#COVID19 CHADEMA wanatetea ajabu hata wao hawachanji

Ndugu wanajamvi..kwa mjibu wa uachaguzi wa 2020..mashabiki wa Chadema ni million5 na zaidi..na kwa mjibu wa viongozi wa Chadema walisema chanjo ni muhimu na ni lazima kila mtu kulazimishwa kuchanjwa kitu amabcho ni kizuri.Swali..nikwanini hadi sasa waliochanjwa ni laki 3.50 wakati kama chadema kwa umoja wao wangejitokeza kwenda kuchanywa ingeonyesha kiwa hii chanjo ni bora sana..Kwa sbab wananch wa kawaida hawachanji kwa sbb hawaiamni CCM hivyo nilitarajia CHadema ikaanzishq makongamano ya kuhamasisha wanachama na wapenzi wao kuchanja hapo tungeuona umaja ulw wa kutaka maandamano na mambo ya katiba yanaleta mawndeleo zaidi.So kwanini makongamano hayawatumii mashabiki kwenda kuchanja?
Tupo kwenye maombi ya mwenyekiti!pia chanjo ni hiari.
 
Kwa hili la chanjo limefanya tuwaze hivi
1. Aidha wanchama wa cdm wako chini ya laki 3
2. Aidha huwa wanaitikia usoni manenonya Mwenyekiti na kuyakataa moyoni. Hii ni kusema hata kwenye kura hawakipigii chama.
Wana kauli ile kula kwa Mbowe kulala ccm.
3. Aidha hata wao hawakubaliani na chanjo hata Mbowe asemaje kimsingi wako kwa ideal za Mqgu na ni washabiki wake kwa mengi.

Sleep mode
 
Wakuu swala la chanjo ni ishu ya uhiari. Na siyo lazima, chadema haiwezi kuwalazimisha wanachama wake. Kwa ulazima kwenda kuchanjwa,
Ili hali swala ilo ni la kila mmoja watu. Unless otherwise ingekuwa ni agenda la Taifa kwa ujumla au swala la kichama.
Ivyo basi itoshe kusema ya kwamba viongozi wetu tuliowapa dhamana juu ya swala hili wameshindwa kuwa-converse wananchi juu ya chanjo

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom