Iringa mbona chopa iliruka aligombea mchaga?
Pale Iringa Mchaga kupenya ingelikuwa vigumu lakini hapa Pwani wachaga Wamezagaa Kama mchanga ,lakini watakuwa waliogopa kuweka mchaga Maana angechukua chake mapema kisha kuwazuga na kampeni Feki kisha kuzuga anapingana na matokeo ya uchaguzi.