CHADEMA walitumia Bil.5.3 uchaguzi mkuu 2010

EasyFit

JF-Expert Member
Jul 4, 2011
1,269
1,082
Akizumgumza na waandishi wa habari jana mara baada ya kurejesha fomu hizo katika Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini, Katibu wa Baraza la Wadhamini wa CHADEMA, Antony Komu, alisema fedha hizo zimejumuisha gharama zote walizotumia wagombea wa ngazi zote kuanzia urais, wabunge na madiwani.

Komu alisema fedha hizo (bilioni 5.3) zilitumiwa na chama hicho katika mchakato wa kuwatafuta wagombea, kampeni mpaka uchaguzi mkuu. Akiainisha namna fedha hizo zilivyotumiwa, Komu alisema mgombea urais peke yake alitumia shilingi bilioni 1.3, wagombea ubunge shilingi bilioni 1.7 wakati wagombea udiwani walitumia shilingi bilioni 2.3.

................Jana ilikuwa siku ya mwisho kurudisha fomu, CCM vipi mbona hawaweki hadharani lazima itakuwa bilioni mia kadhaa................
 
ccm llazima wachakachue.....yale matangazo waliyotengeneza canada ni mipesa kibao unajenga mitambo miwili ya kuzalisha umeme wa nyuklia
 
It costs approx $1 billion to build one nuclear power plant....

That should be equivalent to Tshs 1600 Billion. So what exactly is your point? A nuclear power plant in Tanzania? Simply outlandish! Not in 2000 years! Even if money wasn't an issue. Its one thing copying and pasting your stupid Poli-Sci 101 essays...wewe kweli huna akili nzuri.
 
That should be equivalent to Tshs 1600 Billion. So what exactly is your point? A nuclear power plant in Tanzania? Simply outlandish! Not in 2000 years! Even if money wasn't an issue. Its one thing copying and pasting your stupid Poli-Sci 101 essays...wewe kweli huna akili nzuri.
<br />
<br />
Mi nafikiri alikuwa anajaribu kumwelekeza mchangiaji mwenzake aliyesema tunaweza kujenga nuclear power plant mbili kwa pesa CCM iliyotumia kwenye kampeni, tuki assume magamba walitumia 100 billions kwenye kampeni zao na cost ya kujenga plant ni 1600 billions..., so ilikuwa ni matter ya elaboration tu kwamba alichokisema mchangiaje hakiwezekani..,
labda ueleze wewe ulikuwa unamaanisha nini kuchangia ulivyochangia manake sijakupata kabisa!!!
 
CCM Bajeti yao ilikuwa ni sh. 50 bilions, nawasi wasi ilikuwa zaidi ya hapo!
 
CCM Bajeti yao ilikuwa ni sh. 50 bilions, nawasi wasi ilikuwa zaidi ya hapo!

bill. 50? inamaana walilpiga kampeni mpaka nje ya nchi? bajeti ya chadema ni kwa kampeni ya nchi nzima, sasa muone gharama ya kutumia mashangingi 50 na kubeba watu kwenye malori inavyoigharimu serikali
 
1,300,000,000 hawajapata Rais?

= For Nothing?

1,700,000,000 kwa wabunge 22 tu?

Hapa kuna ubadhirifu wa hali ya juu, na zile walizotumia baada ya kampeni kwa maandamano na kununulia magari mabovu mbona hajazitaja?
 
1,300,000,000 hawajapata Rais? <br />
<br />
= For Nothing?<br />
<br />
1,700,000,000 kwa wabunge 22 tu?<br />
<br />
Hapa kuna ubadhirifu wa hali ya juu, na zile walizotumia baada ya kampeni kwa maandamano na kununulia magari mabovu mbona hajazitaja?
<br />
<br />

Watapataje rais kama uhesabuji kura ulichakachuliwa? Wabadhilifu ni wale waliochakachua matokeo ya uchaguzi maana kama wasingechakachua ni wazi ulishindi ulikuwa wa Chadema.
 
<br />
<br />

Watapataje rais kama uhesabuji kura ulichakachuliwa? Wabadhilifu ni wale waliochakachua matokeo ya uchaguzi maana kama wasingechakachua ni wazi ulishindi ulikuwa wa Chadema.

Wakati zinachakachuliwa wao walikuwa wapi? na si walisema wataleta ushahidi? mpaka leo mbona hatajauona huo ushahidi? na wale ma "observer" wa AU na wale wa UN na wale wa ma NGO wote hawajaona huo mchakachuo? umeuona wewe tu na ushahidi hauna? Unanshangaza!
 
Wakati zinachakachuliwa wao walikuwa wapi? na si walisea wataleta ushahidi? mpaka leo mbona hatajauona huo ushahidi? na wale ma &quot;observer&quot; wa AU na wale wa UN na wale wa ma NGO wote hawajaona huo mchakachuo? umeuona wewe tu na ushahidi hauna? Unanshangaza!
Umeliamkia?
Leta mahesabu ya ushindi wa kishindo acha uswahili hapa.
 
bill. 50? inamaana walilpiga kampeni mpaka nje ya nchi? bajeti ya chadema ni kwa kampeni ya nchi nzima, sasa muone gharama ya kutumia mashangingi 50 na kubeba watu kwenye malori inavyoigharimu serikali
<br />
<br />
Mkuu hiyo ndio ilikuwa bajeti yao, kama utakumbuka walifanya harambee nchi nzima na walipata 40 blns, cjui wap bt kampen zao zilitumia 50blns!
 
Faiza nakushauri ukasome. Report ya observer alafu ndo urudi kwenye hii mada.
Msishabikie vitu kwa ukada jaribu kuleta vitu vyenye mantik!
 
Nawapongeza sana chadema kwa kuweza kuachieve milestone at that rate ambayo ni sawa tu na amtumizi ya rais wetu akienda kutembelea jela za makumbusho na birthday ya mtu mwenye dementia asiweza hata kumjua JK ni nani

Ni jambo la heshima sana kwao kwa kuweza kupambana na kumtoa jasho JK na serikali yao ambao walitumia pesa nyingi mno pamoja na kuiba kura ili warudi madarakani

WITH THIS AMOUNT OF MONEY SPENT, I CAN EASILY SEE KWAMBA IF CHADEMA PEND 15BN NEXT ELECTION BASI WATAFANYA MAAJABU ZAIDI
 
Faiza nakushauri ukasome. Report ya observer alafu ndo urudi kwenye hii mada.
Msishabikie vitu kwa ukada jaribu kuleta vitu vyenye mantik!

Hiyo report ya observers hawezi kukwambia kitu, labda ripoti ya tume ya taifa ya uchaguzi siku ikitoka tu utamuona anakuja nayo mbio mbio.

Hadi sasa ni zaidi ya miezi tisa tangu tumalize uchaguzi lakini NEC hawataki kutoa report ya uchaguzi mkuu uliopita, wanaendelea kubalance mahesabu, walichakachua hadi wanaona aibu!!
 
Faiza nakushauri ukasome. Report ya observer alafu ndo urudi kwenye hii mada.
Msishabikie vitu kwa ukada jaribu kuleta vitu vyenye mantik!

Unataka report ipi kati ya hizi:

[h=2]International observers[/h] The following International observer groups were present for the 2010 elections:

 
Umeliamkia?
Leta mahesabu ya ushindi wa kishindo acha uswahili hapa.

Leta wewe ushahidi wa kuwa ume chakachuliwa, Unanchekesha!

Kuhusu uswahili, endelea kusoma hapa:

Huu mjadala ushakuwa wa kiswahili una mada za kiswahili swahili.

Mkisha jua maana ya neno swahili, uswahili, mswahili, waswahili, kiswahili ndio mtajua mkiongeacho ni nini, asiyejuwa maana haambiwi maana.

Uswahili unaweza kuwa sifa nzuri, mbaya, utani, kejeli, kebehi, kutukuza, kuponda, kuogopa, kubisha, kuelimisha na maana au mantiki nyingine yoyote ile itategemea tu na mtiririko wa maandishi ama matamshi yalivyotolewa yalilenga nini. Si hasha kubezana na au kutaniana kwa kutumia uswahili wa mswahili atokeapo. Umaarufu wa asili yako hukuweka katika darja fulani ya uswahili.

Uswahili wa mswahili wa mrima hutengana na uswahili na mswahili wa mwambao isiwe wa bara, si tu kwa lafdhi bali hata kwa tabia. La hasha, si wa mrima pekee bali hata ule wa kusini na kaskazini ya pwani hupishana seuse wa visiwani. Uswahili wa magharibi haukaribiani wala haukaripiani na uswahili wa mashariki.

Waswahili waweza kuwepo pasipo na kiswahili na wala wasikijue kiswahili na wakawa ni waswahili.

Waweza ukuta uswahili pasipo na mswahili na ukawakuta wasio waswahili wakiongea kiswahili. Na pia waweza wakuta wasio waswahili wakawa na uswahili pasi na kujuwa kiswahili na hali kadhalika waweza kukuta wasio waswahili wakawa waswahili kuliko mswahili na wanakicharaza kiswahili mpaka mswahili akaduwaa.

Leo hii ukiwa uswahilini Bujumbura na ukiwa uzunguni Dar Es Salaam huwezi nena kuwa nipo uswahilini Dar, kwanini? kwa tofauti tu ya itikadi na mantiki ya stihizai iliyonasibishwa na hapo ulipo.

Haikuwa Robert sifa ya uswahili ikaja kuwa Shaaban sifa kubwa ya kiswahili. Ukishangaa ya Kiswahili utayakuta ya waswahili.

Uswahili ni lugha, ni watu, ni utamaduni, ni sehemu, ni nchi, ni utani, ni sifa, ni kejeli, ni kutukuka.

Si hasha ukajikuta ni mswahili kwa lolote liwalo kati ya hayo. Niwacheni na uswahili wangu. Mnanshangaza!
 
Nilivutiwa nilipoona members tunaumia na matumizi mabaya ya rasilimali kama siyo poor allocation ya resources na hapa namuomba anaejua accuracy figure iliyotumiwa na wavua magamba ili tuone analytical evaluation na hii bil 3
 
Back
Top Bottom