johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,961
- 141,959
Nimewasoma makamanda humu mitandaoni wakipiga porojo eti uchifu ulifutwa, ulifutsa wapi?
Mbona akina Chifu Marealle bado wanahudumu?
Mbona Tundu Lisu wakati wa kampeni alisimikwa uchifu?
Mbona pale Kalenga Chifu Mkwawa bado anahudumu?
Nawakumbusha tu maana kwa sasa chadema wanaparamia tu kila mara Hamza mara Jaji yaani ni full kuhangaika.
Mungu ni mwema wakati wote!
Mbona akina Chifu Marealle bado wanahudumu?
Mbona Tundu Lisu wakati wa kampeni alisimikwa uchifu?
Mbona pale Kalenga Chifu Mkwawa bado anahudumu?
Nawakumbusha tu maana kwa sasa chadema wanaparamia tu kila mara Hamza mara Jaji yaani ni full kuhangaika.
Mungu ni mwema wakati wote!