CHADEMA wakiwa na Dr Slaa ndani ya Njombe

mchonga

JF-Expert Member
Dec 3, 2006
1,233
248
Rais wa Watu, mpenda haki Doctor wa ukweli, yuko ndani ya nyumba Mjini Njombe akitema cheche; kama kawaida watu kibao.

attachment.php
 
cdm hureeee. ila humu ndani ya jf kuna watu wamejiunga baada ya kuvuana magamba wanaudhi sana. someni thread zao then tazameni joining date. sana dr wa ukweli tupo pamoja for life.
 
Ndugu wadau kuna mkutano wa cdm hapa mjin hv sasa.crew nzima ya cdm,mbowe zito,sugu nk na rais wangu wa moyon dr wa ukwel dr slaa yupo hapo.anamwaga mambo.ila kabla mkutano haaujaanza ulitumwa mizinga miwili ya nyuki uwanjani.ila wananchi wenye utaalaam wao sawa na hao walituma wamewahamisha.
 
Mpenda zoe yupo jukwaan hv sasa.anaelezea kuhusu ccj na kufa kwake.ametoa list ya vigogo waliokuwa waasisi kutoka ccm na waliokuwa wajitoe ccm.yupo sita,mwakyembe na nape mnauye.
 
Ndugu wadau kuna mkutano wa cdm hapa mjin hv sasa.crew nzima ya cdm,mbowe zito,sugu nk na rais wangu wa moyon dr wa ukwel dr slaa yupo hapo.anamwaga mambo.ila kabla mkutano haaujaanza ulitumwa mizinga miwili ya nyuki uwanjani.ila wananchi wenye utaalaam wao sawa na hao walituma wamewahamisha.

mimi nilidhani wametuma nyukilia, kumbe nyuki?!

walishafanya hivyo kwa shibuda wakashindwa kila kitu kuanzia nyuki mpaka uchaguzi.
 
Asante sana kwa hii taarifa. Hao wanaccj si alisema wapo sita, mbona majina matatu tu!!!!!???
 
Mpendazoe anatema cheche, anasema NAPE, SITA, MWAKYEMBE na yeye ni miongoni mwa waliokua wameanzisha CCJ baada ya kuona CCM haijari masilahi ya Watanzania sasa anashangaa kwanini waliendelea kung'ang'ania huko kwenye magamba.
 
Kapanda kamanda silnde sauti ya simba mb wa mbozi.huwez amin polisi nao leo wanaitikia peoples power!.anapanda sugu sasa.kwanza anapiga free style.anauliza masela mpo!mnaniona mwanenu?anawaasa raia kusimamia na kutetea haki zao
 
Mpenda zoe yupo jukwaan hv sasa.anaelezea kuhusu ccj na kufa kwake.ametoa list ya vigogo waliokuwa waasisi kutoka ccm na waliokuwa wajitoe ccm.yupo sita,mwakyembe na nape mnauye.

Hajamtaja Makonda wa Kilimanjaro. Je na yale mamilioni waliopewa kutoka nje na kuwekwa na mtoto wa Sitta?
 
Lazima kieleweke Mwaka huu. Kikwete si alisema ni chama cha msimu! Basi huu msimu wa chadema uko miaka yote.

Toa elimu Chadema. Mafisadi a.k.a Wazee wa CCJ lazima waikubali hii kasi.
 
Asante sana mkuu, endelea kutupa upate.
Kama inawezekana tushushie na foto na sisi tushiriki huo mkutano.
 
hivi kuendelea kuendelea kuzungumzia habari za ccj na walioanzisha kuna tija gani? kama hao anawataja wangehamia chama hicho c ingekuwa haki yao tu ya kikatiba kama yeye Fred alivohamia cdm? nadhani wajikite kuelezea mikakati/sera zao kuelekea kuleta maendeleo na kuwafungua wana njombe na watz in general haja ya mabadiliko.
 
Asante sana kwa hii taarifa. Hao wanaccj si alisema wapo sita, mbona majina matatu tu!!!!!???

mkuu ni baathi tu mda ni kidogo,pia mkutano ulichelewa kuanza.sababu ni kuwa walikwenda kata ya kifanya.walipokuwa wanarud wamekuta viro vilivyojazwa udöngo vimejazwa barabaran.hvyo kukawa na kazi ya kuvipangua kwanza.vimemwagwa fuso zima
 
haha,..
chama cha majini (ccm)
chama cha majambazi
chama cha majinga
chama cha misamaha
chama cha misele
chama cha mizaha
chama cha majungu
chama cha majuha
chama cha malimbukeni
chama cha .....

duh,...malizieni wenyewe
 
Back
Top Bottom