Chadema wakwepa mtego mwingine pwani

chonde chonde wana chadema. someni alama za nyakati. Kama nilivyowahi kusema huko nyuma chadema wametengeneza uadui na mamlaka inayotawala kwa hiyo wasitarajie mteremko katika mambo yao. Inapofikia unasusa hata sherehe za UHURU wa nchi yetu basi jua matokeo ya baadaye na ujiandae vilivyo.

Msitarajie kuwa watakaokufa na kuumia kwa sababu ya propaganda zenu za kuingia IKULU kwa nguvu ni raia wasio na hatia pekee bali hata viongozi , watoto ,wake na au mahawara wao pia yatawapata madhara. Kuweni waangalifu sana na mtii amri/ushauri wa mamlaka inayotawala. Kama kuna mambo hayaendi sawa basi tumieni njia za kistaarabu pamoja na kwenda mahatkamani kudai haki. Nabii SULEIMAN alisifika kwa HEKIMA na sio VISASI NA KUSUSA kike kike.

Chonde chonde, japo tunajua wazi kuwa KANISA lipo nyuma yenu lakini watanzania wapenda AMANI hatuko tayari kuona kikundi kidogo kikiharibu usalama na amani yetu.
siku ikifika hayo mahekalu na madhabahu wanayojifichia yatageuka kuwa ndiyo makaburi yenu na yao pia. Rwanda sio mbali na 1994 sio mbali pia. Tugeuke nyuma na tuangalie wapi tumejikwaa.

Naandika haya nikichelea kuwa pasije kusemwa: "HAPAKUWEPO WENYE HEKIMA NDIO MAANA TUMEANGAMIA".

Mashekh wanaouwa watu Somalia huwaoni au wasomali ni manyani sio watu hata wakifa ni sawa?
 
Maria Roza;

If its your right-Defend endless

If you have Reason-Speak It Out.

CCM ni zaidi ya Ukimwi-Ni hatari na adui mkubwa kwa maendeleo ya nchi yetu.

From the bottom of my heart-I hate Them
 
chonde chonde wana chadema. someni alama za nyakati. Kama nilivyowahi kusema huko nyuma chadema wametengeneza uadui na mamlaka inayotawala kwa hiyo wasitarajie mteremko katika mambo yao. Inapofikia unasusa hata sherehe za UHURU wa nchi yetu basi jua matokeo ya baadaye na ujiandae vilivyo.

Msitarajie kuwa watakaokufa na kuumia kwa sababu ya propaganda zenu za kuingia IKULU kwa nguvu ni raia wasio na hatia pekee bali hata viongozi , watoto ,wake na au mahawara wao pia yatawapata madhara. Kuweni waangalifu sana na mtii amri/ushauri wa mamlaka inayotawala. Kama kuna mambo hayaendi sawa basi tumieni njia za kistaarabu pamoja na kwenda mahatkamani kudai haki. Nabii SULEIMAN alisifika kwa HEKIMA na sio VISASI NA KUSUSA kike kike.

Chonde chonde, japo tunajua wazi kuwa KANISA lipo nyuma yenu lakini watanzania wapenda AMANI hatuko tayari kuona kikundi kidogo kikiharibu usalama na amani yetu.
siku ikifika hayo mahekalu na madhabahu wanayojifichia yatageuka kuwa ndiyo makaburi yenu na yao pia. Rwanda sio mbali na 1994 sio mbali pia. Tugeuke nyuma na tuangalie wapi tumejikwaa.

Naandika haya nikichelea kuwa pasije kusemwa: "HAPAKUWEPO WENYE HEKIMA NDIO MAANA TUMEANGAMIA".


Kama wewe ndio mwenye hekima katika familia yako, basi wazazi wako wamepata hasara.
 
chonde chonde wana chadema. someni alama za nyakati. Kama nilivyowahi kusema huko nyuma chadema wametengeneza uadui na mamlaka inayotawala kwa hiyo wasitarajie mteremko katika mambo yao. Inapofikia unasusa hata sherehe za UHURU wa nchi yetu basi jua matokeo ya baadaye na ujiandae vilivyo.

