania mpaka hapo itakapotekeleza matakwa ya CHADEMA wanaodai kuruhusiwa kufanya maandamano na kudai katiba mpya.

Kwamba kamati hiyo inakwenda kuziomba nchi marafiki zote duniani kusitisha misaada yote kwa Tanzania. Na itazungumza na wananchi wa nchi hizo na kampuni za uwekezaji kwamba wasiwekeze Tanzania kwa sababu ni hatari sawa na ilivyokuwa wakati wa Hayati Magufuli.

Kwamba kamati hiyo itaendesha kampeni ya kudai Katiba Mpya kinyume na maelekezo ya Rais Samia na itafanya makongamano ya kudai Katiba Mpya nchi nzima.

Tafsiri ya haya yote ni kuwa sasa ni rasmi CHADEMA imeamua kutafuta madaraka kwa nguvu, inataka kuchochea vurugu Tanzania ili kushinikiza mazingira ya kukamata dola, inataka Tanzania iwekewe vikwazo vya kiuchumi na Dunia na inavialika vyombo vya habari vya kimataifa kuichafua Tanzania.

Hapa ndipo Watanzania tuwe macho, tusikubali kuharibu nchi yetu, tusikubali kuvuruga uchumi wetu, tuwakatae vibaraka hawa wa mabeberu ambao wanatumika kutuangamiza na tusimame na Rais Samia Suluhu Hassan.

Tanzania ni nchi huru, ni nchi inayojiamulia mambo yake yenyewe. Mbowe na wenzake akina Tundu Lissu wasiruhusiwe kuiyumbisha nchi hii.

Narudia Watanzania tuwe macho sana. Kwa miaka kadhaa tumekuwa nchi yenye utulivu, hawa jamaa wanataka kuturudisha kwenye nchi inayopambwa na mapambano ya vyombo vya dola na raia, milipuko ya mabomu na risasi, watu kupata ulemavu na kumwaga damu na kuharibu taswira ya nchi yetu.

Hawa jamaa wanataka tupoteze mwelekeo mzuri wa maendeleo tunaokwenda nao, wanataka tuache kujenga miradi yetu mikubwa ya reli, barabara, madaraja, hospitali, shule, maji nakadhalika na badala yake wanataka tuwe tunashinda na kukesha tukibishana kuhusu dhamira yao ya kuchukua dola.

Hawa jamaa wanataka tuvurugane ili rasilimali zetu, madini, gesi, mafuta, ardhi, hifadhi za misitu na mapori vichukuliwe na wageni wanaowatuma na kuwafadhili ili hatimaye watuache Watanzania tukiwa vibarua, ombaomba na masikini wa kutupwa kama ilivyo Afrika Kusini.

Wanataka tupoteze uhuru wetu, tuwe nchi inayopangiwa cha kufanya na nchi nyingine, wanataka tuchekwe na wanataka tudhalilishwe ilimradi wao wapate madaraka.

Wanataka Watanzania turudi nyuma, tuwe masikini wa kutupwa, tukose huduma za kijamii kama matibabu, maji, chakula nakadhalika.

Wanataka Watanzania tupoteze ajira, tuharibu biashara zetu, tuue utalii wetu, tukose wawekezaji wa kuja kujenga viwanda na kulima mashamba makubwa.

Wanataka Tanzania irudi kuwa nchi ya kuombaomba, isiyokuwa na heshima duniani na wenye nguvu za kiuchumi waje watupande mabegani.

Narudia Watanzania tukatae. Naomba sana Serikali yangu isiruhusi upuuzi huu wa akina Mbowe na wenzake. Nchi yetu ina sheria na taratibu, zisimamiwe. Asionewe mtu lakini pia asitokee mtu akawa na uhuru wa kuvunja sheria na kuhatarisha usalama wa Watanzania na rasilimali zao kwa matakwa yake binafsi.

Mwisho nawaomba Watanzania wenzangu tuungane na Serikali yetu, tuungane na Rais wetu Samia Suluhu Hassan katika kujenga Tanzania nzuri kwetu. Rais Samia ni Mama mwenye dhamira nzuri sana na wanae. Tukifanya hivyo amini nawaambieni hawa jamaa watakwama.

Wasitutishe kuwa tutasusiwa na Jumuiya ya Kimataifa, hii ni hoja ya kipuuzi kabisa. Hakuna kitu chochote cha maana ambacho kinaweza kututisha kwa hoja hii. Jumuiya ya kimataifa ni muhimu lakini ni lazima tulinde maslahi ya Taifa letu machoni pa Jumuiya ya Kimataifa kinyume na hapo ni uzwazwa na tutachekwa kila mahali.

Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Afrika.

Makala hii imeandikwa na Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Julai 24, 2021.
Sikiliza wewe mpumbavu na juha wa CCM,mpango uliopo siyo kuivuruga Tanzania bali ni kuibomoa bomoa CCM iliyoleta ujinga na umaskini Tanzania,ili Tanzania iwe huru dhidi ya ushenzi na ukatili wa CCM,sasa mmeshajua pesa zinatoka kwenye mataifa makubwa,Uingereza,Ujerumani, Marekani,mtaweza kupambana na hayo mataifa nyie mbwa Koko?
 

CHADEMA YAANZA RASMI KUIVURUGA TANZANIA, TUWE MACHO.


Baada ya kugonga mwamba kwa mpango chama cha CHADEMA wa kuanzisha vurugu kupitia kongamano la Katiba Mpya lililopangwa kufanyika Jijini Mwanza Julai 21, 2021, chama hicho cha upinzani kimemwaga mpango wake mzima wa kuanzisha vurugu Tanzania.

Taarifa za ndani za kikao cha Kamati Kuu cha CHADEMA kilichoongozwa na Tundu Lissu aliyeshiriki kwa njia ya mtandao kutoka Ughaibuni na Katibu Mkuu John Mnyika zimeeleza kuwa mpango wa kuzusha vurugu kwa lengo la kuivuruga Serikali ya Awamu ya Sita ya Rais Samia Suluhu Hassan uliandaliwa tangu siku nyingi kwa mahesabu kuwa ungewasilishwa kwenye Kongamano hilo na kuwakabidhi vijana wa CHADEMA kuutekeleza.

Taarifa za uhakika zinasema CHADEMA ambayo imekataa kuchukua fedha za ruzuku kutoka Serikalini imepatiwa mabilioni ya fedha kutoka nchi za Ulaya aliko Tundu Lissu kwa lengo la kufanikisha mpango wa Kuivuruga Tanzania ili Serikali ya CCM iondolewe madarakani na fedha hizo zimepangwa kugawiwa kwa vijana watakaojitolea kupambana na vyombo vya dola. Fedha hizo zimeingia nchi ni na zingine zinaendelea kuletwa kupitia Balozi, Mashirika yasiyo ya kiserikali na nchi jirani.

Mpango wa vurugu umetangazwa na Tundu Lissu ikiwa ni maamuzi rasmi ya kamati kuu ya CHADEMA. Tundu Lissu ametangaza mpango huo huku akiubatiza kuwa “HATUA ZITAKAZOCHUKULIWA KUFUATIA KUKAMATWA KWA MWENYEKITI WA CHADEMA FREEMAN MBOWE ANAYEKABILIWA NA TUHUMA ZA UGHAIDI NA NJAMA ZA KUDHULU VIONGOZI WA SERIKALI”

Kupitia mpango huo CHADEMA imepanga kuunda kamati ya kimataifa ambayo itaongozwa na Tundu Lissu kupita duniani kote kwa nchi marafiki wa Tanzania wakiwemo wadau wa maendeleo kuwaeleza kuwa uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan ni hivyo zaidi ya uongozi wa Hayati John Pombe Magufuli.

Kwamba kamati hiyo itakwenda duniani kuitangazia dunia kuwa Rais Samia ana mpango wa kuwatesa wapinzani na kuwabambia kesi nyingi za jinai kuliko hayati Magufuli.

Kwamba kamati hiyo itakwenda kuiambia dunia kuwa Rais Samia amepanga kuongeza wafungwa wa kisiasa kwa kuongeza viongozi wa vyama vya upinzani kuliko ilivyokuwa kwa Hayati Magufuli.

Kwamba wanakwenda kuiambia dunia isitishe uhusiano wa kiuchumi na kidiplomasia na Tanzania mpaka hapo itakapotekeleza matakwa ya CHADEMA wanaodai kuruhusiwa kufanya maandamano na kudai katiba mpya.

