Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,617
ItajulikanaKwani mna dawa ya kuwauwa viongozi wa CCM ?
ItajulikanaKwani mna dawa ya kuwauwa viongozi wa CCM ?
Huyu pumbavu tuHawajashilikishwa!?
Kukaa mezani na wehu chadema ?mtapiga kelele wee ,katiba hamtafanikiwa kwa kulazimisha ,katiba itapatikana pale ambapo mama na ccm watakapoamua na si huyu disko joker na genge lakeWatashirikishwa lini? Mliwahi kukaa mezani na Chadema kujadili hili? Mnapita tuu na vipaza sauti na kusema kuna watu wameanza choko choko.
Misukule ni misukule kama nyinyiNdio siasa, wako watakuunga mkono, na wengine hawata kuunda mkono. Waite jina lolote lakini ndio wapiga kura.
Labda tumuulize kiongozi wenu wa uvccm aliyesema mnawaua watu kwa sindanoKwani mna dawa ya kuwauwa viongozi wa CCM ?
Hoja yake ina mashiko, leo nilikuwa naongea na Majirani zangu nikawauliza kuwa wao wanajali Katiba mpya au kuondolewa tozo kwenye miamala, wakasema tozo iondolewe kwasababu inawatesa 😁
Hivi mpuuzi kama Mbowe anajua hata umuhimu wa katiba yenyewe ? Si ni huyy huyu kajeuka kuwa Mwenyekiti wa maisha ?Mkuu lakini bila makongamano kama haya lililokuwa lifanyike leo Mwanza Watanzania watajuaje huo umuhimu wa Katiba Mpya!? Wahuni hawa maccm wanajua fika kwamba Watanzania wengi wakiujua umuhimu huu basi kifo chao kitazidi kukaribia.
Hivi mpuuzi kama Mbowe anajua hata umuhimu wa katiba yenyewe ? Si ni huyy huyu kajeuka kuwa Mwenyekiti wa maisha ?
Kutoa Elimu ya katiba ni ujinga wewee?CCM hawawezi kufanya ujinga huu
USSR
yaan wananchi uelewa wa katiba bado sana yaan mtu eti anaenda kupiga kula alafu mkurugenzi wa uchaguzi anateuliwa na mgombea huu ufala unaitwa uchaguzi kwangu mm ni BIG NO
Ww msengr rasimu ilitka wapi??!?? Ilikuako imebaki tu kuhalalisa ila rasim ilikua ni mawazo ya wananchi kama hujuiKatiba ni kipaumbele kweli lakini bado wananchi hawajashirikishwa vya kutosha.
Wakishirikishwa vya kutosha nguvu itakuwa kubwa mno ktk kudai katiba,, watawala wataogopa tu.
Katiba ni kipaumbele kweli lakini bado wananchi hawajashirikishwa vya kutosha.
Wakishirikishwa vya kutosha nguvu itakuwa kubwa mno ktk kudai katiba,, watawala wataogop
We msengr rasimu ilikua ni ya nan kama sio wananchi ,Katiba mpya ni hoja ambayo Tayari ilisainiwa mezani kwamba inahitajika fal weweKatiba ni kipaumbele kweli lakini bado wananchi hawajashirikishwa vya kutosha.
Wakishirikishwa vya kutosha nguvu itakuwa kubwa mno ktk kudai katiba,, watawala wataogopa tu.