Niccolo Machiavelli
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 1,881
- 3,657
Sasa ni dhahiri Chadema ni chama kilichoshindwa kufanya siasa na kugeuka sumu. Wafuasi wengi wa Chadema sasa kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii wanakiri na kufurahia hujuma dhidi ya Taifa lakini Mungu ni Mkuu kwani mambo yanasonga.
Ni kama wamevagawa na mapepo sasa wanakiri hujuma zao dhidi ya Taifa hadharani bila kujua kwamba wanajenga taswira hasi dhidi yao wenyewe kwani siasa zinahitaji akiba ya maneno.
Sifa yao kuu hawa viumbe wa ufipa ni kusahau haraka kuliko kuku, hatahivyo kila uchwao kundi hilo ovu dhidi ya nchi linapungukiwa watu makini ambao wanaungana na Watanzania kuijenga nchi.
CCM hawataki kusikia hii kituKama serkali inawafungia watu biashara zao kwa kushindwa kulipa kodi nayo hainabudi kuwajibishwa inaposhindwa kulipa madeni
...Hata hayo mapori mnatunyanganya kwa visingizio vya kijinga tu eti hatuyaendelezi wakati vigogo wenu wana malaki ya mahekari ya mapori yasiyoendelezwa lakini hamuwanyanganyi...Kuna pori kubwa sana Tanzania halijalimwa!
Hivi hawa CHADEMA wanazipata wapi siri za serikali?Wananchi wengi wamepanic baada ya kusikia tunadaiwa bilioni 90 ukizingatia na ugumu wa maisha uliopo.Sasa ni dhahiri Chadema ni chama kilichoshindwa kufanya siasa na kugeuka sumu. Wafuasi wengi wa Chadema sasa kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii wanakiri na kufurahia hujuma dhidi ya Taifa lakini Mungu ni Mkuu kwani mambo yanasonga.
Ni kama wamevagawa na mapepo sasa wanakiri hujuma zao dhidi ya Taifa hadharani bila kujua kwamba wanajenga taswira hasi dhidi yao wenyewe kwani siasa zinahitaji akiba ya maneno.
Sifa yao kuu hawa viumbe wa ufipa ni kusahau haraka kuliko kuku, hatahivyo kila uchwao kundi hilo ovu dhidi ya nchi linapungukiwa watu makini ambao wanaungana na Watanzania kuijenga nchi.
Hahahahaaa, hivi utajiskiaje kukuta kumbe wazazi wako wanaamini CDM? Nyie kila anayepingana na maamuzi mabovu ya Serikali mnamuita CHADEMA, Kwa nini asiwe vyama vingine kama CUF, NCCR au ACT?
Sasa ni dhahiri Chadema ni chama kilichoshindwa kufanya siasa na kugeuka sumu. Wafuasi wengi wa Chadema sasa kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii wanakiri na kufurahia hujuma dhidi ya Taifa lakini Mungu ni Mkuu kwani mambo yanasonga.
Ni kama wamevagawa na mapepo sasa wanakiri hujuma zao dhidi ya Taifa hadharani bila kujua kwamba wanajenga taswira hasi dhidi yao wenyewe kwani siasa zinahitaji akiba ya maneno.
Sifa yao kuu hawa viumbe wa ufipa ni kusahau haraka kuliko kuku, hatahivyo kila uchwao kundi hilo ovu dhidi ya nchi linapungukiwa watu makini ambao wanaungana na Watanzania kuijenga nchi.
Kwa hiyo lipeni basi.CDM Mnasinikitisha sana kwa hoja nyepesi za kudandia....juzi kati kuna nyumbu mmoja hoja hana anaishia kuniambia 'lipa deni lipa deni' wakat yeye apo halipo ana madeni chungu mbovu....by the way hili ni deni la kwanza kwa Tanzania kudaiwa?.... mbona tuna matrilion nje tunadaiwa...how is it a big deal?....ebu tuache cheap politics tufanye kaz
Sasa ni dhahiri Chadema ni chama kilichoshindwa kufanya siasa na kugeuka sumu. Wafuasi wengi wa Chadema sasa kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii wanakiri na kufurahia hujuma dhidi ya Taifa lakini Mungu ni Mkuu kwani mambo yanasonga.
Ni kama wamevagawa na mapepo sasa wanakiri hujuma zao dhidi ya Taifa hadharani bila kujua kwamba wanajenga taswira hasi dhidi yao wenyewe kwani siasa zinahitaji akiba ya maneno.
Sifa yao kuu hawa viumbe wa ufipa ni kusahau haraka kuliko kuku, hatahivyo kila uchwao kundi hilo ovu dhidi ya nchi linapungukiwa watu makini ambao wanaungana na Watanzania kuijenga nchi.
Chama kina raslimali nyingi sana wanaweza kuuza na kulipa.Lumumba lipeni hilo deni kwa hela za chama hpo tutawasifia mmeanza kua wanaume,dawa ya deni ni kulipa
Sent using Jamii Forums mobile app
Dawa ya deni ni kulipa lipeni madeniSasa ni dhahiri Chadema ni chama kilichoshindwa kufanya siasa na kugeuka sumu. Wafuasi wengi wa Chadema sasa kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii wanakiri na kufurahia hujuma dhidi ya Taifa lakini Mungu ni Mkuu kwani mambo yanasonga.
Ni kama wamevagawa na mapepo sasa wanakiri hujuma zao dhidi ya Taifa hadharani bila kujua kwamba wanajenga taswira hasi dhidi yao wenyewe kwani siasa zinahitaji akiba ya maneno.
Sifa yao kuu hawa viumbe wa ufipa ni kusahau haraka kuliko kuku, hatahivyo kila uchwao kundi hilo ovu dhidi ya nchi linapungukiwa watu makini ambao wanaungana na Watanzania kuijenga nchi.