The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,003
- 3,269
CCM imechokwa na inaonekana kama kinyesi cha mbwa. Muishukuru tume na policcm kuwaweka madarakani kwa nguvu.Hatimae kipigo kimeendelezwa konondoni naamini kinafuatia kingine siha kuna haja CHADEMA mjitathimin aina ya siasa zenu yawezekana kuna kitu wapiga Kura hawa bado hawawaelewi au bado mna siasa za mwaka 47
CHADEMA ya SLAA sio ya sasa hii ya sasa nadhani NI mpya inayo elekea shimoni
CCM inapendwa kwa sera sio mtu