Mbona wanahangaika sana,Mbowe hawajibiki kwa namna yoyote kwa uchumi au rushwa ilivyo kithiri kwa kuwa chama chake si chama tawala na wala hawakusanyi kodi.Ni chama cha upinzani cha ajabu tu kinaweza kumsuta Mbowe au Chadema.Kazi wanazo fanya ACT haitofautiani na ile anayo fanya Nape au Kinana.The good thing is wana nchi wame wa gundua na watazomewa kweli hadi wataziogopa jezi za Mbeya cityMusipombadilisha huyo malaika wenu mtatumia fedha nyingi kupiga ngumi ukuta. Wananchi wanataka kusikia ubovu wa serekali na CCM mkienda kuanza story za Mbowe wakati wananchi hawamsikii mbowe kuwataja mnabugi ndio zomea inaanza na p0lice hawawezi kuzuia mtu asizomewe.
Hawako tayari kwa Padre retired kwa kufuata kanuni bali nyie CCM mko tayari kuongozwa na Padre on duty Augustino Ramadhani?nani kakudanganya kwamba cuf wako tayari kuongozwa na padri!
kuzomea ni tabia ya kivuta bangi.na chadema kwao wameona hiyo ni sifa nzuri.nawahakikishia hakuna mvuta bangi atakayeingia ikulu.chadema ikulu mtaisikia tu.ngojeni muone mwaka huu mnabaki na wabunge wangapi.
Hawajamaa ni wa ajabu kweli,eti wanaikataa zomea zomea ya mbeya eti zito alisha ondoka.Huyo Zito hajapata pata zomea zomea ya ukweli bado.Siku atakapo pata yenyewe,ata acha siasa siku hiyo hiyo.CDM hawafanyi siasa za maji taka tena...
Wanajiandaa kuchukua nchi...
kweli Mshume Kiyate mijitu mingine ni MBWIGA kwelikweliNimecheka sana jioni ya leo,waiter ebu niongezee hiyo castle bariiiidiiiiii
kweli Mshume Kiyate mijitu mingine ni MBWIGA kwelikweli
kumbe Mmawia inakunywa huku inajibu hovyohovyo tu mradi ni kupinga post yoyote against CHADEMA
KURA zikihesabiwa ndio wa kwanza kudai zimeibiwa
Mwenyekiti wake akimlabua Msimamizi wa uchaguzi kaonewa sio JINAI hiyo
badala ya kutetea au kupinga HOJA anarukia post yoyote
ngoja pommbe za ulanzi imuishie kichwani maana saahizianaweza niporomoshea matusi ya BAVICHA
Hawako tayari kwa Padre retired kwa kufuata kanuni bali nyie CCM mko tayari kuongozwa na Padre on duty Augustino Ramadhani?
ccm watia nia 40 chadema mna mgombea wa maisha na mmeshamtawaza majukwaani padri Slaa. Hapo vipi!
Ukiona utitiri wawatia nia kwenye chama kimoja ujue hakuna anayeaminiwa kuwavusha salama.Na kwa upande wapili hakuna binadamu anaweza kugombea maisha kuna nyakati na kukubalika kwa mtu
Hicho sasa kiherehere! Mbona Chadema mchakato haujaanza wewe unakuja na vioja? Huyo Slaa kagombea 2010 pekee unamwita wa maisha lakini watu kama Mwandosya ambao tokea 1995 wanatafuta nafasi hiyo huwashangai.ccm watia nia 40 chadema mna mgombea wa maisha na mmeshamtawaza majukwaani padri Slaa. Hapo vipi!