Chadema safi sana,mlichofanya ni kitu kizuri, kwa kujenga demokrasia yenye ustaarabu, hiyo itapunguza kwa kiasi fulani, hizo propaganda za kipuuzi, zenye lengo la kuchafuana kisiasa, na kama mahakama hiyo itakuwa na Judge aliiye fair, kama yule wa kesi ya Igunga, basi Nape kazi anayo!