Domy
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 4,700
- 1,090
huyu Mzee Balozi Mstaafu ni mtu muhimu sana ndani ya ccm ni trustee wa chama, ni mtu mwenye sauti. Lusinde huyu hana undugu na Lusinde wa matusi aka Kibajaji cha mchina. Lusinde alioona nimehama ccm kwenda CDM aliduwaa sana nadhani sasa ameanzxa kuona kwamba uamuzi wangu ulikuwa sahihi kuja CDM.
Mnaosema chadema ina udini na ukasikazini mna udhaifu mkubwa sana mimi ni wa Dodoma ni CHADEMA, wapo waislam kibao ni CDM wapo wapagani CDM unataka udini na ukabila ili iweje? DHAIFU SIKU ZOTE NI DHAIFU
mimi ni Mnyakyusa