Kwamba kamati hiyo inakwenda kuziomba nchi marafiki zote duniani kusitisha misaada yote kwa Tanzania. Na itazungumza na wananchi wa nchi hizo na kampuni za uwekezaji kwamba wasiwekeze Tanzania kwa sababu ni hatari sawa na ilivyokuwa wakati wa Hayati Magufuli.

Kwamba kamati hiyo itaendesha kampeni ya kudai Katiba Mpya kinyume na maelekezo ya Rais Samia na itafanya makongamano ya kudai Katiba Mpya nchi nzima.

Tafsiri ya haya yote ni kuwa sasa ni rasmi CHADEMA imeamua kutafuta madaraka kwa nguvu, inataka kuchochea vurugu Tanzania ili kushinikiza mazingira ya kukamata dola, inataka Tanzania iwekewe vikwazo vya kiuchumi na Dunia na inavialika vyombo vya habari vya kimataifa kuichafua Tanzania.

Hapa ndipo Watanzania tuwe macho, tusikubali kuharibu nchi yetu, tusikubali kuvuruga uchumi wetu, tuwakatae vibaraka hawa wa mabeberu ambao wanatumika kutuangamiza na tusimame na Rais Samia Suluhu Hassan.

Tanzania ni nchi huru, ni nchi inayojiamulia mambo yake yenyewe. Mbowe na wenzake akina Tundu Lissu wasiruhusiwe kuiyumbisha nchi hii.

Narudia Watanzania tuwe macho sana. Kwa miaka kadhaa tumekuwa nchi yenye utulivu, hawa jamaa wanataka kuturudisha kwenye nchi inayopambwa na mapambano ya vyombo vya dola na raia, milipuko ya mabomu na risasi, watu kupata ulemavu na kumwaga damu na kuharibu taswira ya nchi yetu.

Hawa jamaa wanataka tupoteze mwelekeo mzuri wa maendeleo tunaokwenda nao, wanataka tuache kujenga miradi yetu mikubwa ya reli, barabara, madaraja, hospitali, shule, maji nakadhalika na badala yake wanataka tuwe tunashinda na kukesha tukibishana kuhusu dhamira yao ya kuchukua dola.

Hawa jamaa wanataka tuvurugane ili rasilimali zetu, madini, gesi, mafuta, ardhi, hifadhi za misitu na mapori vichukuliwe na wageni wanaowatuma na kuwafadhili ili hatimaye watuache Watanzania tukiwa vibarua, ombaomba na masikini wa kutupwa kama ilivyo Afrika Kusini.

Wanataka tupoteze uhuru wetu, tuwe nchi inayopangiwa cha kufanya na nchi nyingine, wanataka tuchekwe na wanataka tudhalilishwe ilimradi wao wapate madaraka.

Wanataka Watanzania turudi nyuma, tuwe masikini wa kutupwa, tukose huduma za kijamii kama matibabu, maji, chakula nakadhalika.

Wanataka Watanzania tupoteze ajira, tuharibu biashara zetu, tuue utalii wetu, tukose wawekezaji wa kuja kujenga viwanda na kulima mashamba makubwa.

Wanataka Tanzania irudi kuwa nchi ya kuombaomba, isiyokuwa na heshima duniani na wenye nguvu za kiuchumi waje watupande mabegani.

Narudia Watanzania tukatae. Naomba sana Serikali yangu isiruhusi upuuzi huu wa akina Mbowe na wenzake. Nchi yetu ina sheria na taratibu, zisimamiwe. Asionewe mtu lakini pia asitokee mtu akawa na uhuru wa kuvunja sheria na kuhatarisha usalama wa Watanzania na rasilimali zao kwa matakwa yake binafsi.

Mwisho nawaomba Watanzania wenzangu tuungane na Serikali yetu, tuungane na Rais wetu Samia Suluhu Hassan katika kujenga Tanzania nzuri kwetu. Rais Samia ni Mama mwenye dhamira nzuri sana na wanae. Tukifanya hivyo amini nawaambieni hawa jamaa watakwama.

Wasitutishe kuwa tutasusiwa na Jumuiya ya Kimataifa, hii ni hoja ya kipuuzi kabisa. Hakuna kitu chochote cha maana ambacho kinaweza kututisha kwa hoja hii. Jumuiya ya kimataifa ni muhimu lakini ni lazima tulinde maslahi ya Taifa letu machoni pa Jumuiya ya Kimataifa kinyume na hapo ni uzwazwa na tutachekwa kila mahali.

Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Afrika.

Makala hii imeandikwa na Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Julai 24, 2021.
Watu wengine sijui wanafirije jamani! Yaani, pesa zitoke nje (huenda sawa na mabilioni ya shilingi kwa ajili ya Chadema) na ziingizwe kwenye accounts za chama au labda za mtu binafsi au watu binafsi serikali isijue na isiulize waliozipokea wamezitoa wapi? Sitaki kuwa nadanywa danganywa na kauli eti mhadhiri wa chuo kikuu. Huyo mhadhiri alijuaje, ameziona wapi au zimefikia benki gani?
 
Ni sisi wapinzani wenyewe tutaweza kujitetea, kwa sasa ccm wamepoteza ushawishi kwa umma, hivyo wamejishika na vyombo vya dola ili kuendelea kututawala kwa shuruti. Namna pekee ni sisi wapinzani kugoma kushirikiana na wanaccm.

Hakuna kushiriki msiba wala sherehe ama hafla yoyote ya mwanaccm, hakuna kununua chochote kwenye biashara ya mwanaccm ama hata kupakia vyombo vyao vya usafiri labda iwe lazima sana. Tusiogope kuhamasishana kwenye hili. Kwa vyovyote mbinu hii itamgusa kila mtanzania. Kwenye nyumba za ibada hakuna kutoa sadaka, na kuwaambia viongozi wa dini wanakalia kimya uovu. Mbinu hii haitatuacha na vilema wala kubambikiwa kesi, kutekwa ama kuuwawa. Mbinu hii ilitumiwa Zanzibar na ilifanya kazi. Madai ya katiba mpya ni ya halali, kwanini wezi wa kura wasio na ushawishi waendelee kututesa na kutuumiza kwa madai yetu halali. Ni juu yetu wapinzani kujiokoa.
maneno mtupu...!
 
Mkuu kumbuka kuna watanzania zaidi ya 60m

Umeshajiuliza chadema mko wangapi

Kipindi mnahamasisha vodacom isusiwe uliona matokeo yake?

Suseni.
Watanzania mlio wengi mliokuwa mnasema sabaya kaonewa na mkapitisha bakuli mlipata bei gani?
 
Sikiliza wewe mpumbavu na juha wa CCM,mpango uliopo siyo kuivuruga Tanzania bali ni kuibomoa bomoa CCM iliyoleta ujinga na umaskini Tanzania,ili Tanzania iwe huru dhidi ya ushenzi na ukatili wa CCM,sasa mmeshajua pesa zinatoka kwenye mataifa makubwa,Uingereza,Ujerumani, Marekani,mtaweza kupambana na hayo mataifa nyie mbwa Koko?
Wakishatoka CCM then nchi wapewe CDM? CDM hawa wasioeleweka, wanaohongeka hovyohovyo na kusaliti harakati
 
UPUUZI MTUPU!!!
CHADEMA YAANZA RASMI KUIVURUGA TANZANIA, TUWE MACHO.


Baada ya kugonga mwamba kwa mpango chama cha CHADEMA wa kuanzisha vurugu kupitia kongamano la Katiba Mpya lililopangwa kufanyika Jijini Mwanza Julai 21, 2021, chama hicho cha upinzani kimemwaga mpango wake mzima wa kuanzisha vurugu Tanzania.

Taarifa za ndani za kikao cha Kamati Kuu cha CHADEMA kilichoongozwa na Tundu Lissu aliyeshiriki kwa njia ya mtandao kutoka Ughaibuni na Katibu Mkuu John Mnyika zimeeleza kuwa mpango wa kuzusha vurugu kwa lengo la kuivuruga Serikali ya Awamu ya Sita ya Rais Samia Suluhu Hassan uliandaliwa tangu siku nyingi kwa mahesabu kuwa ungewasilishwa kwenye Kongamano hilo na kuwakabidhi vijana wa CHADEMA kuutekeleza.

