CHADEMA wana watu wa kuunda Serikali endapo watachukua nchi?

Kumbuka chadema sera yao ni majimbo na ukanda(county). Watakuwa na system tofauti ya kibaguzi, kidini na kikabila. Kwa hiyo kwao wao hawahitaji watu wwnye weledi kuongoza nchi. Na ndio maana hata kama wananchi wajinga watashawishika na ujinga wa chadema na kuwachagua, kamwe hatuwezi kuwapa nchi. CCM itatawala milele katika nchi ya Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo zamani .."mabeberu"watakuja kuwanyosha ..Na migambo yenu itaufyata..reference Gambia Na Ivory coast
 
Binafsi nimekaa nikatafakari kwa kina endapo siku moja UPINZANI ukashinda uchaguzi na kutakiwa kuunda serikali itakuwaje???
Watatakiwa kuwa na watu wakufiti nafasi zifuatazo.
1. Mawaziri na manaibu waziri wasiopungua 40 itategemea na muundo wa wizara.
2. Wakuu wa mikoa 26
3. Wakurugenzi wa mikoa 26
4. Wakuu wa wilaya 138
5. Wakurugenzi wa wilaya 138
6. Wakurugenzi wa Mifuko, idara, Mamlaka, Wakala, Bodi, Mabaraza. Ambao ni zaidi ya 70.
7. Mabalozi


Kwa hawa wachache tu jumla yao ni 438 ambapo kwa kiasi kikubwa wanatakiwa kuwa na ueledi wa kazi lakini pia kuwa LOYAL kwa chama ili wasiweze kutumika vibaya na vyama vingine. Ukitafakari kwa kina utagundua kuwa hakuna mpinzani mwenye uwezo wa kuunda serikali madhubuti kwa sasa, ukilinganisha CCM pamoja na kuwa na watu lakini bado wapo wanaoihujumu.



Nilisubiri hoja kama hii na sasa umejileta. Wakati upinzani bado ni upinzani kuna watu bora kabisa ambao wananunuliwa kwa bei mbaya waisaidie serikali ya chama kilichoshinda-CCM. Itakuwaje upinzani ukishinda wenyewe? Hebu fikiria, Mhe.Waitara, Dr. Slaa, Kafurila, Mama Anna Mgwira, Parobas Katambi, Manchali, Karanga, Mtulia, Dr. Molel, Mukundi, Prof. Kitila Mkumbo; hawa wamepatikana kabla ya upinzani kushinda! Je ukishinda ( upinzani) wenyewe?

Hata hivyo wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, wakurugenzi wa Halmashauri, DAS, mabalozi na watu wengine muhimu kwa serikali hawatakiwi kuwa na itikadi za vyama za moja kwa moja. wanataka weledi na umakini sio mirengo na mihemko ya kisiasa. Kinachofanywa na serikali ya chama cha mapinduzi ni uhalifu, uharibifu, ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka-rushwa. Ni uhalifu huu unaoharibu siasa za nchi hii. Siku isiyojulikana madhabi haya yatalipiwa kwa gharama kubwa. Lazima CCM iwajibike .
 
Sijawahi kusika kuna chuo cha kuunda serikali duniani. Serikali ni watendaji walioko maofisini na wanafanya Kazi kwa nyaraka. Hawa wanasiasa ni wapiga debe tu na watoa maelekezo ambayo nayo miongozo imeishaandikwa. Chadema yeynye wanasheria wengi na wasomi lukuki ndio ishindwe kuunda serikali. Usishangae hata ndani ya serikali kuna watu wakajiunga nao team .sijapata kusikia chama kilichoshinda kikashindwa kuunda serikali. Ni sawa na upate Mtoto ukose mbeleko, haiwezekani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe kuna nafasi kabla hujateuliwa lazima uwe mtu wa chama tena unaeaminika na hicho ndicho wapinzani hawana wataunda serikali yenye mamluki kibao

Sent using Jamii Forums mobile app

Huo ndio upuuzi mkubwa,mkuu. Mtu wa chama nafasi za uongozi alizo na haki nazo ni za kwenye chama tu, lakini za serekali mwananchi yeyote anahaki ya kuteuliwa, awe na chama ama hana chama. Tofautisha shughuli za serekali na chama.
 
Binafsi nimekaa nikatafakari kwa kina endapo siku moja UPINZANI ukashinda uchaguzi na kutakiwa kuunda serikali itakuwaje???
Watatakiwa kuwa na watu wakufiti nafasi zifuatazo.
1. Mawaziri na manaibu waziri wasiopungua 40 itategemea na muundo wa wizara.
2. Wakuu wa mikoa 26
3. Wakurugenzi wa mikoa 26
4. Wakuu wa wilaya 138
5. Wakurugenzi wa wilaya 138
6. Wakurugenzi wa Mifuko, idara, Mamlaka, Wakala, Bodi, Mabaraza. Ambao ni zaidi ya 70.
7. Mabalozi


Kwa hawa wachache tu jumla yao ni 438 ambapo kwa kiasi kikubwa wanatakiwa kuwa na ueledi wa kazi lakini pia kuwa LOYAL kwa chama ili wasiweze kutumika vibaya na vyama vingine. Ukitafakari kwa kina utagundua kuwa hakuna mpinzani mwenye uwezo wa kuunda serikali madhubuti kwa sasa, ukilinganisha CCM pamoja na kuwa na watu lakini bado wapo wanaoihujumu.



Haya ndio matatizo yetu waafrika sasa mkurugenzi awe kada ili iweje wakati ni muajiliwa
 
Binafsi nimekaa nikatafakari kwa kina endapo siku moja UPINZANI ukashinda uchaguzi na kutakiwa kuunda serikali itakuwaje???
Watatakiwa kuwa na watu wakufiti nafasi zifuatazo.
1. Mawaziri na manaibu waziri wasiopungua 40 itategemea na muundo wa wizara.
2. Wakuu wa mikoa 26
3. Wakurugenzi wa mikoa 26
4. Wakuu wa wilaya 138
5. Wakurugenzi wa wilaya 138
6. Wakurugenzi wa Mifuko, idara, Mamlaka, Wakala, Bodi, Mabaraza. Ambao ni zaidi ya 70.
7. Mabalozi


Kwa hawa wachache tu jumla yao ni 438 ambapo kwa kiasi kikubwa wanatakiwa kuwa na ueledi wa kazi lakini pia kuwa LOYAL kwa chama ili wasiweze kutumika vibaya na vyama vingine. Ukitafakari kwa kina utagundua kuwa hakuna mpinzani mwenye uwezo wa kuunda serikali madhubuti kwa sasa, ukilinganisha CCM pamoja na kuwa na watu lakini bado wapo wanaoihujumu.



Hoja dhaifu sana. Usitake kutuaminisha kuwa hakuna watu wanaoweza kuongoza katika vyama vya upinzani. Hiyo ni akili ya alieshikiwa akili. Kila mtu ana uwezo was kutenda. Tofauti za viwango zipo kwa asili na hazichagui chama. Bali zinategemea kwa kiwango kikubwa matakwa ya kikatiba, uhusiano na jamii, majukumu ya nafasi na utashi binafsi wa mhusika.
 
Binafsi nimekaa nikatafakari kwa kina endapo siku moja UPINZANI ukashinda uchaguzi na kutakiwa kuunda serikali itakuwaje???
Watatakiwa kuwa na watu wakufiti nafasi zifuatazo.
1. Mawaziri na manaibu waziri wasiopungua 40 itategemea na muundo wa wizara.
2. Wakuu wa mikoa 26
3. Wakurugenzi wa mikoa 26
4. Wakuu wa wilaya 138
5. Wakurugenzi wa wilaya 138
6. Wakurugenzi wa Mifuko, idara, Mamlaka, Wakala, Bodi, Mabaraza. Ambao ni zaidi ya 70.
7. Mabalozi


Kwa hawa wachache tu jumla yao ni 438 ambapo kwa kiasi kikubwa wanatakiwa kuwa na ueledi wa kazi lakini pia kuwa LOYAL kwa chama ili wasiweze kutumika vibaya na vyama vingine. Ukitafakari kwa kina utagundua kuwa hakuna mpinzani mwenye uwezo wa kuunda serikali madhubuti kwa sasa, ukilinganisha CCM pamoja na kuwa na watu lakini bado wapo wanaoihujumu.




Ulisoma wapi kwamba mkuu wa mkoa/wilaya, mabalozi na wakurugenzi ni wanasiasa? Upuuzi huu ndo umepelekea dokta slaa na wengine kuwa mabalozi na kuacha maafisa wa wizara ya mambo ya nje (wanadiplomasia) wakiwa hawana vituo.
 
Binafsi nimekaa nikatafakari kwa kina endapo siku moja UPINZANI ukashinda uchaguzi na kutakiwa kuunda serikali itakuwaje???
Watatakiwa kuwa na watu wakufiti nafasi zifuatazo.
1. Mawaziri na manaibu waziri wasiopungua 40 itategemea na muundo wa wizara.
2. Wakuu wa mikoa 26
3. Wakurugenzi wa mikoa 26
4. Wakuu wa wilaya 138
5. Wakurugenzi wa wilaya 138
6. Wakurugenzi wa Mifuko, idara, Mamlaka, Wakala, Bodi, Mabaraza. Ambao ni zaidi ya 70.
7. Mabalozi


Kwa hawa wachache tu jumla yao ni 438 ambapo kwa kiasi kikubwa wanatakiwa kuwa na ueledi wa kazi lakini pia kuwa LOYAL kwa chama ili wasiweze kutumika vibaya na vyama vingine. Ukitafakari kwa kina utagundua kuwa hakuna mpinzani mwenye uwezo wa kuunda serikali madhubuti kwa sasa, ukilinganisha CCM pamoja na kuwa na watu lakini bado wapo wanaoihujumu.



Serikali inaundwa na watanzania waadilifu na wanaoipenda nchi yao popote pale walipo,, Serikali haiundwi na wanachama wa Chadema tu,.Ukumbuke pia hata Public service inaendelea ile ile ikiwa na mabadiliko machache sana hasa kwa nafasi za Makatibu wakuu nao siyo wote. Kuna watanzania wengi wenye sifa bila kujalisha ni wanachama au siyo wanachama ,,wanaofaa kuwa viongozi wa hizo taasisi na nchI yetu ikasonga mbele. Tatizo la nch yetu siyo watumishi wa Umma bali lichama la CCM. Kwa CCM, Chama kwanza nchi baadaye, Kwa CHADEMA Nchi kwanza Chama baadaye.
 
Back
Top Bottom