Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
kama kweli nawapongeza kwa mara ya kwanza mana watu wa dar mmezubaa sana kwenye demokrasia
Nipo na makamanda wezangu tunaelekea makaomakuu yc cdm
Mikoa yote yenye gahawa, kashata, juice ya tende na wazee wa misuli washindao vibarazani iko nyuma kimabadiliko. Shame on you Tanga, Pwani, Lindi, Mtwara, Dsm and others who are in love with Magamba.
Mikoa yote yenye gahawa, kashata, juice ya tende na wazee wa misuli washindao vibarazani iko nyuma kimabadiliko. Shame on you Tanga, Pwani, Lindi, Mtwara, Dsm and others who are in love with Magamba.
acheni ushabiki nyie, kila kitu maandamano?? mpaka tutayazoea sasa..kama vile hamjaenda shule bwana..jaji kutoa hukumu infavour of chadema ndio kutenda haki?? yaani mnategemea jibu moja tu inregardless ya facts?? sheria haiko hivyo ndugu zanguni, jaribuni kujitambua kwanza mnataka kufanya nini na kwa njia gani..mambo hayako hivyo bwana..
Inakuwaje mtu akamatwe na kidhibiti live halafu ashinde kesi??
Mikoa yote ya wapenda ulevi wa pombe na kula nyamafu imejaa mafisadi na watu wanairudisha nyuma nchi kwa wizi na tamaa ! Shame on you !!Mikoa yote yenye gahawa, kashata, juice ya tende na wazee wa misuli washindao vibarazani iko nyuma kimabadiliko. Shame on you Tanga, Pwani, Lindi, Mtwara, Dsm and others who are in love with Magamba.
acheni ushabiki nyie, kila kitu maandamano?? mpaka tutayazoea sasa..kama vile hamjaenda shule bwana..jaji kutoa hukumu infavour of chadema ndio kutenda haki?? yaani mnategemea jibu moja tu inregardless ya facts?? sheria haiko hivyo ndugu zanguni, jaribuni kujitambua kwanza mnataka kufanya nini na kwa njia gani..mambo hayako hivyo bwana..
Nina wasiwasi na timu ya Mpendazoe kweenye kesi hii... Haikujipanga vizuri..
Inakuwaje mtu akamatwe na kidhibiti live halafu ashinde kesi??
Unajua ni kwanini, Ni kwasababu kuna upinzani na watanzania wengi wanafatilia....Katika nchi hii mhimili unaoonekana kufanya kazi walau kwa kuridhisha kidogo ni BUNGE, hii mingine inaelekea iinafanya kazi kwa maslahi ya watu wachache
Jamani watanzania mkoje sheria imeishachukua mkondo wake,angalia msipigwe mabomu maana hayo maandamano si halali
acheni ushabiki nyie, kila kitu maandamano?? mpaka tutayazoea sasa..kama vile hamjaenda shule bwana..jaji kutoa hukumu infavour of chadema ndio kutenda haki?? yaani mnategemea jibu moja tu inregardless ya facts?? sheria haiko hivyo ndugu zanguni, jaribuni kujitambua kwanza mnataka kufanya nini na kwa njia gani..mambo hayako hivyo bwana..