CHADEMA inavyoisaidia CCM kushinda kwa zaidi ya 98% uchaguzi ujao

Maryam Malya

Senior Member
Nov 29, 2021
115
258
Na Mwl Udadis, Tarime

Moja ya kosa kubwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo wanafanya na ndio inayopelekea wao kuendelea kushuka kila siku ni kudhani kuwa kupendwa na watu ni miujiza au kuna njia fulani ya mkato, ni mawazo haya yanawaaminisha kuwa ndani ya miezi 24 ijayo yatatokea maajabu fulani kisha wao watashinda Uchaguzi. Fikra hii haina tofauti na kuamini mazingaombwe.

Badala ya kufanya kazi hivi sasa Freeman Mbowe na baadhi ya viongozi wanagombana kwa madai kuwa Mbowe amechukizwa kitendo cha kundi la Dkt. Slaa na Wakili Mwabukusi kukusanya fedha kwaajili ya kuendesha mikutano bila kumshirikisha yeye na kisha kutaka kuwashirikisha Chadema katika hatua za mwisho. Msingi wa madai ya kundi la Mbowe yamejengwa katika tamaa ya fedha na ni uthibitisho wa namna baadhi ya viongozi wa Chadema wanavyotumia siasa kujinufaisha badala ya kujenga chama chao.

Wakati huo huo Ndugu Tundu Lissu ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Chama yeye bado yuko Ubeligiji akidai anajipumzisha kidogo baada ya kufanya mikutano katika Mikoa Mitatu. Japo habari za chinichini zinadai yuko katika matibabu kutokana na kuzorota kwa Afya ya akili bado wataalam wa siasa na mikakati wataungana na mimi kuwa Chadema imelala na inakisindikiza Chama cha Mapinduzi katika ushindi wa zaidi ya Asilimia 90.

Ni ukweli usiopingika kuwa ulozi au "Abracadabra" kwenye siasa haipo, hivyo Chadema inapaswa kufanya kazi kama CCM wanavyofanya yaani kufanya ziara, kutatua matatizo au kutoa njia mbadala, kusikiliza watu wanasema nini badala ya kujikusanya katika "WhatsApp group" na kutoka na maazimio ya kihuni ambayo wachangiaji wanayatoa wakiwa bar ya triple seven Mikocheni.
 
Nadhani kwa sasa wanaCCM tuendelee kumuombea Sultani Mbowe kwa kazi nzuri anayoifanya ya kukinyima chama chake kura.

Nampongeza pia Lema kwa kukaa kimya baada ya kuhakikisha chama chake hakipati kura za bodaboda na kina mama. Sina la kuzungumza kuhusu BAWACHA ila ni watu wema na wana nia nzuri na Mama Samia.

Kumwalika kwenye shughuli yao ni ujumbe tosha. Kazi aliyobakiwa nayo Mbowe ni kuhakikisha Ndugai au mwingine kutoka CCM anakuwa mgombea urais wa CHADEMA.

Hii itasaidia kusambaratisha zile kura za wafia chama wa CHADEMA
 
Na Mwl Udadis, Tarime

Moja ya kosa kubwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo wanafanya na ndio inayopelekea wao kuendelea kushuka kila siku ni kudhani kuwa kupendwa na watu ni miujiza au kuna njia fulani ya mkato, ni mawazo haya yanawaaminisha kuwa ndani ya miezi 24 ijayo yatatokea maajabu fulani kisha wao watashinda Uchaguzi. Fikra hii haina tofauti na kuamini mazingaombwe.

Badala ya kufanya kazi hivi sasa Freeman Mbowe na baadhi ya viongozi wanagombana kwa madai kuwa Mbowe amechukizwa kitendo cha kundi la Dkt. Slaa na Wakili Mwabukusi kukusanya fedha kwaajili ya kuendesha mikutano bila kumshirikisha yeye na kisha kutaka kuwashirikisha Chadema katika hatua za mwisho. Msingi wa madai ya kundi la Mbowe yamejengwa katika tamaa ya fedha na ni uthibitisho wa namna baadhi ya viongozi wa Chadema wanavyotumia siasa kujinufaisha badala ya kujenga chama chao.

