Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimesema kuwa kimezuiliwa kufanya mikutano pamoja na ziara ya viongozi wa chama hicho kitaifa, kwenye jimbo la mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe wilayani Hai mkoani Kilimanjaro. Hayo yamebainishwa kupitia barua iliyotumwa kwa Katibu wa CHADEMA wilayani Hai, ambayo imesainiwa na Katibu tawala wa wilaya hiyo, Said Omary iliyoelekeza kusitisha kibali cha kufanya mikutano wilayani humo. [ 94 more words ]
Chadema yagonga mwamba kwa Mbowe, yapigwa marufuku
Chadema yagonga mwamba kwa Mbowe, yapigwa marufuku