johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,879
Najikumbusha tu enzi zile pale Kisutu na zile kesi za Mtikila za kuwaita waasia " magabachori"
Mahakama ilikuwa ndogo kwa kweli na Mtikila rip alionekana kama shujaa wa taifa huku wakili wake akiwa Mabere Marando wa Nccr mageuzi.
Chadema wana uvumilivu wa kisiasa.
Sabato njema!
Mahakama ilikuwa ndogo kwa kweli na Mtikila rip alionekana kama shujaa wa taifa huku wakili wake akiwa Mabere Marando wa Nccr mageuzi.
Chadema wana uvumilivu wa kisiasa.
Sabato njema!