Chadema wakwepa mtego mwingine pwani

Chadema wakwepa mtego mwingine pwani

Hata Shetani hutumia (kiupotofu) maandiko ya Biblia to favour himself. mfano: "Kama kweli wewe ni mwana wa Mungu jirushe chini (down cliff) kwa kuwa imeendikwa Mungu hataacha mguu wako ujikwae" na kadhalika na kadhalika. Shetani ni roho, na roho haifanyi kazi bila mwili..hivyo kama Mungu atumiavyo watakatifu wake kwa kazi zake ndivyo na shetani pia hutumia watu waovu (agents of satan) kuendeleza uasi wake. So watch out whether you are being used by God or by satan!

La muhimu sana hilo.
 
kwa ghalama hizo hata zisizohitajika ni kweli lazima wafanye ufisadi hasa sasa nchi inaliwa kwa nyuma tuu!! nchi ya amani huwezi kutumia risasi za moto kuzuia maandamano ya amani tena kwa watu asio na silaha wala chochote zaidi ya vitambaa vyeupe labda kama we ni jambazi umevamia wasamalia wema tuu!:faint:
 
chonde chonde wana chadema. someni alama za nyakati. Kama nilivyowahi kusema huko nyuma chadema wametengeneza uadui na mamlaka inayotawala kwa hiyo wasitarajie mteremko katika mambo yao. Inapofikia unasusa hata sherehe za UHURU wa nchi yetu basi jua matokeo ya baadaye na ujiandae vilivyo.

Msitarajie kuwa watakaokufa na kuumia kwa sababu ya propaganda zenu za kuingia IKULU kwa nguvu ni raia wasio na hatia pekee bali hata viongozi , watoto ,wake na au mahawara wao pia yatawapata madhara. Kuweni waangalifu sana na mtii amri/ushauri wa mamlaka inayotawala. Kama kuna mambo hayaendi sawa basi tumieni njia za kistaarabu pamoja na kwenda mahatkamani kudai haki. Nabii SULEIMAN alisifika kwa HEKIMA na sio VISASI NA KUSUSA kike kike.

Chonde chonde, japo tunajua wazi kuwa KANISA lipo nyuma yenu lakini watanzania wapenda AMANI hatuko tayari kuona kikundi kidogo kikiharibu usalama na amani yetu.
siku ikifika hayo mahekalu na madhabahu wanayojifichia yatageuka kuwa ndiyo makaburi yenu na yao pia. Rwanda sio mbali na 1994 sio mbali pia. Tugeuke nyuma na tuangalie wapi tumejikwaa.

Naandika haya nikichelea kuwa pasije kusemwa: "HAPAKUWEPO WENYE HEKIMA NDIO MAANA TUMEANGAMIA".

Kama hekima yenyewe ni maneno kama haya, basi maana ya hekima siku hizi itakuwa imebadilika na kuwa kinyume cha maana yake ya asili.
 
Hivi mnalipwaga sh ngapi ku-post upuuzi huu?...Lakini hata hili nalo latosha kuwahadharisha kuwa,kwa wingi wenu,na kwa kuongezeka kwa kasi kubwa mno kwa uhitaji wa vichwa kama nyie kwa huyo bosi wenu anaewalipa,kutafanya bosi wenu afilisike upesi sana,...maana akiwalipa nyie aliowapandikiza JF,akilipia vichwa vyote anavyohitaji avijaze upuuzi tayari kwa matumizi kwenye Dowans,katiba mpya, Arusha crisis,kesi za chaguzi, migomo ya vyuo...on and on..and on....bado hajahonga sukari na bia kwa FFU,bado hajanunua radio stations za vijana (akina KB)...on..and on..and on..Du hazijaisha tuu..?Kwani unadhani haitaji pocket money atakayotumia huko ukimbizini when CHANGE arrives? Fungueni macho,ufalme wenu una dalili zote za kuanguka...maana "Any kingdom divided against itself will be ruined, and a house divided against itself will fall...." si umeona jinsi Msekwa na Makamba wanavyopingana utadhani hawaingii mlango mmoja pale lumumba?...si umeona baraza la mawaziri na kauli zao...Sitta na lake,Ngeleja na lake...Pinda na lake,Nahodha na lake...Time is here! wake up!!
FREEDOM IS COMING TOMORROW!!
garama zote hazifiki hata bilion moja, kwa hiyo sikitu
 
piga ua lakini haki itapatikana tu ngoja tumalize maombolezo
 
Nadhani hujui usemayo, usidhani kila mtu anataka kuingia ikulu tu! kama alivyo fanya kikwete, na ndiyo maana hataki kuona anaachia ngazi hata nchi ikimshinda! kwani lengo lake ni kukaa ikulu na si kuwatumikia wanachi.

Halafu wewe Tanzania ilipata uhuru wake lini na kutoka kwa nani? au unasherekea uhuru wa nchi isiyokuwapo? Please amka ndugu yangu kama kweli una hekima!

Ada ya mja kunena muungwana ni vitendo.
 
Back
Top Bottom