Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,797
- 71,215
Kwa taarifa yako moja ya mambo yaliyoipa kura Chadema ni uwezo wake wa kumdhibiti DC wakati akifanya uhalifu. Hivi unaelewa hawa MaDC ni watu wa namna gani huko vijijini? wanakusanya ng'ombe hata kuku kwa wananchi hao maskini billa ridhaa yao kwa ajili ya kitoweo cha nyumbani au ugeni wowote wa kiofisi bila ridhaa ya wenye mali kwa kauli kuwa wao ndio serikali. Sasa mwananci wa kawaida akiona kuwa yule wanayemuona ni Mungu mtu anaweza kukwidwa mpaka machozi yakamtoka basi hao ndio watetezi wao. Achana na propaganda za level ya chini, kwanza hata hivyo walimstahi sana wangeweza kumchapa makofi kama Polisi wanavyo wachapa makofi watu.
Tarime Polisi walimchania shati Tundu Lissu mbona hukushauri Polisi wamuombe radhi Lissu ukabaki unachekelea wewe na hao wenzako wabaka demokrasia?
Tarime Polisi walimchania shati Tundu Lissu mbona hukushauri Polisi wamuombe radhi Lissu ukabaki unachekelea wewe na hao wenzako wabaka demokrasia?