johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,131
Kuna wakati miaka ile ya 1990s ilikuwa kila anapokamatwa Mchungaji Mtikila RIP wa DP basi Wakili msomi Nyaucho Mabere Marando wa Nccr Mageuzi Ndiye aliyekuwa akimtetea pale Kisutu
Tumetoka mbali sana
Mtikila RIP alipendelea kuwaita Watu fulani fulani kwamba Wana " Unyani Unyani"
Hii nchi we tosheka tu na upatacho kihalali
Nawatakia Sabato njema 😀🌟
Tumetoka mbali sana
Mtikila RIP alipendelea kuwaita Watu fulani fulani kwamba Wana " Unyani Unyani"
Hii nchi we tosheka tu na upatacho kihalali
Nawatakia Sabato njema 😀🌟