CHADEMA, wakati Tundu Lissu anasimikwa uchifu kule Geita mlishangilia sana wala hamkusema uchifu ulifutwa

Nimewasoma makamanda humu mitandaoni wakipiga porojo eti uchifu ulifutwa, ulifutsa wapi?

Mbona akina Chifu Marealle bado wanahudumu?

Mbona Tundu Lisu wakati wa kampeni alisimikwa uchifu?

Mbona pale Kalenga Chifu Mkwawa bado anahudumu?

Nawakumbusha tu maana kwa sasa chadema wanaparamia tu kila mara Hamza mara Jaji yaani ni full kuhangaika.

Mungu ni mwema wakati wote!
Ww n kiima
 
Nimewasoma makamanda humu mitandaoni wakipiga porojo eti uchifu ulifutwa, ulifutsa wapi?

Mbona akina Chifu Marealle bado wanahudumu?

Mbona Tundu Lisu wakati wa kampeni alisimikwa uchifu?

Mbona pale Kalenga Chifu Mkwawa bado anahudumu?

Nawakumbusha tu maana kwa sasa chadema wanaparamia tu kila mara Hamza mara Jaji yaani ni full kuhangaika.

Mungu ni mwema wakati wote!
Hkuna cifu mwanamke .hiyo ni batili
 
Hkuna cifu mwanamke .hiyo ni batili
HISTORIA: MFAHAMU MWAMI THERESA NTARE VI, CHIFU WA KWANZA MWANAMKE > Alikuwa Kiongozi wa Jamii ya Heru huko Kasulu na alishika wadhifa wa Mkuu wa Machifu Tanganyika kutoka kwa Chifu Petro Itosi Marealle 1958 Kufahamu zaidi, soma - https://jamii.app/TheresaChifuMwanamke… #JFHistoria
 
Nimewasoma makamanda humu mitandaoni wakipiga porojo eti uchifu ulifutwa, ulifutsa wapi?

Mbona akina Chifu Marealle bado wanahudumu?

Mbona Tundu Lisu wakati wa kampeni alisimikwa uchifu?

Mbona pale Kalenga Chifu Mkwawa bado anahudumu?

Nawakumbusha tu maana kwa sasa chadema wanaparamia tu kila mara Hamza mara Jaji yaani ni full kuhangaika.

Mungu ni mwema wakati wote!
Hivi huko CCM hakuna mtu mwenye uelewa/udhubutu wa kuhoji mambo? Maana kila anayehoji mambo ya serikali lazima ahusishwe na CHADEMA
 
Nimewasoma makamanda humu mitandaoni wakipiga porojo eti uchifu ulifutwa, ulifutsa wapi?

Mbona akina Chifu Marealle bado wanahudumu?

Mbona Tundu Lisu wakati wa kampeni alisimikwa uchifu?

Mbona pale Kalenga Chifu Mkwawa bado anahudumu?

Nawakumbusha tu maana kwa sasa chadema wanaparamia tu kila mara Hamza mara Jaji yaani ni full kuhangaika.

Mungu ni mwema wakati wote!
Ishu ni je ulishawahi kumuona chief mwanamke?
 
Nimewasoma makamanda humu mitandaoni wakipiga porojo eti uchifu ulifutwa, ulifutsa wapi?

Mbona akina Chifu Marealle bado wanahudumu?

Mbona Tundu Lisu wakati wa kampeni alisimikwa uchifu?

Mbona pale Kalenga Chifu Mkwawa bado anahudumu?

Nawakumbusha tu maana kwa sasa chadema wanaparamia tu kila mara Hamza mara Jaji yaani ni full kuhangaika.

Mungu ni mwema wakati wote!
Hahahah
 
Ishu ni je ulishawahi kumuona chief mwanamke?
HISTORIA: MFAHAMU MWAMI THERESA NTARE VI, CHIFU WA KWANZA MWANAMKE > Alikuwa Kiongozi wa Jamii ya Heru huko Kasulu na alishika wadhifa wa Mkuu wa Machifu Tanganyika kutoka kwa Chifu Petro Itosi Marealle 1958 Kufahamu zaidi, soma - https://jamii.app/TheresaChifuMwanamke… #JFHistoria
 
Nimewasoma makamanda humu mitandaoni wakipiga porojo eti uchifu ulifutwa, ulifutsa wapi?

Mbona akina Chifu Marealle bado wanahudumu?

Mbona Tundu Lisu wakati wa kampeni alisimikwa uchifu?

Mbona pale Kalenga Chifu Mkwawa bado anahudumu?

Nawakumbusha tu maana kwa sasa chadema wanaparamia tu kila mara Hamza mara Jaji yaani ni full kuhangaika.

Mungu ni mwema wakati wote!
Hili jamaa likishalewa ulanzi linaandika ujinga,,kwa hyo ni mwanamke
 
Back
Top Bottom