Hayo ni matokeo ya mpasuko pia kukosrkana kwa umoja wa kitaifa mkubwa tulonao kwa sasa nchi ni Tanzania.
Ukumbuke mambo unyama anaoyafanya ndugai pale bungeni, kumbuka mambo yanayofanywa na polisi kila pahala nchi ni dhidi ya wapinzani,
Kumbuka mahakama zinavyofanya dhidi ya watu, refer wanayofanyiwa CUF, aliyofanyiwa mh lema, Mdee, wafuasi wa CUF, bulaya, heche, n.k
Refer wanayofanyiwa wafanyakazi, wanafunzi vyuo n.k
Kifupi si chadema tu wanaofuraia kukwama kwa serikali Bali ni wengi sana.
Ktk mazingira haya uzalendo utatoka wapi ndg wewe.
Tuko wengi tunataka tukwame kwani madhira kwetu ni mengi,
chadema wasamehe tu bure
Sent using
Jamii Forums mobile app