Msitarajie kuwa watakaokufa na kuumia kwa sababu ya propaganda zenu za kuingia IKULU kwa nguvu ni raia wasio na hatia pekee bali hata viongozi , watoto ,wake na au mahawara wao pia yatawapata madhara. Kuweni waangalifu sana na mtii amri/ushauri wa mamlaka inayotawala. Kama kuna mambo hayaendi sawa basi tumieni njia za kistaarabu pamoja na kwenda mahatkamani kudai haki. Nabii SULEIMAN alisifika kwa HEKIMA na sio VISASI NA KUSUSA kike kike.

Chonde chonde, japo tunajua wazi kuwa KANISA lipo nyuma yenu lakini watanzania wapenda AMANI hatuko tayari kuona kikundi kidogo kikiharibu usalama na amani yetu.
siku ikifika hayo mahekalu na madhabahu wanayojifichia yatageuka kuwa ndiyo makaburi yenu na yao pia. Rwanda sio mbali na 1994 sio mbali pia. Tugeuke nyuma na tuangalie wapi tumejikwaa.

Naandika haya nikichelea kuwa pasije kusemwa: "HAPAKUWEPO WENYE HEKIMA NDIO MAANA TUMEANGAMIA".

sawa dr makamba.
 
chonde chonde wana chadema. someni alama za nyakati. Kama nilivyowahi kusema huko nyuma chadema wametengeneza uadui na mamlaka inayotawala kwa hiyo wasitarajie mteremko katika mambo yao. Inapofikia unasusa hata sherehe za UHURU wa nchi yetu basi jua matokeo ya baadaye na ujiandae vilivyo.

Msitarajie kuwa watakaokufa na kuumia kwa sababu ya propaganda zenu za kuingia IKULU kwa nguvu ni raia wasio na hatia pekee bali hata viongozi , watoto ,wake na au mahawara wao pia yatawapata madhara. Kuweni waangalifu sana na mtii amri/ushauri wa mamlaka inayotawala. Kama kuna mambo hayaendi sawa basi tumieni njia za kistaarabu pamoja na kwenda mahatkamani kudai haki. Nabii SULEIMAN alisifika kwa HEKIMA na sio VISASI NA KUSUSA kike kike.

Chonde chonde, japo tunajua wazi kuwa KANISA lipo nyuma yenu lakini watanzania wapenda AMANI hatuko tayari kuona kikundi kidogo kikiharibu usalama na amani yetu.
siku ikifika hayo mahekalu na madhabahu wanayojifichia yatageuka kuwa ndiyo makaburi yenu na yao pia. Rwanda sio mbali na 1994 sio mbali pia. Tugeuke nyuma na tuangalie wapi tumejikwaa.

Naandika haya nikichelea kuwa pasije kusemwa: "HAPAKUWEPO WENYE HEKIMA NDIO MAANA TUMEANGAMIA".

Mambo yote mema yana gharama zake. Ndiyo maana YESU alikubali kuwambwa msalabani kumkomboa mwanadamu kutoka kwenye uonevu wa shetani.
 
chonde chonde wana chadema. someni alama za nyakati. Kama nilivyowahi kusema huko nyuma chadema wametengeneza uadui na mamlaka inayotawala kwa hiyo wasitarajie mteremko katika mambo yao. Inapofikia unasusa hata sherehe za UHURU wa nchi yetu basi jua matokeo ya baadaye na ujiandae vilivyo.

Msitarajie kuwa watakaokufa na kuumia kwa sababu ya propaganda zenu za kuingia IKULU kwa nguvu ni raia wasio na hatia pekee bali hata viongozi , watoto ,wake na au mahawara wao pia yatawapata madhara. Kuweni waangalifu sana na mtii amri/ushauri wa mamlaka inayotawala. Kama kuna mambo hayaendi sawa basi tumieni njia za kistaarabu pamoja na kwenda mahatkamani kudai haki. Nabii SULEIMAN alisifika kwa HEKIMA na sio VISASI NA KUSUSA kike kike.

