Kwa hiyo akiongea mambo ya ukweli tayari kapoteza sifa:what: acha unafiki wewe, polisi lazima wajue wako kwa ajili ya nini sio kuegemea upande mmoja..!!
Acha kushabikia usichokijua,upuuzi aliufanya msigwa anaona ni wa maana badala ya kumkemea msigwa ili kuacha ujinga wake anabaki kuwapa kashifa polisi za kijinga,mwendawazimu