CHADEMA wanaweweseka

CHADEMA wanaweweseka

Wew hujui kitu ukiachilia tabora sehemu nyingine ambayo ACT itakuwa na ngome kubwa ni huko mtwara

Truvada wale jamaa wameteswa na kuhangaishwa wakiwa na CUF juu ya gesi watu hawana mda na chama kipya , kama ni uislamu CUF ni zaidi. Ukumbuke zk alialikwa na Lipumba nae akaalika wanachama wake na kuwapa coaster jamaa walitaka kuwafumua ila wakaombewa na Lipumba basi wakasamahewa na kuambiwa wakae kimya Lipumba alichukia sana hali hii ya zk kutaka kumzunguka alimponda sana kwenye media-kaka zk habebeki anaku-double-crosss dakika moja tu . Uliona Lipumba alipotangaza nia? mda mwingi alizungumzia mtwara na lindi.

Kaka nazifahamu hizi siasa nilionya ya mbeya watu wakasema sijui siasa naonya tena huko kusini kazi ipo bora cdm wanakuzomea tu , Cuf WAME-INVEST SANA HUKO KUSINI
 
Kwa hiyo ACT mnavunja ngome za Chadema kwa hotuba "safi" za kiongozi wenu mkuu na sio ngome za CCM? Kweli nyie mahayawani wakubwa na bado mnajiita chama cha upinzani.
Huo ni upinzani gani kwa wapinzani na sio watawala? Majitu makubwa na akili za kushikiwa ni shida sana.
kwani chadema wanahatimiliki ya upinzani wa Tanzania
 
kwani chadema wanahatimiliki ya upinzani wa Tanzania

zitto lazima ajipakize mbavuni mwa chadema ili aweze kuonekana ,atazomewa sana na kuna siku atavuliwa nguo mchana kweupe kwa usaliti wake,Mbeya walichukuwa mfano wa mwili wake wakamfunga ndani ya sanduku na sanda nyeusi kulinganisha na shetani leo mbeya wa weweseke unatania wewe ajiulize kama usaliti unalipa Mbona akiwa chadema alikuwa anabebwa
 
Dkt Kilembwe

Asante Mzalendo kwa taarifa safi. Jana watu wenye hekima zao baada ya kusikia uhuni huu wameamua kuachana na cdm.
 
Last edited by a moderator:
Asante Mzalendo kwa taarifa safi. Jana watu wenye hekima zao baada ya kusikia uhuni huu wameamua kuachana na cdm.
Zitto atazomewa tena sana asilimia 85 ya maeneo aliyopita kazomewa ,mbeya wametoa vielelezo aangalie anasema nini majukwaani TISS hawambebi
 
SUGU ameshindwa kumuongoza mke, mpaka wanapelekana mahakamani ataweza kuongoza MBEYA MJINI?

Mkuu Mussa,

Hivi yule pacha wako LAKI si pesa yuko wapi now days? Maana tangu kuadimilka kwake hapa Jamvini Id ya Kinjeketile imekuwa busy kwa mtindo uleule wa jamaa yako.. Vipi naye kabatizwa na kubadiri jina nini? Nijuze tafadhari nimemiss kweli jembe lako yule..!!

BACK TANGANYIKA
 
Last edited by a moderator:
zitto lazima ajipakize mbavuni mwa chadema ili aweze kuonekana ,atazomewa sana na kuna siku atavuliwa nguo mchana kweupe kwa usaliti wake,mbeya walichukuwa mfano wa mwili wake wakamfunga ndani ya sanduku na sanda nyeusi kulinganisha na shetani leo mbeya wa weweseke unatania wewe ajiulize kama usaliti unalipa mbona akiwa chadema alikuwa anabebwa

kwa style hii mtakua wapinzani milele
 
Mwanasiasa mjinga pekee anaeogopa kuzomewa Zitto alikuwa pale na amezomewa akubali kuzomewa hata kama aliishia ndani ya gari.
 
CHADEMA wamebaki wanafanya siasa za maonyesho na chuki
Kwa hiyo Dkt mangungu unataka kusema kuwa chama Tawala CCM hivi sasa hofu yake iko kwa ACT maana hao wengine ni wa maonyesho? Unataka watu wenye akili waelewe hivyo?
 
Mwanasiasa mjinga pekee anaeogopa kuzomewa Zitto alikuwa pale na amezomewa akubali kuzomewa hata kama aliishia ndani ya gari.

http://sundayshomari.com/2011/11/01/zito-kufanyiwa-upasuaji/
Watu hawaelewi tuu, ila tokea Zitto aende India na kufanyiwa upasuaji wa kichwa kwa ile malaria yake ambayo amesema ilimsumbua miaka kumi kumejitokeza tofauti kubwa sana za tabia na utendaji wake.
Mkuu upasuaji wa kichwa usipokuwa makini unaweza kuacha nati kadhaa katika ubongo zikiwa sio sawa, ila kwa vile kuna watu wana mahaba niue waweza kukuta badala ya kumshauri arudi akachunguzwe tena wao wanaona kila afanyacho ni sawa.
 
asante mzalendo kwa taarifa safi. Jana watu wenye hekima zao baada ya kusikia uhuni huu wameamua kuachana na cdm.

kuzomea ni tabia ya kivuta bangi.na chadema kwao wameona hiyo ni sifa nzuri.nawahakikishia hakuna mvuta bangi atakayeingia ikulu.chadema ikulu mtaisikia tu.ngojeni muone mwaka huu mnabaki na wabunge wangapi.
 
Froida

acha matusi video ipo wazi kabisa zitto hana hata hadhi ya kuogopwa na wana mbeya kwanza sio jadi yao kuogopa mtu zitto ni irrelevant atazomewa sana ni majibu na faida za mtu msaliti mtu asiyejua kufikiri anayeendeshwa kama robot mtu anaye hang kama zitto mbeya atazomewa tu kama alivyozomewa geita kigoma makambako na shinyanga
Kweli CHADEMA mnaweweseka hebu itafute hiyo video tena uiangalie vizuri
 
Back
Top Bottom