Chonde chonde, japo tunajua wazi kuwa KANISA lipo nyuma yenu lakini watanzania wapenda AMANI hatuko tayari kuona kikundi kidogo kikiharibu usalama na amani yetu.
siku ikifika hayo mahekalu na madhabahu wanayojifichia yatageuka kuwa ndiyo makaburi yenu na yao pia. Rwanda sio mbali na 1994 sio mbali pia. Tugeuke nyuma na tuangalie wapi tumejikwaa.

Naandika haya nikichelea kuwa pasije kusemwa: "HAPAKUWEPO WENYE HEKIMA NDIO MAANA TUMEANGAMIA".

Siyo kosa lako ndugu yangu. Ni wachache mliobaki wenye mawazo mgando hamtatusumbua saana! mjiandae tu ndiyo siasa ya vyama vingi ndugu yangu. Mchumia juani hulia kivulini, CCM sasa hivi ni la kuvunda halitakaa lipate ubani. Chelewa chelewa utakuta mwana si wako!
 
Hawa ccm nimewachukia rasmi na majirani zangu ambao ni ccm nawachukia:frog::frog:

Haki ya mungu mimi jirani yangu aliye kimbelembele na CCM alikuja kuniomba ada ya watoto wake wa secondary nikamwambia akumbuke sera ya chadema(elimu bure mpaka form 6) pia ni mstaafu wa SU moja iliyo taabani ICU. hajalipwa pension wanadai 60 billion waliambiwa wasubiri election iishe,sasa wanasubiri Dowans kwanza,,imekuwa kama hisani wakati ni haki yao!!..anajuta kuifahamu klabu hiyo ya jembe na nyundo
 
Mapepo yakitaka kutoka yafanya vurugu kubwa hata kuangusha mtu chini nk,na kupiga kelele kubwa, mbona ccm wanafanya kama mapepo?! Ebu tuwaulize , je mko wangapi?
 
Chonde chonde, japo tunajua wazi kuwa KANISA lipo nyuma yenu lakini watanzania wapenda AMANI hatuko tayari kuona kikundi kidogo kikiharibu usalama na amani yetu.
siku ikifika hayo mahekalu na madhabahu wanayojifichia yatageuka kuwa ndiyo makaburi yenu na yao pia. Rwanda sio mbali na 1994 sio mbali pia. Tugeuke nyuma na tuangalie wapi tumejikwaa.

HIVI KAGUMYAMUHETO KUSHUKA KWA THAMANI KWA SHILINGI, KULIPA UMEME BEI JUU ZAIDI, NA KUONGEZEKA UGUMU WA MAISHA KWA KASI ZAIDI KUNAHUSIANAJE NA MSIKITI NA KANISA?
UNDERPERFORMANCE YA CCM NDIO INENDELEA KUTUONGEZEA UGUMU WA MAISHA, JE NDIO UISLAMU UNAVYOTAKA?
UFISADI WA DOWANS, RICHMOND, EPA, MEREMETA, KIWIRA, E.T.C NDIO VINAVYOHUBIIRIWA NA UISLAMU?
TAFADHALI SANA NDUGU USIINGIZE KISINGIZIO (SCAPEGOAT) CHA DINI KATIKA KUHALALISHA UCHAFU WA CCM
 
KAGUMYAMUHETO WADINI NI CCM AU CHADEMA?????????????/

CCM yaomba radhii kwa kuingiza Udini uchaguzi mkuu
@import "http://www.mwanakijiji.com/mambots/content/plugin_jw_ajaxvote/css/ajaxvote.css";
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
(0 votes)

Written by Habari Leo Tuesday, 04 January 2011
ccmlogo.gif
KATIKA kuonesha uungwana na ukomavu wa kisiasa, Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwa niaba ya CCM na Serikali yake, amewaomba radhi viongozi wa dini nchini kutokana na kauli kinzani zilizotolewa na baadhi ya wagombea wa chama hicho mwaka jana. Wagombea hao katika uchaguzi wa mwaka jana, walitoa kauli mbalimbali zilizokinzana na imani za dini zao. Pinda aliwaomba radhi viongozi hao wa dini nchini kote jana kupitia kikao cha pamoja chake, viongozi hao na baadhi ya wazee maarufu wa hapa kilichofanyika kwenye ukumbi wa Libori. Alisema uchaguzi mkuu uliopita haukuwa laini kama ilivyotarajiwa … ulikuwa na changamoto nyingi zikiwamo tofauti za kimtazamo na kiimani, hivyo kwa yaliyojitokeza ya baadhi ya wagombea kugusa imani za dini za watu, halikuwa lengo lao kufanya hivyo na "tunaomba mtusamehe kwa yote yaliyojitokeza na kukwaza imani za dini zenu.

"Hali hiyo si kwamba ilijitokeza tu Sumbawanga ... najua tulimkwaza Mhashamu Baba Askofu (Damian Kyaruzi), tulikejeli imani ya dini yake, tunaomba radhi, mimi naomba radhi kwa
niaba ya CCM na Serikali.

"Si hapa tu lakini ni maeneo mengi nchini kama vile majimbo ya uchaguzi ya Hai na Same, ambako baadhi ya wagombea katika kuomba kura ya ndiyo walilazimika kutumia baadhi ya maneno yanayotumika katika Injili ya Mateso," alisisitiza Waziri Mkuu.

Alisema kutokana na hali iliyojitokeza CCM na Serikali wamepata fundisho, na katika uchaguzi ujao, aliomba viongozi wa dini, Serikali na vyama vya siasa, wakae pamoja kuweka angalizo ili wagombea wajiepushe na kejeli dhidi ya imani za dini za wengine na kuwasihi viongozi hao nchini kuanza ukurasa mpya na kutumia muda mwingi kuhamasisha maendeleo.

Akizungumzia rushwa, alikiri kukithiri katika uchaguzi mkuu huo na kuongeza kuwa ipo haja ya kuangalia upya mfumo wa uchaguzi kuanzia ndani ya CCM ambayo inajiandaa kwa uchaguzi wa viongozi wake mwakani kuhakikisha haitoi mianya ya rushwa na viongozi wa dini na wazee wakemee kwa nguvu zote rushwa.

"Rushwa ni rushwa tu, hakuna haja ya kusema kuna ndogo, hata mtu anapotaka kutimiza haja zake fulani kwa kutoa kitu kidogo ni rushwa ... pia kwa mgombea anapotoa doti ya khanga ili apigiwe kura, ni tatizo hivyo naiomba CCM ibadilike, najua ni jambo gumu lakini lazima tupigane nalo kikamilifu ... wagombea nao tabu tu, hasa kwenye chama safari hii tujirekebishe," aliasa.

Akishukuru, Mwenyekiti wa Umoja wa Makanisa ya Kikristo Tanzania Mkoa wa Rukwa, Mchungaji Israel Moshi, alisema madhebu ya dini yamesamehe, na viongozi wanapaswa kusamehewa, kwani wote ni binadamu na wanapaswa kusameheana kwa ajili ya maendeleo ya Rukwa na Taifa kwa jumla.

Akitoa mchango wake, Mhashamu Baba Askofu wa Anglikana Jimbo la Sumbawanga,
Marco Badeleya, alizungumzia Katiba mpya na kumpongeza Rais Jakaya Kikwete kwa kusikia kilio cha Watanzania juu ya kupata Katiba hiyo lakini akashauri kamati itakayoratibu upatikanaji wa Katiba hiyo, iundwe na watu waadilifu itakayoridhisha na kukidhi matarajio ya Watanzania.

Baadhi ya wachunguzi wa masuala ya siasa wameipongeza hatua ya Pinda kuwa muwazi na kukubali udhaifu kwa kuomba radhi na kusema hiyo ni njia ya kujenga utangamano katika jamii lakini pia kutambua mtu alikojikwaa na kujirekebisha.
 
NDUGU KAGUMYAMUHETO HIVI NDIVYO UNAVYOSINGIZIA UISLAMU UNAVYOTAKA. WEWE NI KAFIRI MKUBWA KWA KWA KUUSINGIZIA UBAYA UISLAMU INDIRECTLY????????


Wanasheria wajipanga kupinga malipo kwa Dowans
@import "http://www.mwanakijiji.com/mambots/content/plugin_jw_ajaxvote/css/ajaxvote.css";
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
(7 votes)

Written by Majira Friday, 31 December 2010
dowanshq.jpg
Na John Danie (Majira) SAKATA ya malipo ya mabilioni ya walipa kodi kwa Kampuni ya Dowans limeingia katika hatua mpya baada ya jopo la wanasheria kuungana na kuanza kupitia vifungu vya sheria kwa lengo la kupinga hukumu hiyo iwapo itasajiliwa katika Mahakama Kuu ya Tanzania. Hoja ya wanasheria hao ni ya nne katika kupinga kile kinachotwa kuwa ni hukumu ya Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Migogoro ya Kibiashara ICC tangu kuibuka kwa madai hayo.


Hoja nyingine zilizowahi kutolewa ni uhalali wa kampuni husika ambayo inaelezwa kuwa ni hewa na wamiliki wake hawajulikani, uhalali wa kiasi kilichotajwa kuwa ni sh. bilioni 185 huku taarifa nyingine zikionesha kuwa ni dola milioni 64.2 karibu sawa na sh. bilioni 90 za Tanzania.

Hoja nyingine ni uhalali wa madai hayo kutangazwa kabla ya hukumu ya usuluhishi kusajiliwa katika Mahakama Kuu ya Tanzania kama inavyotakiwa kisheria, hali iliyosababsiha wananchi kuhusisha madai hayo na mbinu chafu za kifisadi.

Wakizungumza na Majira jana kwa sharti ya kutotajwa wala ofisi zao kwa madai kuwa itavuruga maandalizi yao, wanasehria hao walisema serikali ina nafasi kubwa kisheria kukwepa kulipa madai hayo kupitia Mahakama Kuu."Tayari kazi ya kupitia vifungu kadhaa vya sheria kuokoa nchi yetu na malipo haramu ya Dowans imeanza, tunasubiri tu wasajili tu maamuzi ya usuluhishi ili tuanze kazi.

Hadi sasa hatuna anayegharamia lakini tutajitolea kuonesha uzalendo wetu," alisema mtoa habari wetu.Wanasheria hao walisema hadi sasa kuna mambo makubwa manne yanayowapa uhakika kuwa suala hilo bado ni nyepesi kusitishwa kupitia Mahakama Kuu ya Tanzania.

Walitaja mambo hayo kuwa ni pamoja na uhalali wa Kampuni iliyouzwa kwa Dowans ya Richmond ambayo Kamati ya Bunge ilithibitisha pasipo shaka kuwa ni feki na haipo, hivyo kulazimu kuvunjwa kwa mkataba huo.

Sababu ya pili kwa mujibu wa wanasheria hao ni kifungu cha sheria kinachooruhusu madai dhidi ya mdai, (Counter Claim) inayohusisha Dowans na madai mbalimbali ya kodi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).Walisema kwa mujibu wa sheria hiyo, bado serikali inaweza kuomba tuzo hiyo kusikilizwa upya kwa kuwa kilichofanyika ni usuluhishi na si maamuzi ya Mahakama ya Rufaa.

Sababu nyingine ni kifungu cha 15 ya sheria za usuluhishi wa migogoro ya kibiashara za Tanzania kutoa haki kwa Mahakama Kuu kusitisha tuzo hiyo iwapo upande wowote utakuwa umekosea taratibu zinazotakiwa kwa mujibu wa sheria.

Katika hatua nyingine wanasheria hao wamezidi kumkalia kohoni Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema, na kuhoji jinsi alivyoweza kupitia na kutoa maamuzi ya haraka kuhusu malipo ya Dowans.Walisema yapo majalada mengi yanayosubiri maoni au maamuzi ya Jaji Werema lakini bado hajafanyiwa kazi.

"Lakini pia tuna shaka ni kwa nini Mwanasheria Mkuu wa Serikali apitie jalada hilo haraka na kutoa jibu kwa muda mfupi hata kabla ya tuzo kusajiliwa Mahakama Kuu."Yeye mwanasheria Mkuu ana majalada mengi yanayosubiri ushauri au maamuzi yake lakini hayajafanyiwa kazi, inakuwaje hii akaishughulikia haraka na kutoa jibu jepesi kiasi hicho?" alihoji mwansheria mwingine.Kwa mujibu wa sheria namba 15 ya usuluhishi wa migogoro ya kibiashara nchini ambayo Majira inayo nakala yake Mahakama Kuu ina mamlaka ya kusitisha malipo ya tuzo hiyo na kutoa nafasi kwa mdaiwa kuendelea na utaratibu mwingine wa kisheria.

Majira ilipofika Mahakama Kuu kujua iwapo Dowans imesajili hukumu hiyo ya ICC ili kutoa nafasi kwa hatua nyingine, Msajili wa Mahakama Kuu, Bw. Ignas Kitusi alisema hawajapokea tuzo hiyo.Alipoulizwa iwapo taratibu za Mahakama Kuu zinaruhusu mwanya kwa hukumu hiyo kusikilizwa upya alisema hawezi kuzungumzia suala la kisheria ambalo halipo na kuweka wazi kuwa wanashangaa wanaojadili kitu ambacho hakipo.

"Sisi kisheria bado hatuna hata habari na hiyo tuzo ya Dowans maana hautujaipata, hatuwezi kuzungumza kitu ambacho hakipo, sheria haibahatishi," alisema.
 
chonde chonde wana chadema. someni alama za nyakati. Kama nilivyowahi kusema huko nyuma chadema wametengeneza uadui na mamlaka inayotawala kwa hiyo wasitarajie mteremko katika mambo yao. Inapofikia unasusa hata sherehe za UHURU wa nchi yetu basi jua matokeo ya baadaye na ujiandae vilivyo.

Msitarajie kuwa watakaokufa na kuumia kwa sababu ya propaganda zenu za kuingia IKULU kwa nguvu ni raia wasio na hatia pekee bali hata viongozi , watoto ,wake na au mahawara wao pia yatawapata madhara. Kuweni waangalifu sana na mtii amri/ushauri wa mamlaka inayotawala. Kama kuna mambo hayaendi sawa basi tumieni njia za kistaarabu pamoja na kwenda mahatkamani kudai haki. Nabii SULEIMAN alisifika kwa HEKIMA na sio VISASI NA KUSUSA kike kike.

Chonde chonde, japo tunajua wazi kuwa KANISA lipo nyuma yenu lakini watanzania wapenda AMANI hatuko tayari kuona kikundi kidogo kikiharibu usalama na amani yetu.
siku ikifika hayo mahekalu na madhabahu wanayojifichia yatageuka kuwa ndiyo makaburi yenu na yao pia. Rwanda sio mbali na 1994 sio mbali pia. Tugeuke nyuma na tuangalie wapi tumejikwaa.

Naandika haya nikichelea kuwa pasije kusemwa: "HAPAKUWEPO WENYE HEKIMA NDIO MAANA TUMEANGAMIA".

All this is trash!
 
Shida kubwa tuliyonayo wapenzi wa ccm ni wepesi kusahau na wagumu kukumbuka hasa hasa ndugu yangu kagumyamuheto
 

Msitarajie kuwa watakaokufa na kuumia kwa sababu ya propaganda zenu za kuingia IKULU kwa nguvu ni raia wasio na hatia pekee bali hata viongozi , watoto ,wake na au mahawara wao pia yatawapata madhara. Kuweni waangalifu sana na mtii amri/ushauri wa mamlaka inayotawala. Kama kuna mambo hayaendi sawa basi tumieni njia za kistaarabu pamoja na kwenda mahatkamani kudai haki. Nabii SULEIMAN alisifika kwa HEKIMA na sio VISASI NA KUSUSA kike kike.
Wanachama,wapenzi,washabiki na viongozi wa CDM wana hekima na busara ya kutosha sana ndio maana walipooona kwamba idadi ya polisi ni kubwa bila sababu ya msingi wakaamua kuahirisha maandamo/mkutano


Chonde chonde, japo tunajua wazi kuwa KANISA lipo nyuma yenu lakini watanzania wapenda AMANI hatuko tayari kuona kikundi kidogo kikiharibu usalama na amani yetu.
Wewe na wenzako wote wenye mawazo kama haya mtaendelea kuwa na wivu na kubaki nyuma bila kusonga mbele maana kwa hakika KANISA lina nguvu kupita maelezo na hili mnalijua wazi na hakika kama kanisa kwa ujumla wake lingeamua Dk Slaa(Phd) awe rais wa nchi hii angekuwa tu come rain or sun,lakini halifanyi kazi hivyo.

siku ikifika hayo mahekalu na madhabahu wanayojifichia yatageuka kuwa ndiyo makaburi yenu na yao pia. Rwanda sio mbali na 1994 sio mbali pia. Tugeuke nyuma na tuangalie wapi tumejikwaa.
Madhabahu ya bwana hayawezi kuwa makaburi hata siku moja labda katika ndoto zenu!!!

Naandika haya nikichelea kuwa pasije kusemwa: "HAPAKUWEPO WENYE HEKIMA NDIO MAANA TUMEANGAMIA".
Si wewe wala hao waliokutuma ambaye na HEKIMA,pole sana lakini huo ndio ukweli wenyewe

 
chonde chonde wana chadema. Someni alama za nyakati. Kama nilivyowahi kusema huko nyuma chadema wametengeneza uadui na mamlaka inayotawala kwa hiyo wasitarajie mteremko katika mambo yao. Inapofikia unasusa hata sherehe za uhuru wa nchi yetu basi jua matokeo ya baadaye na ujiandae vilivyo.

msitarajie kuwa watakaokufa na kuumia kwa sababu ya propaganda zenu za kuingia ikulu kwa nguvu ni raia wasio na hatia pekee bali hata viongozi , watoto ,wake na au mahawara wao pia yatawapata madhara. Kuweni waangalifu sana na mtii amri/ushauri wa mamlaka inayotawala. Kama kuna mambo hayaendi sawa basi tumieni njia za kistaarabu pamoja na kwenda mahatkamani kudai haki. Nabii suleiman alisifika kwa hekima na sio visasi na kususa kike kike.

chonde chonde, japo tunajua wazi kuwa kanisa lipo nyuma yenu lakini watanzania wapenda amani hatuko tayari kuona kikundi kidogo kikiharibu usalama na amani yetu.
siku ikifika hayo mahekalu na madhabahu wanayojifichia yatageuka kuwa ndiyo makaburi yenu na yao pia. Rwanda sio mbali na 1994 sio mbali pia. Tugeuke nyuma na tuangalie wapi tumejikwaa.

naandika haya nikichelea kuwa pasije kusemwa: "hapakuwepo wenye hekima ndio maana tumeangamia".

ulaniwe kwa ushetani wako. Huu bado ni mwanzo tu chadema imekamilika na kwa kutumia nguvu ya umma itashugulikia haki inayoporwa na mamulaka dhalimu na kandamizi. Peleka ushauri wako kwa masultani waliokutuma
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom