CHADEMA watawaambia nini watanzania 2015?

CHADEMA watawaambia nini watanzania 2015?

Simiyu Yetu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2013
Posts
18,949
Reaction score
4,643
Napata shida sana juu ya CHADEMA ambacho kinajinasibu kuwa ni chama cha kutetea watanzania kumbe ni kundi la walaghai ambalo limejificha kwenye siasa kuendesha maisha yao na familia zao, hivi CHADEMA watatwambia nini baada ya hoja hizi kukosa mashiko?.

Ufisadi siyo hoja tena kwani viongozi wa CHADEMA ni vinara wa ufisadi kwa slaa kujikopesha hela za chama na kugoma kulipa, pia slaa alichukua hela za kanisa kinyume na utaratibu na bado hajakanusha popote.

Mbowe na Lema hawajawahi kusoma mapato na matumizi ya pesa wanazochangisha kwenye mikutano ya hadhara, je huu siyo ufisadi?

Sasa wameleta sera ya kupigana bungeni na kutukana hovyo na kutotii mamlaka ya kiti ngoja tuone hii nayo tamati yake ikoje.

CHADEMA sasa kwenye chama makundi kibao kundi la Mbowe, Slaa, Heche, Mwita, Zitto,

CHADEMA kinaongoza kuwanyima uhuru vijana ndani ya chama twajua sote Zitto, Shonza na mtela walivyofanyiwa ndani ya CHADEMA.

Wamevuruga bunge na kufanya kuwa na bunge la ngumi na matusi .

CHADEMA hawana jipya tena mwalimu alisema rais atatoka chama chochote kile lakini rais bora atatoka chama cha mapinduzi, kikubwa wakati wa CCM kuondoa mapungufu machache yaliyopo ili kiendelee kuwatumikia watu wake.
 
Sijui viroba via Jana, au hujaamka sawa sawa, hebu soma ulochokiandika hapo.
 
Watawaambia ktk kipindi cha miaka hii mitano tumeandamana sana hatukupata muda wa kuwaletea maendeleo twaomba nafasi tena.
 
Wananchi sio mabwege kama wewe! Tunajua kila kitu hasa njama za kishetani za CCM dhidi ya CHADEMA
 
@7000 kuna meli ya sembe imekamatwa italy,jiandae kwa kukosa pesa mwezi huu
 
Mambo dear...Sa jana ndo ukanifanyiaje mpenzi?.nimechoka kukopwa....naomba leo ukija uje kabisa na pesa zangu za siku nne. Haiwezekani useme kika siku huna hela wakati nakuona unalewa tu. Ntumie vocha simuvyangu haina crdt..pls
 
Mambo dear...Sa jana ndo ukanifanyiaje mpenzi?.nimechoka kukopwa....naomba leo ukija uje kabisa na pesa zangu za siku nne. Haiwezekani useme kika siku huna hela wakati nakuona unalewa tu. Ntumie vocha simuvyangu haina crdt..pls

Alikukopa??????
 
Nitabia yake kukopa. Akija hua anakuja na mbwembwe nyingi..siasa nyingi..wakati wa kulipa inakua shida. Kwa kua ni mteja wetu hua tunamsamehe tu. Ila leo lazima anilipe hasa mimi nnayemdai pesa ya 4 good days with him. Tumbo kubwa akili hana
 
unapataje shida na chadema wakati wewe c.c.m?
 
Mwenye macho hana sababu ya kusumbuka nanyi MACCM kwa miharo yenu mnayopost huku jf.
 
Halafu huya demu nampata fika, aliwadanganya wakaka wengi pale makoroboi Mwanza na sasa amehamia Mrina Arusha, mwogopeni kama ukoma, eti nyie hamfahamu?
 
Wananchi sio mabwege kama wewe! Tunajua kila kitu hasa njama za kishetani za CCM dhidi ya CHADEMA
----- wewe unayefanya kazi za ndani kwa slaaunayetumiwa bila kujua unafanya nini unapungufu makubwa kama bavicha.
 
Napatashida sana juu ya chadema ambacho kinajinasibu kuwa ni chama cha kutetea watanzania kumbe ni kundi la walaghai ambalo limejificha kwenye siasa kuendesha maisha yao na familia zao,hivi chadema watatwambia nini baada ya hoja hizi kukosa mashiko?.

ufisadi siyo hoja tena kwani viongozi wa chadema ni vinala wa ufisadi kwa slaa kujikopesha hela za chama na kugoma kulipa,pia slaa alichukua hela za kanisa kinyume na utaratibu na bado hajakanusha popote.

mbowe na lema hawajawahi kusoma mapato na matumizi ya pesa wanazochangisha kwenye mikutano ya hadhara,je huu siyo ufisadi?

Sasa wameleta sera ya kupigana bungeni na kutukana hovyo na kutotii mamlaka ya kiti ngoja tuone hii nayo tamati yake ikoje.

Chadema sasa kwenye chama makundi kibao kundi la mbowe,slaa,heche,mwita,zitto,

Chadema kinaongoza kuwanyima uhuru vijana ndani ya chama twajua sote zito,shonza na mtela walivyofanyiwa ndani ya chadema.

Wamevuruga bunge na kufanya kuwa na bunge la ngumi na matusi .

Chadema hawana jipya tena mwalimu alisema rais atatoka chama chochote kile lakini rais bora atatoka chama cha mapinduzi, kikubwa wakati wa ccm kuondoa mapungufu machache yaliyopo ili kiendelee kuwatumikia watu wake.

Sasa, kama Chadema ni chama 'kibovu' namna hiyo (kama ulivyoandika), mbona unasumbuka nacho sana ??
Yaani, unapoteza muda na pesa zako kukizungumzia chama kibovu namna hiyo ??
Upo hapo ??
 
Chama hakiwezi kuendesha siasa bila uongo na uzushi hiki siyo chama kabisa .
 
Vitendo vinaongea. Hatuhitaji kusikia sauti zao. Vivo hivyo kwa chama cha majambazi. Ni jamii ya watu tunaojitambua.
 
Back
Top Bottom