Mwakalinga Bujo
JF-Expert Member
- Oct 22, 2008
- 2,718
- 1,443
Kutokana na vyanzo vyangu vilivyopo Mahakama kuu ya Tanzania Leo Nape amefunguliwa kesi ya madai na imepewa namba 186 ya mwaka 2012.
Kesi hii ni kuhusiana na madai ya nnape kuwa CDM wana pokea pesa kutoka nje ya nchi.
Tuendelee kufuatilia
Updates.
Inaitwa civil case no.186 of 2012 ,board of registered trustees of chadema ... Plaintiff versus nnape nnauye defendant .
Kumbe wana Imani na mahakama hizi,siasa kweli noma,haki unaposhinda,ukishindwa hakuna
Hiyo list akiisikia lazima agome kwenda mahakamani
Kutokana na vyanzo vyangu vilivyopo Mahakama kuu ya Tanzania Leo Nape amefunguliwa kesi ya madai na imepewa namba 186 ya mwaka 2012.
Kesi hii ni kuhusiana na madai ya nnape kuwa CDM wana pokea pesa kutoka nje ya nchi.
Tuendelee kufuatilia
Updates.
Inaitwa civil case no.186 of 2012 ,board of registered trustees of chadema ... Plaintiff versus nnape nnauye defendant .
Wataona uamuzi wa majaji wasiokuwa na elimu wala kiwango utakavyotolewa.hapo ndio watadhihirisha kuwa wako.makini
CDM wamempeleka dogo Nape mahakamani wkt CDM hawana imani na mahakama sasa sijui itakuaje.
Nyie si mliwachamba majaji pale bungeni sasa mnapeleka kesi zenu huko huko ,nakumbuka mliwasema sana pale bungeni na kuwapaka mivi ,iweje leo muwapelekee kesi yenu.Hiyo kesi ni jiwe lingine mtakalopigwa nalo.CDM hamna mnapokwenda ,hivi mnaielewa Tanzania na utawala wake au mnajiendea mkipapasa kama kipofu aliepoteza bakora.
Ukisikia Chama kinachowaburuza wanachama wake na kutojua kinachofanya basi ni CDM ,hawaelewi jana wamekula kitu gani ! Poleni sana.
Majaji ni walewale mliowavua nguo pale bungeni.
You're msg is simple & clear, System at work. kwahiyo ni kichaa pekee ndio atakayepata tabu ya kujadili lolote la maana na wewe.Hapo ni pazuri sana, Nape anakwenda kuwaaibisha vibaya sana. Mtanambia.
Ni wakati wa Chadema kuumbuka. Nape atakuja na ushahidi wa kutosha.
Ni wakati wa Chadema kuumbuka. Nape atakuja na ushahidi wa kutosha.
Ona sasa umeanza kujinyea kabla hata kesi haijaanza!! We umeambiwa CDM imemfungulia mashtaka nape nnauye! Wewe unaanza kututishia kujuta!!ooh mara mnyika kasoma bba sjui upuzi gani!!! We mbwira kwelikweli.Mahakamani point tu, bas mpeni yule anaye kariri-mnyika,, kama tutawalea watu kama myika na wenje,lema ,mbowe,slaa aliyekimbia upadiri ,hakika baadaye tutaweke mikono kichwani, angalien historia zao kwanza ndo mongee jamani. Achani kukurupuka! Think critically please!