Chief Hangaya (Madam President/Mama wa kuupiga mwingi)Sjawahi kusikia chif mwanamke haya nayo ni maigizo
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Chief Hangaya (Madam President/Mama wa kuupiga mwingi)Sjawahi kusikia chif mwanamke haya nayo ni maigizo
Mmh huu uchifu wa Chifu Hanganya uhakikiwe.Chief Hangaya, kapewa jana pale viwanja vya Red Cross-Mwanza!
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Duh kweli aisee.Bavicha hamjui historia ndio sababu hadi leo bado mnadai uhuru!
Ww n kiimaNimewasoma makamanda humu mitandaoni wakipiga porojo eti uchifu ulifutwa, ulifutsa wapi?
Mbona akina Chifu Marealle bado wanahudumu?
Mbona Tundu Lisu wakati wa kampeni alisimikwa uchifu?
Mbona pale Kalenga Chifu Mkwawa bado anahudumu?
Nawakumbusha tu maana kwa sasa chadema wanaparamia tu kila mara Hamza mara Jaji yaani ni full kuhangaika.
Mungu ni mwema wakati wote!
Hkuna cifu mwanamke .hiyo ni batiliNimewasoma makamanda humu mitandaoni wakipiga porojo eti uchifu ulifutwa, ulifutsa wapi?
Mbona akina Chifu Marealle bado wanahudumu?
Mbona Tundu Lisu wakati wa kampeni alisimikwa uchifu?
Mbona pale Kalenga Chifu Mkwawa bado anahudumu?
Nawakumbusha tu maana kwa sasa chadema wanaparamia tu kila mara Hamza mara Jaji yaani ni full kuhangaika.
Mungu ni mwema wakati wote!
HISTORIA: MFAHAMU MWAMI THERESA NTARE VI, CHIFU WA KWANZA MWANAMKE > Alikuwa Kiongozi wa Jamii ya Heru huko Kasulu na alishika wadhifa wa Mkuu wa Machifu Tanganyika kutoka kwa Chifu Petro Itosi Marealle 1958 Kufahamu zaidi, soma - https://jamii.app/TheresaChifuMwanamke… #JFHistoriaHkuna cifu mwanamke .hiyo ni batili
Hivi huko CCM hakuna mtu mwenye uelewa/udhubutu wa kuhoji mambo? Maana kila anayehoji mambo ya serikali lazima ahusishwe na CHADEMANimewasoma makamanda humu mitandaoni wakipiga porojo eti uchifu ulifutwa, ulifutsa wapi?
Mbona akina Chifu Marealle bado wanahudumu?
Mbona Tundu Lisu wakati wa kampeni alisimikwa uchifu?
Mbona pale Kalenga Chifu Mkwawa bado anahudumu?
Nawakumbusha tu maana kwa sasa chadema wanaparamia tu kila mara Hamza mara Jaji yaani ni full kuhangaika.
Mungu ni mwema wakati wote!
Ishu ni je ulishawahi kumuona chief mwanamke?Nimewasoma makamanda humu mitandaoni wakipiga porojo eti uchifu ulifutwa, ulifutsa wapi?
Mbona akina Chifu Marealle bado wanahudumu?
Mbona Tundu Lisu wakati wa kampeni alisimikwa uchifu?
Mbona pale Kalenga Chifu Mkwawa bado anahudumu?
Nawakumbusha tu maana kwa sasa chadema wanaparamia tu kila mara Hamza mara Jaji yaani ni full kuhangaika.
Mungu ni mwema wakati wote!
Nimewahi kwa kupitia historia!Ishu ni je ulishawahi kumuona chief mwanamke?
HahahahNimewasoma makamanda humu mitandaoni wakipiga porojo eti uchifu ulifutwa, ulifutsa wapi?
Mbona akina Chifu Marealle bado wanahudumu?
Mbona Tundu Lisu wakati wa kampeni alisimikwa uchifu?
Mbona pale Kalenga Chifu Mkwawa bado anahudumu?
Nawakumbusha tu maana kwa sasa chadema wanaparamia tu kila mara Hamza mara Jaji yaani ni full kuhangaika.
Mungu ni mwema wakati wote!
Swali zuriIshu ni je ulishawahi kumuona chief mwanamke?
Chief gani?Nimewahi kwa kupitia historia!
sasa mbona katangaza kwenye vikao vya siri kwamba hatogombea 2025 , hajiamini ?
Theresa wa akina Zitto Kabwe!Chief gani?
HISTORIA: MFAHAMU MWAMI THERESA NTARE VI, CHIFU WA KWANZA MWANAMKE > Alikuwa Kiongozi wa Jamii ya Heru huko Kasulu na alishika wadhifa wa Mkuu wa Machifu Tanganyika kutoka kwa Chifu Petro Itosi Marealle 1958 Kufahamu zaidi, soma - https://jamii.app/TheresaChifuMwanamke… #JFHistoriaIshu ni je ulishawahi kumuona chief mwanamke?
Theresa wa akina Zitto Kabwe!
Inasemekana ikuwepo Singida. Aliendesha kikao na wajerumani akiwa amekaa juu ya mkuki.Hivi ni kabila gani waliwahi kuwa na Chifu mwanamama ?
Hili jamaa likishalewa ulanzi linaandika ujinga,,kwa hyo ni mwanamkeNimewasoma makamanda humu mitandaoni wakipiga porojo eti uchifu ulifutwa, ulifutsa wapi?
Mbona akina Chifu Marealle bado wanahudumu?
Mbona Tundu Lisu wakati wa kampeni alisimikwa uchifu?
Mbona pale Kalenga Chifu Mkwawa bado anahudumu?
Nawakumbusha tu maana kwa sasa chadema wanaparamia tu kila mara Hamza mara Jaji yaani ni full kuhangaika.
Mungu ni mwema wakati wote!
Kwani wewe ni mwanamme?!!Hili jamaa likishalewa ulanzi linaandika ujinga,,kwa hyo ni mwanamke