Watu hawawezi kuwa WAMOJA wakati,
- Vijana wa TAIFA hili wametelekezwa
* Wamesoma lakini ajira hawapewi hata kidogo
* Walioajiriwa kwa vimishahara vya 300,000 kwa mwezi wanashurutishwa kufanya kazi na hata kufukuzwa huku HAKI zao za msingi na za kisheria na kiutu hawapewi, unawaambia wawe wavumilivu wakati Ndugu zako unaotafuna nao KEKI YA TAIFA wanalipana LAKI 5 kwa siku
* Wakati watu hawajaaribu, unawadai LOAN BOARD, Nyumba ya wazazi wao UMEBOMOA KIMARA huku wewe ukiendelea kuteua watu wa kujilia nchi
* Vijana wakisema waanze kuosha magari wajikimu na maisha WANAFUKUZWA NA POLISI
* Wakitaka kuwa MACHINGA kila wakati wanafukuzwa na migambo wa jiji
* Mtu akisema afungue kiGROCERY chake anakabwa hata mwezi haujaisha na BRELA, TRA, TFDA, NEMC, OSHA, COSOTA, FIRE nk mpaka wahakikishe ANAFUNGA
KIJANA WA KITANZANIA, MNATAKA AISHI VIPI ?
Kwa mazingira hayo usitegemee UZALENDO.