CHADEMA wanakaribia kukamata Dola-Balozi Lusinde

Hongera Lusinde kwa kusema ukweli.
Nguli wa siasa nchini na kada mashuhuri wa CCM Balozi Job Lusinde amevunja ukimya na kusema kuna kila dalili kwamba CDM inakaribia kuchaguliwa na wananchi kuongoza dola ya Tanzania.

Mkongwe huyo wa siasa amesema CDM imejipanga vyema na ina uongozi madhubuti unaopanga vyema harakati zake za kisiasa nchini.Balozi Lusinde amesema amekuwa akifurahishwa jinsi CDM inavyotangaza sera zake kwa wananchi kwa kutumia maandamano na mikutano ya hadhara.Amesema CCM inapaswa kukubali kwamba lolote linaweza kutokea katika uchaguzi mkuu wa 2015.

Kuhusu chama chake cha CCM Balozi huyo ameeleza kusikitishwa na hali ya uhasama ilivyofikia ndani ya chama hicho kufikia wanachama kutaka kuuana kwa bastola kwa uroho wa madaraka akirejea tukio lililotokea hivi karibuni huko Nzega kati ya Hamis Kigwangala na Hussein Bashe.Amesema kiuhalisia sasa CCM imekosa mwelekeo.

Source:Tanzania Daima Uk 6
 
Nguli wengine ndani ya magamba kama akina Warioba, SAS, Kaduma, Mwinyi, Msuya na wengineo ambao wanaitakia mema nchi yetu waachane na ukimya wao sasa waige mfano wa Lusinde kuikemea hii Serikali dhalimu ambayo inaendesha mauaji ya Watanzania wasiokuwa na hatia yoyote ile kabla nchi haijakumbwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe. Tukumbuke mdharau mwiba.....
 
Wapuuzi hawa.Alikuwa wapi siku zote hizo watanzania wakiteseka.Ameona maji yako shingoni,they are about to face the music, anajaribu kujisafisha.No way,once CDM is in power viongozi wote wa CCM wenye tuhuma must face the wrath of the law.
Mzee Lusinde amejivua koti la propaganda na kuongea ukweli wa moyo wake,big up mzee,M4C inasonga mbele
 
Nguli wa siasa nchini na kada mashuhuri wa CCM Balozi Job Lusinde amevunja ukimya na kusema kuna kila dalili kwamba CDM inakaribia kuchaguliwa na wananchi kuongoza dola ya Tanzania.

Mkongwe huyo wa siasa amesema CDM imejipanga vyema na ina uongozi madhubuti unaopanga vyema harakati zake za kisiasa nchini.Balozi Lusinde amesema amekuwa akifurahishwa jinsi CDM inavyotangaza sera zake kwa wananchi kwa kutumia maandamano na mikutano ya hadhara.Amesema CCM inapaswa kukubali kwamba lolote linaweza kutokea katika uchaguzi mkuu wa 2015.

Kuhusu chama chake cha CCM Balozi huyo ameeleza kusikitishwa na hali ya uhasama ilivyofikia ndani ya chama hicho kufikia wanachama kutaka kuuana kwa bastola kwa uroho wa madaraka akirejea tukio lililotokea hivi karibuni huko Nzega kati ya Hamis Kigwangala na Hussein Bashe.Amesema kiuhalisia sasa CCM imekosa mwelekeo.

Source:Tanzania Daima Uk 6

Sawa kabisa CCM wamekwisha
 
Huyu Lusinde si ndiye juzi alikuwa anasema chadema bado, leo ndo ameongea hayo???? Au hiyo source yako mkuu Molemo imeongeza munyu?

hata mimi nilimuona katika TV akisema CDM haina uwezo wa kuchukua dola. we haya maneno umeyatoa wapi? source tafadhali
 
POMPO kwa nini hujatueleza haya siku zote mkuu? Kwa taarifa hii tungekuwa tuna majibu mengi kuliko maswali.
Livingstone na tabia zake kuwa mtoto wa Balozi jambo hilo limetesa sana akili yangu. Namfahamu yule mzee na jinsi alivyo na tabia za kiungwana nikajiuliza kapatwa na nini kuwa na toto lenye tabia kama zile kisha ananyamaza? Pia kwa nini Mtu anayetambua umuhimu wa Elimu kama yeye aache kijana wake aishie darasa la nne sijui?
Walau sasa nimeelewa na sitashangaa kwa lolote atakalofanya ila nitaendelea kuwa shangaa waliomchagua ubunge na NEC
Mkuu hiyo mbona ipo wazi wala siyo tetesi wana story ni ukweli hata yeye na wanapga kura wake wanajua kudadadadadaadeki si mtoto wa mzee Lusinde. kalelewa na huyu mzee, anyway ni mtoto wa ku-adopt tu.
 
