leonard ngobole
Member
- Jun 11, 2011
- 83
- 49
nawapongeza chadema kwa kuweka wazi mtiririko wa matumizi ya fedha walizotumia wakati wa kipindi cha uchaguzi.Nawapongeza tena kwa kwa kuwa pamoja na kutumia kiasi kidogo cha fedha wameweza kuchukua baadh ya nafas serikalin zikiwemo zile za ubunge hii inaonyesha ni jinsi gan demokrsia imeamka nchini kwetu.Kwa upande wa chama tawala ni wazi kwamba wametumia kias king sana cha fedha ndio maana itakuwa vigumu kwa wao kuweka wazi mfano,mabango,kanga kofia na matshart,usafir n.k, na kwa mwendo huu nchi itaendele