Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Ni wazi chadema mpaka leo hii ingawaje wamekuwa kwenye Siasa kwa muda sasa lkn bado hawaelewi jinsi ya kushinda Uchaguzi TZ na mambo gani ambayo huwafanya Watanzania wakichague Chama fulani!
Sasa hivi wamejikita kwenye Uchumi sijui mara CRDB wamepata hasara hapa mara sijui fedha mtaani hakuna, ngoja niwaambie mimi siyo political scientist lkn najua kwamba Mtanzania hapigi kura kwa kutegemea hali ya Uchumi, hata kama CRDB au sijui Benki gani, nini kupata hasara wakifirisika kabisa na kufungwa bado hakutakuwa na kura za kuindoa CCM Madarakani kwani wapiga kura wa TZ wako vijijini na huko maisha ya Mwanakijiji hayaathiriwi na hali Uchumi kama Benki inafungwa au haifungwi kama Meli zinajaa au hazijai Bandarini hilo halimfanyi Mtz kutokuipigia kura CCM kama ni hivyo basi Mlm.Nyerere angekuwa the most unpopular hapa Bongo lkn wapi ...
Hivyo fikirieni tena angalau Slaa alielewa kwa kiasi fulani na alikuwa anakwenda vizuri, lkn waliobakia wote ni wa kuombea Mungu tu, ni wajinga kama giza!
Sasa hivi wamejikita kwenye Uchumi sijui mara CRDB wamepata hasara hapa mara sijui fedha mtaani hakuna, ngoja niwaambie mimi siyo political scientist lkn najua kwamba Mtanzania hapigi kura kwa kutegemea hali ya Uchumi, hata kama CRDB au sijui Benki gani, nini kupata hasara wakifirisika kabisa na kufungwa bado hakutakuwa na kura za kuindoa CCM Madarakani kwani wapiga kura wa TZ wako vijijini na huko maisha ya Mwanakijiji hayaathiriwi na hali Uchumi kama Benki inafungwa au haifungwi kama Meli zinajaa au hazijai Bandarini hilo halimfanyi Mtz kutokuipigia kura CCM kama ni hivyo basi Mlm.Nyerere angekuwa the most unpopular hapa Bongo lkn wapi ...
Hivyo fikirieni tena angalau Slaa alielewa kwa kiasi fulani na alikuwa anakwenda vizuri, lkn waliobakia wote ni wa kuombea Mungu tu, ni wajinga kama giza!