Huyu Lusinde si ndiye juzi alikuwa anasema chadema bado, leo ndo ameongea hayo???? Au hiyo source yako mkuu Molemo imeongeza munyu?
Nadhani unafikiri wanachama wote wa CCM ni static, wapo ambao ni dynamic, it depends na circumstances.
 
CCM wapingacho ndicho wafanyacho
1. Mawaziri wakuu wa CCM (Mara) - J.k. Nyerere - Kaskazini;
2. Joseph Sinde Warioba (Mara) - Kaskazini;
3. Cleopa Msuya - Kaskazini;
4. Edward Moringe Sokoine (Arusha) - Kaskazini;
5. Fredrick Sumaye (Arusha) - Kaskazini;
6. Edward Lowasa (Arusha) - Kaskazini.


duu,hapa umemaliza mkuu,asipoelewa tena hapa basi tena,ni case nyingine labda mirembe inamuhusu
 
Nguli wa siasa nchini na kada mashuhuri wa CCM Balozi Job Lusinde amevunja ukimya na kusema kuna kila dalili kwamba CDM inakaribia kuchaguliwa na wananchi kuongoza dola ya Tanzania.

Mkongwe huyo wa siasa amesema CDM imejipanga vyema na ina uongozi madhubuti unaopanga vyema harakati zake za kisiasa nchini.Balozi Lusinde amesema amekuwa akifurahishwa jinsi CDM inavyotangaza sera zake kwa wananchi kwa kutumia maandamano na mikutano ya hadhara.Amesema CCM inapaswa kukubali kwamba lolote linaweza kutokea katika uchaguzi mkuu wa 2015.

Kuhusu chama chake cha CCM Balozi huyo ameeleza kusikitishwa na hali ya uhasama ilivyofikia ndani ya chama hicho kufikia wanachama kutaka kuuana kwa bastola kwa uroho wa madaraka akirejea tukio lililotokea hivi karibuni huko Nzega kati ya Hamis Kigwangala na Hussein Bashe.Amesema kiuhalisia sasa CCM imekosa mwelekeo.

Source:Tanzania Daima Uk 6

Putuuuuuu hilo gazeti siku hizi hata halisomwi na watu....
 
Huyu ana uhusiano gani na huyu jamaa (Kilaza)?

images


..aaahaahahaaaa
 
Cdm muache udini na ukaskazini

Pole mkuu, nyie Chama Cha Mauaji ndivyo mnavyofikiri lakini wale wananchi maskini mliowahadhaa kwa miaka zaidi ya 35 (toka 1977) hasa kwa awamu ya nne basi hawaelwei udini wala ukaskazini!!! Hivi wabunge walioko CDM bungeni ni wangapi wanatoka Kaskazini? Sasa subiri 2015 ndiyo mtajua kama kuna udini, ukabila, ukaskazini, na umbinguni!!
 
Mkuu hiyo mbona ipo wazi wala siyo tetesi wana story ni ukweli hata yeye na wanapga kura wake wanajua kudadadadadaadeki si mtoto wa mzee Lusinde. kalelewa na huyu mzee, anyway ni mtoto wa ku-adopt tu.

Dadeki kumbe haramu hilo lilizaliwa likakosa huduma kwa biological parents!!! Nimegundua hana malezi ya wazazi wake ndo maana kichwani ni upepo unafuka tu. Si wakuu unajua mtoto wa ku-adopt kidogo huwezi kumkemea sana maana unaogopa usije vuka mipaka iwe tena issue. Kibaraka Lusinde na matusi yale kumbe huna ukoo umebobea wa watu. Shhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh wewe. Kinywa uozo wa matusi, kiwanda cha matusi kubwa zima!!
 
hilo wanalijua ccm mpaka sasa wameanza kuhaha kutumia jeshi la polisi kuua wananchi wasio nahatia
 
Back
Top Bottom