CHADEMA wazua ghasia mazishi ya Mollel

CHADEMA wazua ghasia mazishi ya Mollel

KKKT wananishangaza, huyu kafia guest akiwa mtupu lakini kazikwa na Askofu. Wengine wanafariki wachamungu wananyimwa hata mchungaji!

Jamani KKKT fanyeni hivyo kwa watu wote sio baadhi ya watu tu, hukumu na msamaha ni kwa bwana sio wanadamu. RIP Mollel

Mwanzo niliposikia kwamba kafia guest nilidhani alikuwa safarini kumbe hapo Arusha ndio nyumbani kwake?.Ilikuwaje aende guest tena vyumbani wakati ana kwake na viongozi wa dini wamfanyie ibada au nawao ndio kujikomba komba kwa chama tawala?
 
KKKT wananishangaza, huyu kafia guest akiwa mtupu lakini kazikwa na Askofu. Wengine wanafariki wachamungu wananyimwa hata mchungaji!

Jamani KKKT fanyeni hivyo kwa watu wote sio baadhi ya watu tu, hukumu na msamaha ni kwa bwana sio wanadamu. RIP Mollel
Hili ni Jukwaa la GT, hivi mpendwa umewahi kujiuliza maswali yafuatayo kabla ya kumhukumu marehemu asiyeweza kujitetea?
1. Je ni kwanini kifo kama hicho hakifanyiwi post-mortam?
2. Je ni kweli hizo condum zilizokutwa zina vinasaba vya marehemu?
3. Mauaji au vifo kama hivi vinahitaji uchunguzi mpana na sio kukimbilia kuhukumu. Hizo condum hao wanawake na hao mashahidi wanajua hiyo movie vizuri kabisa na walitakiwa kuisaidia polisi.
4. Usihukumu usije hukumiwa mpendwa. Pia conclusion za kuangalia mazingira peke yake hazitusaidii bali zinazidi kupoteza watu na hujui who is next, na mazingira yatatengenezwa vizuri ushindwe kuchomoa.

Stay blessed.
Queen Esther
 
Wafuasi wa CHADEMA, wameibua tafrani ya aina yake wakati wa mazishi ya aliyekuwa Mjumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), marehemu Benson Mollel baada ya kung’oa bendera za chama hicho na kuamsha hasira za waombolezaji wafuasi wa chama tawala.

Mashuhuda walisema tukio hilo lilitokea saa 8:30 usiku na baadhi ya wafuasi wanaosadikika kutoka CHADEMA walichukizwa na kuwapo kwa bendera hizo msibani na hivyo kuanza kuzing’oa.

Hata hivyo, mara baada ya tukio hilo, makada wa CCM waliamua kuzirudisha bendera hizo katika eneo la msiba, safari hiyo ya pili wakiamua kuweka vijana wa kuzilinda.

My Take: Tuache Unazi wa Kijinga kwenye misiba, Sidhani kama bendera zitasaidia kumpumzisha kwa amani marehemu

Atapumzikaje kwa amani mtu aliyefia kwenye kiuno cha mwanamke wakati anafanya zinaa. Na ushahidi upo kuwa kondom moja ilitumika na nyingine ilikuwa inaendelea kutumika jamaa akazima kabla hajamaliza kugegeda. Na usiku uliotangulia aligegeda Mrembo mwingine,,, yale yale na kugegeda hovyo ya maCCM yakiongozwa na Mwiguluchemba wao

Kwa sisi wenye hofu ya Mungu tunaamini kuwa huyu kijana kwake ni JEHANAM tu
 
KKKT wananishangaza, huyu kafia guest akiwa mtupu lakini kazikwa na Askofu. Wengine wanafariki wachamungu wananyimwa hata mchungaji!

Jamani KKKT fanyeni hivyo kwa watu wote sio baadhi ya watu tu, hukumu na msamaha ni kwa bwana sio wanadamu. RIP Mollel

Haya makanisa yetu ya kisasa yana double standard sana mkuu, wanachoangalia sana ni pesa na umaarufu wa mtu.
viongozi wa dini wanahitaji ukombozi ili warudi kusimamia misingi halisi ya dini.
 
KKKT wananishangaza, huyu kafia guest akiwa mtupu lakini kazikwa na Askofu. Wengine wanafariki wachamungu wananyimwa hata mchungaji!

Jamani KKKT fanyeni hivyo kwa watu wote sio baadhi ya watu tu, hukumu na msamaha ni kwa bwana sio wanadamu. RIP Mollel

Hilo linatuonesha mioyo ya baadhi yao mna nini ndani yake.....huenda wao wenyewe wanayashiriki hayo ya Ben ni vile tu hayajawakuta ya Ben! It's a SAD fact.
 
Hili ni Jukwaa la GT, hivi mpendwa umewahi kujiuliza maswali yafuatayo kabla ya kumhukumu marehemu asiyeweza kujitetea?
1. Je ni kwanini kifo kama hicho hakifanyiwi post-mortam?
2. Je ni kweli hizo condum zilizokutwa zina vinasaba vya marehemu?
3. Mauaji au vifo kama hivi vinahitaji uchunguzi mpana na sio kukimbilia kuhukumu. Hizo condum hao wanawake na hao mashahidi wanajua hiyo movie vizuri kabisa na walitakiwa kuisaidia polisi.
4. Usihukumu usije hukumiwa mpendwa. Pia conclusion za kuangalia mazingira peke yake hazitusaidii bali zinazidi kupoteza watu na hujui who is next, na mazingira yatatengenezwa vizuri ushindwe kuchomoa.

Stay blessed.
Queen Esther
(Delete if not applicable).....
Queen Esther, sio kila mahali na wakati hayo uliyoandika yanahusika.
 
du angekuwa ni cdm ka rip guest pangechimbika humu jamvini.by the way mungu amlaze panapostahli
 
Eti marehemu alisimamia haki, amani na mshikamano.
mimi nachojua marehemu alikua akigawa pesa kwa kila kijana atakayevunja bandera ya chadema.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Atapumzikaje kwa amani mtu aliyefia kwenye kiuno cha mwanamke wakati anafanya zinaa. Na ushahidi upo kuwa kondom moja ilitumika na nyingine ilikuwa inaendelea kutumika jamaa akazima kabla hajamaliza kugegeda. Na usiku uliotangulia aligegeda Mrembo mwingine,,, yale yale na kugegeda hovyo ya maCCM yakiongozwa na Mwiguluchemba wao

Kwa sisi wenye hofu ya Mungu tunaamini kuwa huyu kijana kwake ni JEHANAM tu

mbona umemsahau dr slaa alietaka penzi ofisini la karani wake
 
Mwanzo niliposikia kwamba kafia guest nilidhani alikuwa safarini kumbe hapo Arusha ndio nyumbani kwake?.Ilikuwaje aende guest tena vyumbani wakati ana kwake na viongozi wa dini wamfanyie ibada au nawao ndio kujikomba komba kwa chama tawala?

Kuna mlevi mmoja wa mtaani alikuwa msumbufu pamija na genge lake, mauti ukamkuta barabarani tena kwenye mfereji (mtaro) basi kwa kuwa alikuwa ana asili ya Uislaam, viongozi wa msikiti wa karibu walibeba jukumu la kumfanyia taratibu zote za mazishi na kumzika. Alibahatika kuzikwa siku ya Ijumaa baada ya sala ya Ijumaa. Katika lile kundi la walevi wenziwe hilo jambo liliwashangaza sana kwa jinsi mwanachama mwenzao alivyoshughulikiwa na ikasababisha mmoja wao, nusura ikamjia, akaingia Uislaam na akajiongoa na urahibu wa pombe !
 
mbona umemsahau dr slaa alietaka penzi ofisini la karani wake

Na wewe Mbona umemsahau DrDrDRDrDrDr wenu wa magamba mwenye watoto wa nje kibao...

Mungu amewaumbua nyie wanafiki wa CCM na mauzinzi yenu ndo maana Izlaeli kamuwaisha mwenzenu kwa uzinzi
 
ukiwa na pesa,hata kama una dhambi za waziwazi kanisa huzifumbia macho!mfano Nyerere alisema George Kahama ni mkatoliki aliyeendelea ndiyo maana ana WAKE 2.

Ukristo ni kabla ya kufa na wala sii baada ya kufa. Hicho wanachozika ni udongo tu
 
Wafuasi wa Chadema, wameibua tafrani ya aina yake wakati wa mazishi ya aliyekuwa Mjumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), marehemu Benson Mollel baada ya kung'oa bendera za chama hicho na kuamsha hasira za waombolezaji wafuasi wa chama tawala.
Mashuhuda walisema tukio hilo lilitokea saa 8:30 usiku na baadhi ya wafuasi wanaosadikika kutoka Chadema walichukizwa na kuwapo kwa
bendera hizo msibani na hivyo kuanza kuzing'oa.
Source: Mwananchi
Ina maana ni Bendera za CCM ziling'olewa na CHADEMA, au ni CHADEMA walikuta Bendera zao zinapeperushwa kwenye Mazishi ya Kada wa CCM ?
Kutokana na Picha za Pamela Mollel wa jamiiblog zinaonesha bado CCM walishiriki ipasavyo na wote waliobaki walikuwa ni wasindikizaji pamoja na mwandishi mwenyewe wa Mwananchi
Lakini km ni kweli usiku wa saa 8:30 basi CHADEMA wana fujo


clip-49.jpeg

[h=3]Mstahiki Meya wa jiji la Arusha Gaudence Lyimo akiweka shada la maua kwenye kaburi. [/h] [h=3]Maelfu ya wananchi wakiwemo viongozi mbalimbali wa kitaifa, viongozi wa dini, vyama vya siasa walijitokeza kumzika aliyekuwa Mjumbe wa baraza kuu la umoja wa vijana wa Chama Cha Mapinduzi(Uvccm),ngazi ya taifa kupitia mkoa wa Arusha ,Benson Mollel (26)aliyeaga dunia hivi karibu katika hoteli ya Lush Garden Bussinnes Hotel iliyopo barabara ya vijana mkabala na Jacaranda mtaa wa Haile Selassie katikati ya jiji la Arusha. Viongozi walioudhuria msiba huo jana nyumbani kwa marehemu katika kata ya Lemara jijini Arusha ni pamoja na Waziri mkuu mstaafu na mbunge wa jimbo la Monduli Mh.Edward Lowassa, Naibu waziri wa ardhi nyumba na makazi Godluck Ole medeye, Naibu waziri wa nishati na madini Steven Masele, Mkuu wa mkoa wa Arusha Magesa Mulongo, Mstahiki Meya wa jiji la Arusha Gaudence Lyimo pamoja na viongozi mbalimbali wa UVCCM Taifa na Mkoa.[/h]
clip-5.jpeg

clip-10.jpeg


clip-11.jpeg
clip-12.jpeg


clip-16.jpeg



clip-22.jpeg


clip-25.jpeg


clip-26.jpeg



clip-40.jpeg
clip-45.jpeg
 
KKKT wananishangaza, huyu kafia guest akiwa mtupu lakini kazikwa na Askofu. Wengine wanafariki wachamungu wananyimwa hata mchungaji! Jamani KKKT fanyeni hivyo kwa watu wote sio baadhi ya watu tu, hukumu na msamaha ni kwa bwana sio wanadamu. RIP Mollel
Kufa guest mtupu ukazikwa na askofu si tatizo. Kwani huwezi jua guest alikuwa anafanya nini labda kauwawa na wauaji wakamvulia nguo huwezi jua.Hoja ya msingi ni ubaguzi. Usipokuwa na pesa utabaguliwa sana si katika dini tuu hata katika siasa,familia,jirani na marafiki.Kazi ya kuhukumu si yetu wanadamu. Ukiwa na pesa hata kama wewe ni jambazi linalojulikana Tanzania au fisadi utazikwa kwa heshima zote na viongozi wa dini na watu mashuhuri katika jamii.Lakini haibadilishi uhalisia wa uovu wa mtu, Mola ndiye hakimu.
 
ukiwa na pesa,hata kama una dhambi za waziwazi kanisa huzifumbia macho!mfano Nyerere alisema George Kahama ni mkatoliki aliyeendelea ndiyo maana ana WAKE 2.

Ukristo ni kabla ya kufa na wala sii baada ya kufa. Hicho wanachozika ni udongo tu
 
Mh! RIP kagamba kadogo. Sisi tulikupenda UZINZI ukakupenda zaidi. Kazi ya shetan ilaaniwe.

acha hizo bwana kumsemea marehemu hivyo. Hata ww yanaweza kukuta si vyema kusema maneno mabaya kwa marehemu hata kama huo ndiyo ukweli.
 
Back
Top Bottom