Taarifa za uhakika zinasema CHADEMA ambayo imekataa kuchukua fedha za ruzuku kutoka Serikalini imepatiwa mabilioni ya fedha kutoka nchi za Ulaya aliko Tundu Lissu kwa lengo la kufanikisha mpango wa Kuivuruga Tanzania ili Serikali ya CCM iondolewe madarakani na fedha hizo zimepangwa kugawiwa kwa vijana watakaojitolea kupambana na vyombo vya dola. Fedha hizo zimeingia nchi ni na zingine zinaendelea kuletwa kupitia Balozi, Mashirika yasiyo ya kiserikali na nchi jirani.

Mpango wa vurugu umetangazwa na Tundu Lissu ikiwa ni maamuzi rasmi ya kamati kuu ya CHADEMA. Tundu Lissu ametangaza mpango huo huku akiubatiza kuwa “HATUA ZITAKAZOCHUKULIWA KUFUATIA KUKAMATWA KWA MWENYEKITI WA CHADEMA FREEMAN MBOWE ANAYEKABILIWA NA TUHUMA ZA UGHAIDI NA NJAMA ZA KUDHULU VIONGOZI WA SERIKALI”

Kupitia mpango huo CHADEMA imepanga kuunda kamati ya kimataifa ambayo itaongozwa na Tundu Lissu kupita duniani kote kwa nchi marafiki wa Tanzania wakiwemo wadau wa maendeleo kuwaeleza kuwa uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan ni hivyo zaidi ya uongozi wa Hayati John Pombe Magufuli.

Kwamba kamati hiyo itakwenda duniani kuitangazia dunia kuwa Rais Samia ana mpango wa kuwatesa wapinzani na kuwabambia kesi nyingi za jinai kuliko hayati Magufuli.

Kwamba kamati hiyo itakwenda kuiambia dunia kuwa Rais Samia amepanga kuongeza wafungwa wa kisiasa kwa kuongeza viongozi wa vyama vya upinzani kuliko ilivyokuwa kwa Hayati Magufuli.

Kwamba wanakwenda kuiambia dunia isitishe uhusiano wa kiuchumi na kidiplomasia na Tanzania mpaka hapo itakapotekeleza matakwa ya CHADEMA wanaodai kuruhusiwa kufanya maandamano na kudai katiba mpya.

Kwamba kamati hiyo inakwenda kuziomba nchi marafiki zote duniani kusitisha misaada yote kwa Tanzania. Na itazungumza na wananchi wa nchi hizo na kampuni za uwekezaji kwamba wasiwekeze Tanzania kwa sababu ni hatari sawa na ilivyokuwa wakati wa Hayati Magufuli.

Kwamba kamati hiyo itaendesha kampeni ya kudai Katiba Mpya kinyume na maelekezo ya Rais Samia na itafanya makongamano ya kudai Katiba Mpya nchi nzima.

Tafsiri ya haya yote ni kuwa sasa ni rasmi CHADEMA imeamua kutafuta madaraka kwa nguvu, inataka kuchochea vurugu Tanzania ili kushinikiza mazingira ya kukamata dola, inataka Tanzania iwekewe vikwazo vya kiuchumi na Dunia na inavialika vyombo vya habari vya kimataifa kuichafua Tanzania.

Hapa ndipo Watanzania tuwe macho, tusikubali kuharibu nchi yetu, tusikubali kuvuruga uchumi wetu, tuwakatae vibaraka hawa wa mabeberu ambao wanatumika kutuangamiza na tusimame na Rais Samia Suluhu Hassan.

Tanzania ni nchi huru, ni nchi inayojiamulia mambo yake yenyewe. Mbowe na wenzake akina Tundu Lissu wasiruhusiwe kuiyumbisha nchi hii.

Narudia Watanzania tuwe macho sana. Kwa miaka kadhaa tumekuwa nchi yenye utulivu, hawa jamaa wanataka kuturudisha kwenye nchi inayopambwa na mapambano ya vyombo vya dola na raia, milipuko ya mabomu na risasi, watu kupata ulemavu na kumwaga damu na kuharibu taswira ya nchi yetu.

Hawa jamaa wanataka tupoteze mwelekeo mzuri wa maendeleo tunaokwenda nao, wanataka tuache kujenga miradi yetu mikubwa ya reli, barabara, madaraja, hospitali, shule, maji nakadhalika na badala yake wanataka tuwe tunashinda na kukesha tukibishana kuhusu dhamira yao ya kuchukua dola.

Hawa jamaa wanataka tuvurugane ili rasilimali zetu, madini, gesi, mafuta, ardhi, hifadhi za misitu na mapori vichukuliwe na wageni wanaowatuma na kuwafadhili ili hatimaye watuache Watanzania tukiwa vibarua, ombaomba na masikini wa kutupwa kama ilivyo Afrika Kusini.

Wanataka tupoteze uhuru wetu, tuwe nchi inayopangiwa cha kufanya na nchi nyingine, wanataka tuchekwe na wanataka tudhalilishwe ilimradi wao wapate madaraka.

Wanataka Watanzania turudi nyuma, tuwe masikini wa kutupwa, tukose huduma za kijamii kama matibabu, maji, chakula nakadhalika.

Wanataka Watanzania tupoteze ajira, tuharibu biashara zetu, tuue utalii wetu, tukose wawekezaji wa kuja kujenga viwanda na kulima mashamba makubwa.

Wanataka Tanzania irudi kuwa nchi ya kuombaomba, isiyokuwa na heshima duniani na wenye nguvu za kiuchumi waje watupande mabegani.

Narudia Watanzania tukatae. Naomba sana Serikali yangu isiruhusi upuuzi huu wa akina Mbowe na wenzake. Nchi yetu ina sheria na taratibu, zisimamiwe. Asionewe mtu lakini pia asitokee mtu akawa na uhuru wa kuvunja sheria na kuhatarisha usalama wa Watanzania na rasilimali zao kwa matakwa yake binafsi.

Mwisho nawaomba Watanzania wenzangu tuungane na Serikali yetu, tuungane na Rais wetu Samia Suluhu Hassan katika kujenga Tanzania nzuri kwetu. Rais Samia ni Mama mwenye dhamira nzuri sana na wanae. Tukifanya hivyo amini nawaambieni hawa jamaa watakwama.

Wasitutishe kuwa tutasusiwa na Jumuiya ya Kimataifa, hii ni hoja ya kipuuzi kabisa. Hakuna kitu chochote cha maana ambacho kinaweza kututisha kwa hoja hii. Jumuiya ya kimataifa ni muhimu lakini ni lazima tulinde maslahi ya Taifa letu machoni pa Jumuiya ya Kimataifa kinyume na hapo ni uzwazwa na tutachekwa kila mahali.

Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Afrika.

Makala hii imeandikwa na Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Julai 24, 2021.
 

CHADEMA YAANZA RASMI KUIVURUGA TANZANIA, TUWE MACHO.


Baada ya kugonga mwamba kwa mpango chama cha CHADEMA wa kuanzisha vurugu kupitia kongamano la Katiba Mpya lililopangwa kufanyika Jijini Mwanza Julai 21, 2021, chama hicho cha upinzani kimemwaga mpango wake mzima wa kuanzisha vurugu Tanzania.

Taarifa za ndani za kikao cha Kamati Kuu cha CHADEMA kilichoongozwa na Tundu Lissu aliyeshiriki kwa njia ya mtandao kutoka Ughaibuni na Katibu Mkuu John Mnyika zimeeleza kuwa mpango wa kuzusha vurugu kwa lengo la kuivuruga Serikali ya Awamu ya Sita ya Rais Samia Suluhu Hassan uliandaliwa tangu siku nyingi kwa mahesabu kuwa ungewasilishwa kwenye Kongamano hilo na kuwakabidhi vijana wa CHADEMA kuutekeleza.

Taarifa za uhakika zinasema CHADEMA ambayo imekataa kuchukua fedha za ruzuku kutoka Serikalini imepatiwa mabilioni ya fedha kutoka nchi za Ulaya aliko Tundu Lissu kwa lengo la kufanikisha mpango wa Kuivuruga Tanzania ili Serikali ya CCM iondolewe madarakani na fedha hizo zimepangwa kugawiwa kwa vijana watakaojitolea kupambana na vyombo vya dola. Fedha hizo zimeingia nchi ni na zingine zinaendelea kuletwa kupitia Balozi, Mashirika yasiyo ya kiserikali na nchi jirani.

Mpango wa vurugu umetangazwa na Tundu Lissu ikiwa ni maamuzi rasmi ya kamati kuu ya CHADEMA. Tundu Lissu ametangaza mpango huo huku akiubatiza kuwa “HATUA ZITAKAZOCHUKULIWA KUFUATIA KUKAMATWA KWA MWENYEKITI WA CHADEMA FREEMAN MBOWE ANAYEKABILIWA NA TUHUMA ZA UGHAIDI NA NJAMA ZA KUDHULU VIONGOZI WA SERIKALI”

Kupitia mpango huo CHADEMA imepanga kuunda kamati ya kimataifa ambayo itaongozwa na Tundu Lissu kupita duniani kote kwa nchi marafiki wa Tanzania wakiwemo wadau wa maendeleo kuwaeleza kuwa uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan ni hivyo zaidi ya uongozi wa Hayati John Pombe Magufuli.

Kwamba kamati hiyo itakwenda duniani kuitangazia dunia kuwa Rais Samia ana mpango wa kuwatesa wapinzani na kuwabambia kesi nyingi za jinai kuliko hayati Magufuli.

Kwamba kamati hiyo itakwenda kuiambia dunia kuwa Rais Samia amepanga kuongeza wafungwa wa kisiasa kwa kuongeza viongozi wa vyama vya upinzani kuliko ilivyokuwa kwa Hayati Magufuli.

Kwamba wanakwenda kuiambia dunia isitishe uhusiano wa kiuchumi na kidiplomasia na Tanzania mpaka hapo itakapotekeleza matakwa ya CHADEMA wanaodai kuruhusiwa kufanya maandamano na kudai katiba mpya.

Kwamba kamati hiyo inakwenda kuziomba nchi marafiki zote duniani kusitisha misaada yote kwa Tanzania. Na itazungumza na wananchi wa nchi hizo na kampuni za uwekezaji kwamba wasiwekeze Tanzania kwa sababu ni hatari sawa na ilivyokuwa wakati wa Hayati Magufuli.

Kwamba kamati hiyo itaendesha kampeni ya kudai Katiba Mpya kinyume na maelekezo ya Rais Samia na itafanya makongamano ya kudai Katiba Mpya nchi nzima.

Tafsiri ya haya yote ni kuwa sasa ni rasmi CHADEMA imeamua kutafuta madaraka kwa nguvu, inataka kuchochea vurugu Tanzania ili kushinikiza mazingira ya kukamata dola, inataka Tanzania iwekewe vikwazo vya kiuchumi na Dunia na inavialika vyombo vya habari vya kimataifa kuichafua Tanzania.

Hapa ndipo Watanzania tuwe macho, tusikubali kuharibu nchi yetu, tusikubali kuvuruga uchumi wetu, tuwakatae vibaraka hawa wa mabeberu ambao wanatumika kutuangamiza na tusimame na Rais Samia Suluhu Hassan.

Tanzania ni nchi huru, ni nchi inayojiamulia mambo yake yenyewe. Mbowe na wenzake akina Tundu Lissu wasiruhusiwe kuiyumbisha nchi hii.

Narudia Watanzania tuwe macho sana. Kwa miaka kadhaa tumekuwa nchi yenye utulivu, hawa jamaa wanataka kuturudisha kwenye nchi inayopambwa na mapambano ya vyombo vya dola na raia, milipuko ya mabomu na risasi, watu kupata ulemavu na kumwaga damu na kuharibu taswira ya nchi yetu.

Hawa jamaa wanataka tupoteze mwelekeo mzuri wa maendeleo tunaokwenda nao, wanataka tuache kujenga miradi yetu mikubwa ya reli, barabara, madaraja, hospitali, shule, maji nakadhalika na badala yake wanataka tuwe tunashinda na kukesha tukibishana kuhusu dhamira yao ya kuchukua dola.

Hawa jamaa wanataka tuvurugane ili rasilimali zetu, madini, gesi, mafuta, ardhi, hifadhi za misitu na mapori vichukuliwe na wageni wanaowatuma na kuwafadhili ili hatimaye watuache Watanzania tukiwa vibarua, ombaomba na masikini wa kutupwa kama ilivyo Afrika Kusini.

Wanataka tupoteze uhuru wetu, tuwe nchi inayopangiwa cha kufanya na nchi nyingine, wanataka tuchekwe na wanataka tudhalilishwe ilimradi wao wapate madaraka.

Wanataka Watanzania turudi nyuma, tuwe masikini wa kutupwa, tukose huduma za kijamii kama matibabu, maji, chakula nakadhalika.

Wanataka Watanzania tupoteze ajira, tuharibu biashara zetu, tuue utalii wetu, tukose wawekezaji wa kuja kujenga viwanda na kulima mashamba makubwa.

Wanataka Tanzania irudi kuwa nchi ya kuombaomba, isiyokuwa na heshima duniani na wenye nguvu za kiuchumi waje watupande mabegani.

Narudia Watanzania tukatae. Naomba sana Serikali yangu isiruhusi upuuzi huu wa akina Mbowe na wenzake. Nchi yetu ina sheria na taratibu, zisimamiwe. Asionewe mtu lakini pia asitokee mtu akawa na uhuru wa kuvunja sheria na kuhatarisha usalama wa Watanzania na rasilimali zao kwa matakwa yake binafsi.

Mwisho nawaomba Watanzania wenzangu tuungane na Serikali yetu, tuungane na Rais wetu Samia Suluhu Hassan katika kujenga Tanzania nzuri kwetu. Rais Samia ni Mama mwenye dhamira nzuri sana na wanae. Tukifanya hivyo amini nawaambieni hawa jamaa watakwama.

Wasitutishe kuwa tutasusiwa na Jumuiya ya Kimataifa, hii ni hoja ya kipuuzi kabisa. Hakuna kitu chochote cha maana ambacho kinaweza kututisha kwa hoja hii. Jumuiya ya kimataifa ni muhimu lakini ni lazima tulinde maslahi ya Taifa letu machoni pa Jumuiya ya Kimataifa kinyume na hapo ni uzwazwa na tutachekwa kila mahali.

Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Afrika.

Makala hii imeandikwa na Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Julai 24, 2021.
Nchi hii ina wahadhiri wapumbavu namna hii?
Ccm ishaelekezwa kibra
 
Ni sisi wapinzani wenyewe tutaweza kujitetea, kwa sasa ccm wamepoteza ushawishi kwa umma, hivyo wamejishika na vyombo vya dola ili kuendelea kututawala kwa shuruti. Namna pekee ni sisi wapinzani kugoma kushirikiana na wanaccm.

Hakuna kushiriki msiba wala sherehe ama hafla yoyote ya mwanaccm, hakuna kununua chochote kwenye biashara ya mwanaccm ama hata kupakia vyombo vyao vya usafiri labda iwe lazima sana. Tusiogope kuhamasishana kwenye hili. Kwa vyovyote mbinu hii itamgusa kila mtanzania. Kwenye nyumba za ibada hakuna kutoa sadaka, na kuwaambia viongozi wa dini wanakalia kimya uovu. Mbinu hii haitatuacha na vilema wala kubambikiwa kesi, kutekwa ama kuuwawa. Mbinu hii ilitumiwa Zanzibar na ilifanya kazi. Madai ya katiba mpya ni ya halali, kwanini wezi wa kura wasio na ushawishi waendelee kututesa na kutuumiza kwa madai yetu halali. Ni juu yetu wapinzani kujiokoa.
Nakubalina nawe 100 kwa 100.

Hii nchi una ujinga mwingi sana, hata unaona aibu kujiita mtz.

CCM haifanyi tena siasa kukabiliana na Vyama vyenzake CDM na wengine, bali jukumu hilo kwa sasa wamepewa Polisi, TISS na vyombo vingine vya dola.

Nakushaurini:
Hii idea mpeni kigogo aanze kumwaga upupu mwanzo mwisho.

Muambieni kigogo hii ndio mbinu mujarabu dhidi ya uovu huu TZ maana hii haina kubambikiwa kesi ama kukamatwa ni kimya kimya
 
Screenshot_20210725-154422.jpg

Huyu mtu apa kaona kaandika hii kahawa bila kashata. Kiongozi mzuri anasikiliza mawazo hata kama hakubaliana nayo,kwenye majadiliano kuna kitu tunaita kukubaliana kutokukubaliana halafu unatoa tuhuma bila hoja wala ushahidi wa unachokizungumza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom