Ilongailunga
JF-Expert Member
- Jan 18, 2012
- 1,388
- 895
Kama CHADEMA inataka kuwa sawa na CUF na ijaribu kumkaribisha EL ambaye amejaa tuhuma kila kona ya vyombo vya habari na midomoni mwa watz, CHADEMA itajiua yenyewe na kama mpango ndo hou wa kuanza kubeep tension ya wapenzi wa CDM hapa sio.
mbona hamtujuzi makosa yake? Au ni siasa za chuki? Dr. Slaa alimuhusisha na RICHMOND lakini EL alishatolea ufafanuzi ndani ya kikao halali cha chama. Naamin muda utaamua!