Wakati huo huo Ndugu Tundu Lissu ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Chama yeye bado yuko Ubeligiji akidai anajipumzisha kidogo baada ya kufanya mikutano katika Mikoa Mitatu. Japo habari za chinichini zinadai yuko katika matibabu kutokana na kuzorota kwa Afya ya akili bado wataalam wa siasa na mikakati wataungana na mimi kuwa Chadema imelala na inakisindikiza Chama cha Mapinduzi katika ushindi wa zaidi ya Asilimia 90.

Ni ukweli usiopingika kuwa ulozi au "Abracadabra" kwenye siasa haipo, hivyo Chadema inapaswa kufanya kazi kama CCM wanavyofanya yaani kufanya ziara, kutatua matatizo au kutoa njia mbadala, kusikiliza watu wanasema nini badala ya kujikusanya katika "WhatsApp group" na kutoka na maazimio ya kihuni ambayo wachangiaji wanayatoa wakiwa bar ya triple seven Mikocheni.
MAPANZI YAKIWA YANAZIPIGA KUNGURU ANA KAZI MOJA TU NI KUYATAFUNA YOTE KWA PAMOJA
 
Na Mwl Udadis, Tarime

Moja ya kosa kubwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo wanafanya na ndio inayopelekea wao kuendelea kushuka kila siku ni kudhani kuwa kupendwa na watu ni miujiza au kuna njia fulani ya mkato, ni mawazo haya yanawaaminisha kuwa ndani ya miezi 24 ijayo yatatokea maajabu fulani kisha wao watashinda Uchaguzi. Fikra hii haina tofauti na kuamini mazingaombwe.

Badala ya kufanya kazi hivi sasa Freeman Mbowe na baadhi ya viongozi wanagombana kwa madai kuwa Mbowe amechukizwa kitendo cha kundi la Dkt. Slaa na Wakili Mwabukusi kukusanya fedha kwaajili ya kuendesha mikutano bila kumshirikisha yeye na kisha kutaka kuwashirikisha Chadema katika hatua za mwisho. Msingi wa madai ya kundi la Mbowe yamejengwa katika tamaa ya fedha na ni uthibitisho wa namna baadhi ya viongozi wa Chadema wanavyotumia siasa kujinufaisha badala ya kujenga chama chao.

Wakati huo huo Ndugu Tundu Lissu ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Chama yeye bado yuko Ubeligiji akidai anajipumzisha kidogo baada ya kufanya mikutano katika Mikoa Mitatu. Japo habari za chinichini zinadai yuko katika matibabu kutokana na kuzorota kwa Afya ya akili bado wataalam wa siasa na mikakati wataungana na mimi kuwa Chadema imelala na inakisindikiza Chama cha Mapinduzi katika ushindi wa zaidi ya Asilimia 90.

Ni ukweli usiopingika kuwa ulozi au "Abracadabra" kwenye siasa haipo, hivyo Chadema inapaswa kufanya kazi kama CCM wanavyofanya yaani kufanya ziara, kutatua matatizo au kutoa njia mbadala, kusikiliza watu wanasema nini badala ya kujikusanya katika "WhatsApp group" na kutoka na maazimio ya kihuni ambayo wachangiaji wanayatoa wakiwa bar ya triple seven Mikocheni.


Tatizo letu watu ni wajinga jinga sana. Chama ambacho kimejitahidi angalau Tanzania kuna Chama cha upinzani kinacho tusaidia kupata katiba mpya wewe ndiye una jikita kupiga madongo. Vyama vingine vyote viko wapi?? jiulize hili kabla ya kuandika vitu vya ajabu
 
Mtoa mada ni Mwl. Juzi kati mliandamana kwenda kudai haki zenu kwenye ofisi ya ccm!,UJINGA, UMASIKINI, MARADHI NA COUSIN WAO RUSHWA bado wapo nchini na wametamalaki, wewe sio msemaji wa CDM,au Watanzania!jiulize ccm wanaogopa nini kuhusu tume huru ya uchaguzi yenye staff wake?
 
Nadhani kwa sasa wanaCCM tuendelee kumuombea Sultani Mbowe kwa kazi nzuri anayoifanya ya kukinyima chama chake kura.

Nampongeza pia Lema kwa kukaa kimya baada ya kuhakikisha chama chake hakipati kura za bodaboda na kina mama. Sina la kuzungumza kuhusu BAWACHA ila ni watu wema na wana nia nzuri na Mama Samia.

Kumwalika kwenye shughuli yao ni ujumbe tosha. Kazi aliyobakiwa nayo Mbowe ni kuhakikisha Ndugai au mwingine kutoka CCM anakuwa mgombea urais wa CHADEMA.

Hii itasaidia kusambaratisha zile kura za wafia chama wa CHADEMA
Ccm haiwezi pata kura za boda boda hata siku moja mafuta kila siku yanapanda bei nani wakuichekea ccm kama kutakuwa katiba mpya
 
Na Mwl Udadis, Tarime

Moja ya kosa kubwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo wanafanya na ndio inayopelekea wao kuendelea kushuka kila siku ni kudhani kuwa kupendwa na watu ni miujiza au kuna njia fulani ya mkato, ni mawazo haya yanawaaminisha kuwa ndani ya miezi 24 ijayo yatatokea maajabu fulani kisha wao watashinda Uchaguzi. Fikra hii haina tofauti na kuamini mazingaombwe.

Badala ya kufanya kazi hivi sasa Freeman Mbowe na baadhi ya viongozi wanagombana kwa madai kuwa Mbowe amechukizwa kitendo cha kundi la Dkt. Slaa na Wakili Mwabukusi kukusanya fedha kwaajili ya kuendesha mikutano bila kumshirikisha yeye na kisha kutaka kuwashirikisha Chadema katika hatua za mwisho. Msingi wa madai ya kundi la Mbowe yamejengwa katika tamaa ya fedha na ni uthibitisho wa namna baadhi ya viongozi wa Chadema wanavyotumia siasa kujinufaisha badala ya kujenga chama chao.

Wakati huo huo Ndugu Tundu Lissu ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Chama yeye bado yuko Ubeligiji akidai anajipumzisha kidogo baada ya kufanya mikutano katika Mikoa Mitatu. Japo habari za chinichini zinadai yuko katika matibabu kutokana na kuzorota kwa Afya ya akili bado wataalam wa siasa na mikakati wataungana na mimi kuwa Chadema imelala na inakisindikiza Chama cha Mapinduzi katika ushindi wa zaidi ya Asilimia 90.

Ni ukweli usiopingika kuwa ulozi au "Abracadabra" kwenye siasa haipo, hivyo Chadema inapaswa kufanya kazi kama CCM wanavyofanya yaani kufanya ziara, kutatua matatizo au kutoa njia mbadala, kusikiliza watu wanasema nini badala ya kujikusanya katika "WhatsApp group" na kutoka na maazimio ya kihuni ambayo wachangiaji wanayatoa wakiwa bar ya triple seven Mikocheni.

Punguza umbea mtoto wa kike. Mnatengeneza picha mnaishadadia wenyewe. Watu Wana shida ya mafuta ya petroli wewe unaleta taarifa za umbea hapa.
 
Na Mwl Udadis, Tarime

Moja ya kosa kubwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo wanafanya na ndio inayopelekea wao kuendelea kushuka kila siku ni kudhani kuwa kupendwa na watu ni miujiza au kuna njia fulani ya mkato, ni mawazo haya yanawaaminisha kuwa ndani ya miezi 24 ijayo yatatokea maajabu fulani kisha wao watashinda Uchaguzi. Fikra hii haina tofauti na kuamini mazingaombwe.

Badala ya kufanya kazi hivi sasa Freeman Mbowe na baadhi ya viongozi wanagombana kwa madai kuwa Mbowe amechukizwa kitendo cha kundi la Dkt. Slaa na Wakili Mwabukusi kukusanya fedha kwaajili ya kuendesha mikutano bila kumshirikisha yeye na kisha kutaka kuwashirikisha Chadema katika hatua za mwisho. Msingi wa madai ya kundi la Mbowe yamejengwa katika tamaa ya fedha na ni uthibitisho wa namna baadhi ya viongozi wa Chadema wanavyotumia siasa kujinufaisha badala ya kujenga chama chao.

Wakati huo huo Ndugu Tundu Lissu ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Chama yeye bado yuko Ubeligiji akidai anajipumzisha kidogo baada ya kufanya mikutano katika Mikoa Mitatu. Japo habari za chinichini zinadai yuko katika matibabu kutokana na kuzorota kwa Afya ya akili bado wataalam wa siasa na mikakati wataungana na mimi kuwa Chadema imelala na inakisindikiza Chama cha Mapinduzi katika ushindi wa zaidi ya Asilimia 90.

Ni ukweli usiopingika kuwa ulozi au "Abracadabra" kwenye siasa haipo, hivyo Chadema inapaswa kufanya kazi kama CCM wanavyofanya yaani kufanya ziara, kutatua matatizo au kutoa njia mbadala, kusikiliza watu wanasema nini badala ya kujikusanya katika "WhatsApp group" na kutoka na maazimio ya kihuni ambayo wachangiaji wanayatoa wakiwa bar ya triple seven Mikocheni.

Punguza utoto dogo. Ccm haina uwezo wa kupata kura zaidi ya 50%, na Wala haitakaa iweze tena. Vyombo vya Dola ndio mbeleko pekee ya ccm.
 
Tatizo letu watu ni wajinga jinga sana. Chama ambacho kimejitahidi angalau Tanzania kuna Chama cha upinzani kinacho tusaidia kupata katiba mpya wewe ndiye una jikita kupiga madongo. Vyama vingine vyote viko wapi?? jiulize hili kabla ya kuandika vitu vya ajabu
Chama ambacho kutwa nzima kinachafua mwendazake au kipi
 
Na Mwl Udadis, Tarime

Moja ya kosa kubwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo wanafanya na ndio inayopelekea wao kuendelea kushuka kila siku ni kudhani kuwa kupendwa na watu ni miujiza au kuna njia fulani ya mkato, ni mawazo haya yanawaaminisha kuwa ndani ya miezi 24 ijayo yatatokea maajabu fulani kisha wao watashinda Uchaguzi. Fikra hii haina tofauti na kuamini mazingaombwe.

Badala ya kufanya kazi hivi sasa Freeman Mbowe na baadhi ya viongozi wanagombana kwa madai kuwa Mbowe amechukizwa kitendo cha kundi la Dkt. Slaa na Wakili Mwabukusi kukusanya fedha kwaajili ya kuendesha mikutano bila kumshirikisha yeye na kisha kutaka kuwashirikisha Chadema katika hatua za mwisho. Msingi wa madai ya kundi la Mbowe yamejengwa katika tamaa ya fedha na ni uthibitisho wa namna baadhi ya viongozi wa Chadema wanavyotumia siasa kujinufaisha badala ya kujenga chama chao.

Wakati huo huo Ndugu Tundu Lissu ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Chama yeye bado yuko Ubeligiji akidai anajipumzisha kidogo baada ya kufanya mikutano katika Mikoa Mitatu. Japo habari za chinichini zinadai yuko katika matibabu kutokana na kuzorota kwa Afya ya akili bado wataalam wa siasa na mikakati wataungana na mimi kuwa Chadema imelala na inakisindikiza Chama cha Mapinduzi katika ushindi wa zaidi ya Asilimia 90.

Ni ukweli usiopingika kuwa ulozi au "Abracadabra" kwenye siasa haipo, hivyo Chadema inapaswa kufanya kazi kama CCM wanavyofanya yaani kufanya ziara, kutatua matatizo au kutoa njia mbadala, kusikiliza watu wanasema nini badala ya kujikusanya katika "WhatsApp group" na kutoka na maazimio ya kihuni ambayo wachangiaji wanayatoa wakiwa bar ya triple seven Mikocheni.
Imenilazimu tu nikupe 'like', pamoja na kwamba kuna maudhui ya mada yako sikubaliani nayo.

Ninachokubaliana na wewe moja kwa moja ni kwamba CHADEMA hawajui wanachofanya. Ni kama Chama kilichochanganyikiwa.

Samia kawachanganya, kupiti a kwa Mwenyekiti wao. Sasa hivi Mwenyekiti anafanya kazi ya ziada kutuliza kundi ambalo lilikuwa mbali kabisa na msimamo wake wa makubaliano na Samia, kupitia kwenye kinachoelezwa kuwa "Maridhiano."

CHADEMA tayari wameipoteza nafasi, upenyo ambao CCM walikuwa wamewawezesha kwa madudu mengi yanayofanywa na chama hicho.
...imelala na inakisindikiza Chama cha Mapinduzi katika ushindi...", hata kama siyo ushindi wa zaidi ya asili mia 90" kama usemavyo wewe.

CHADEMA ni kama ghafla wamerogwa wasijue lipi la kufanya, huku dalili zote zikionyesha fursa kubwa sana kwao kutokana na ubovu uliofikiwa na CCM.

Ghafla, CHADEMA hawataki kufanya kazi, kama wamedungwa sindano ya ganzi. Wanachojua tu sasa hivi ni hiyo wanayoiita "Operation 255", ambayo haitawafikisha popote. Watu wanahudhuria mikutano yao kwa wingi, lakini wanatoka hapo hawana chochote wanachokikumbuka kuwafanya kuwachagua CHADEMA wakati wa kura.
wanarudia tu njia zilezile za miaka yote, wakitegemea wakati huu kupata matokeo tofauti?
Ninakubaliana na wewe moja kwa moja, katika maneno haya uliyotumia hapa, kwamba: "CHADEMA

Hakuna mategemeo kwa chama hiki kuwaondoa CCM madarakani. Wanachopigania tu sasa hivi ni kuungana na CCM ya Samia, ili na wao wakavune fursa za kuwaumiza waTanzania badala ya kuwakomboa.

Hopeless Kabisa.
 
Na Mwl Udadis, Tarime

Moja ya kosa kubwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo wanafanya na ndio inayopelekea wao kuendelea kushuka kila siku ni kudhani kuwa kupendwa na watu ni miujiza au kuna njia fulani ya mkato, ni mawazo haya yanawaaminisha kuwa ndani ya miezi 24 ijayo yatatokea maajabu fulani kisha wao watashinda Uchaguzi. Fikra hii haina tofauti na kuamini mazingaombwe.

Badala ya kufanya kazi hivi sasa Freeman Mbowe na baadhi ya viongozi wanagombana kwa madai kuwa Mbowe amechukizwa kitendo cha kundi la Dkt. Slaa na Wakili Mwabukusi kukusanya fedha kwaajili ya kuendesha mikutano bila kumshirikisha yeye na kisha kutaka kuwashirikisha Chadema katika hatua za mwisho. Msingi wa madai ya kundi la Mbowe yamejengwa katika tamaa ya fedha na ni uthibitisho wa namna baadhi ya viongozi wa Chadema wanavyotumia siasa kujinufaisha badala ya kujenga chama chao.

Wakati huo huo Ndugu Tundu Lissu ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Chama yeye bado yuko Ubeligiji akidai anajipumzisha kidogo baada ya kufanya mikutano katika Mikoa Mitatu. Japo habari za chinichini zinadai yuko katika matibabu kutokana na kuzorota kwa Afya ya akili bado wataalam wa siasa na mikakati wataungana na mimi kuwa Chadema imelala na inakisindikiza Chama cha Mapinduzi katika ushindi wa zaidi ya Asilimia 90.

Ni ukweli usiopingika kuwa ulozi au "Abracadabra" kwenye siasa haipo, hivyo Chadema inapaswa kufanya kazi kama CCM wanavyofanya yaani kufanya ziara, kutatua matatizo au kutoa njia mbadala, kusikiliza watu wanasema nini badala ya kujikusanya katika "WhatsApp group" na kutoka na maazimio ya kihuni ambayo wachangiaji wanayatoa wakiwa bar ya triple seven Mikocheni.
Kuna kitu yawezekana unakiwaza kichwani mwako lakini uwezo wa kukifikisha kwa umma kadiri ya matamanio yako Umeshindwa.
 
Punguza utoto dogo. Ccm haina uwezo wa kupata kura zaidi ya 50%, na Wala haitakaa iweze tena. Vyombo vya Dola ndio mbeleko pekee ya ccm.
Ninakubaliana na wewe; na hapo hapo nawageukia CHADEMA kwa kutofanya juhudi za kutafuta njia za kuzuia uhalifu huo unaofanywa na CCM.

Wakati huu kungetakiwa kuwa na jotojoto sana katika eneo hilo, lakini CHADEMA ni kama wamekufa kabisa!

Najua utadai mifano ya mapendekezo wafanye nini. Haya tulishapendekeza mara nyingi humu:

1. Ni wakati wa kutafuta njia za kupata pesa ya kutosha kufanya kazi kubwa zinazowakabili CHADEMA mbele ya safari hadi kufikia chaguzi zijazo. Wakati wa kufanya kazi hiyo ni sasa, siyo kusubiri hadi mwakani. CCM anayo mapesa mengi sana ya kuchezea, mengine mengi safari hii yatamwagwa toka Arabuni, wanaotafuta uwekezaji wa kutununua.. Njia pekee na rahisi iliyopo kwa CHADEMA kupata pesa ya kutosha ni kuwategemea wananchi wenyewe, kutoa michango yao. Tsh 1,000 kwa wananchi milioni kumi na tano, kati ya sasa na 2025, ni kianzio kizuri cha pato.

2. Wizi wa kura unaofanywa na CCM, hata bila kutumia polisi, huanzia mashinani, kwenda juu. Tulishapendekeza mara nyingi, CHADEMA wajipange tokea huko mashinani. CCM wakipanga uhalifu huko, CHADEMA wanazuia uhalifu huko huko, mitaani. CHADEMA wapo wapo tu, wanachojua ni "Operation 255". Sasa ni kama ni njia inayotumika kulaza watu usingizi wakisubiri bomu linaloandaliwa la "Serikali ya Umoja"; wazo analowahadaa nalo Samia.

3. Tumependekeza mara kadhaa humu, CHADEMA wajipange sawia kuanzia sasa, kupata na kuweka wagombea katika nafasi zote zinazopigiwa kura, kusiwepo tena na nafasi zinazokosa wagombea wa chama hico mahali popote. Kila nafasi inayogombewa na mtu wa CCM, ni lazima awepo wa CHADEMA, hakuna sababu tena ya kushindwa kufanya hivyo. Hawa wagombea, wawe wameandaliwa kisawasawa, pasiwepo tena na mtu kushindwa kujaza fomu.

4.Wawakilishi wa chama hicho (CHADEMA) wakati wa uchaguzi, kwenye vituo vyote vya kupigia kura, wawe ni watu wanaojua kazi yao ni nini, pasiwepo tena na mamluki wanaotumiwa na CCM kuvuruga kura za wananchi

5. CHADEMA inao wajibu wa kuwaandaa wananchi, kuwapa elimu na mikakati ya kuzuia kuharibiwa kura zao huko huko kwenye vituo vya kupigia kura.
Hakuna polisi yeyote asiyekuwa na akili kutojua kuwa wananchi hawataki kura zao zichezewe.
Hii ni kazi wanayotakiwa kuwa tayari wanaifanya CHADEMA, kuwaelimisha wananchi, na kupanga mikakati ya kuifanya kwa ufanisi. Lakini CHADEMA, wanaimba tu "Operation 255", kana kwamba hakuna jambo jingine lolote wanalotakiwa kulifanya, ili wapate ushindi wa haki kabisa.

Au pengine CHADEMA watashawishika "Ksusia uchaguzi"? Njia ambayo ni chaguo la baadhi ya watu, huku wakijua hiyo ndiyo njia chee kwa CCM kuendelea kukaa madarakani.
 
Ninakubaliana na wewe; na hapo hapo nawageukia CHADEMA kwa kutofanya juhudi za kutafuta njia za kuzuia uhalifu huo unaofanywa na CCM.

Wakati huu kungetakiwa kuwa na jotojoto sana katika eneo hilo, lakini CHADEMA ni kama wamekufa kabisa!

Najua utadai mifano ya mapendekezo wafanye nini. Haya tulishapendekeza mara nyingi humu:

1. Ni wakati wa kutafuta njia za kupata pesa ya kutosha kufanya kazi kubwa zinazowakabili CHADEMA mbele ya safari hadi kufikia chaguzi zijazo. Wakati wa kufanya kazi hiyo ni sasa, siyo kusubiri hadi mwakani. CCM anayo mapesa mengi sana ya kuchezea, mengine mengi safari hii yatamwagwa toka Arabuni, wanaotafuta uwekezaji wa kutununua.. Njia pekee na rahisi iliyopo kwa CHADEMA kupata pesa ya kutosha ni kuwategemea wananchi wenyewe, kutoa michango yao. Tsh 1,000 kwa wananchi milioni kumi na tano, kati ya sasa na 2025, ni kianzio kizuri cha pato.

2. Wizi wa kura unaofanywa na CCM, hata bila kutumia polisi, huanzia mashinani, kwenda juu. Tulishapendekeza mara nyingi, CHADEMA wajipange tokea huko mashinani. CCM wakipanga uhalifu huko, CHADEMA wanazuia uhalifu huko huko, mitaani. CHADEMA wapo wapo tu, wanachojua ni "Operation 255". Sasa ni kama ni njia inayotumika kulaza watu usingizi wakisubiri bomu linaloandaliwa la "Serikali ya Umoja"; wazo analowahadaa nalo Samia.

3. Tumependekeza mara kadhaa humu, CHADEMA wajipange sawia kuanzia sasa, kupata na kuweka wagombea katika nafasi zote zinazopigiwa kura, kusiwepo tena na nafasi zinazokosa wagombea wa chama hico mahali popote. Kila nafasi inayogombewa na mtu wa CCM, ni lazima awepo wa CHADEMA, hakuna sababu tena ya kushindwa kufanya hivyo. Hawa wagombea, wawe wameandaliwa kisawasawa, pasiwepo tena na mtu kushindwa kujaza fomu.

4.Wawakilishi wa chama hicho (CHADEMA) wakati wa uchaguzi, kwenye vituo vyote vya kupigia kura, wawe ni watu wanaojua kazi yao ni nini, pasiwepo tena na mamluki wanaotumiwa na CCM kuvuruga kura za wananchi

5. CHADEMA inao wajibu wa kuwaandaa wananchi, kuwapa elimu na mikakati ya kuzuia kuharibiwa kura zao huko huko kwenye vituo vya kupigia kura.
Hakuna polisi yeyote asiyekuwa na akili kutojua kuwa wananchi hawataki kura zao zichezewe.
Hii ni kazi wanayotakiwa kuwa tayari wanaifanya CHADEMA, kuwaelimisha wananchi, na kupanga mikakati ya kuifanya kwa ufanisi. Lakini CHADEMA, wanaimba tu "Operation 255", kana kwamba hakuna jambo jingine lolote wanalotakiwa kulifanya, ili wapate ushindi wa haki kabisa.

Au pengine CHADEMA watashawishika "Ksusia uchaguzi"? Njia ambayo ni chaguo la baadhi ya watu, huku wakijua hiyo ndiyo njia chee kwa CCM kuendelea kukaa madarakani.
Honestly ukiniambia suala la uchaguzi hata sijui unaniambia Nini. Hiyo unayosema cdm kujipanga huko chini si ndio hiyo tunaona mawakala wake wakizuiwa kuingia vituoni? Si ndio hiyo tunaona wanaenguliwa kihuni kuwa hawawezi kujaza fomu za uchaguzi? Hiyo kuwapanga wananchi kulinda kura zao, si ndio wanaishiwa kubambikiwa kesi kuwa wanaharibu uchaguzi? In short bro uko kinadharia zaidi.

Hiyo unayosems kupata hela, wanapata wapi wakati hata ukipitishwa mkeka watu hawawezi kufikia 50m? Machafuko au mapinduzi ya kijeshi pekee ndio suluhu. Hizo njia zako nyingine zilishafeli, naona ni kama unafurahisha genge.
 
Back
Top Bottom