CHADEMA wamfungulia kesi Nape


Kesho utasikia Nape/CCM wafungua kesi zidi ya Dr. Slaa/cdm
 

Kautipe na utumbo wa kuku ,Mbutolwe mwana wa uma hayo mtaenda kusemea mahakamani ,hivi hamkujua maana ile ya msemo wa kiswahili usemao ...! Usimtukane mkunga na uzazi ungalipo.." yaani hapa mahakimu ndio wanatupilia mbali likesi lenu ! Afu tuwone mtakimbilia wapi ,mnasikitisha na kutupa huruma sana !
 
Prof. Safari, Lissu na Marando ni kikosi kamili cha ushindi dhidi ya Katibu Mwenezi wa NYINYIEM.
hapo kwenye red ndio tatizo sio nyinyiem ila ni wao em, Gosbertgoodluck ukisema nyinyiem unamaanisha sisi wasomaji wakati mimi sipo huko naomba utumie wao em
 
nape alidhani Dr slaa anapotoa shutuma vs ccm na serikali huwa anakurupuka.
Kimsingi Dr Slaa hutoa shutuma huku akiwa na ushahidi lukuki!
Sasa nape kazi unayo....tupe ushahidi wa hizo nchi zilizomwaga fedha tuzijue.
Hii kesi ni mbaya na majaji hawawezi kuichakachua kwa sababu wakifanya hivyo nchi husika zitakuja juu ile mbaya!
 
tusubiri tuone majingambo ya kilazi Nape maana nilimuona amevaa miwani utazani sio Mtanzania kumbe ni kichaa mmoja asiyejua nini anafanya
 
A lie may take care of the present, but it has no future : kazi kwako nape na uropokaji wako!
 
Alilikoroga, acha alinywe na alimeze mwenyewe kisha askilizie utamu au uchungu wake. Ukijifanya mjanja kupita kiasi, mwisho unaweze kujikuta ukila kinyesi ukidhani ni chapati. Juzi juzi aliropoka kuwa anaushahidi wa alichokisema, sasa kumekucha ajiandae kusimama mbele ya pilato kujibu mashtaka ya uropokaji.
 

Hivi mwanasheria wa CCM ni nani au wanaweza kumtumia nani katika hili? Nimrudi Mkono, Masumbuko Lwamai,Mizengo Pinda?
 
Kusema uongo sio kazi, kazi ni kuulinda huo uongo ili usijulikane. Sasa ropoka ropoka ya Nape imemfikisha hapa. Nape unalo.
 

Pole. Mzuieni Nape kuropoka.
 
Jamaa wanamkana Davida cameroon hivi hivi.nape mwaga mboga sasa.
 
wataumbuka vibaya sana mahakamani na ndo mwisho wa chadema
 
heshima ya Nape imeshuka, amekuwa akiongea maneno ya ovyo kama ya watu ambao wasiostaarabika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…