kWANI UWIANO WA WABUNGE SASA HIVI UKOJE? Na kama watafuata uwiano huo, je CCM itapata wabunge wangapi na Upinzania watakapata wabunge wangapi. Na hao wabunge wa Upinzani je ni lazima watoke CDM au watatoka upinzani wowote kama ambavyo Bunge lilivyowahi kugeuza utaratibu wa kuwachagua wajumbe wa upinzani kwenye kamati zake ili kufurahisha chama tawala.
[SIZE=31. Any question that may arise whether any person is an elected member of the Assembly or whether any seat on the Assembly is vacant [U]shall be determined by the institution of the Partner State that determines questions of the election of members of the National Assembly[/U] responsible for the election in question
[/B][/COLOR]Kwenye undeline hiyo institution ni High Court of Tanzania
Nawasilisha.
[/SIZE]
Kama mwongozo wa EAC unasema hivyo ni dhahiri Mahakma ya Jumuia itatengua maamuzi ya Bunge letu. Hivi kwa nini tunapenda kupata aibu hivi kila wakati? CCM hakuna aliyebaki mwenye ufahamu timamu akasimama na kuelekeza wenzake?
Kweli kumbe kifo kikifika hakuna wa kukizuia. CCM iliyokuwa moja ya vyama mahiri Africa iko ICU inapumulia gas na na mtungi wa gas umebaki robo na hakuna ziada.
kwani idadi ya wabunge wote wa upinzani hawafiki 70 ili kuwawezesha kupata 20% ili wapate wabunge
Najua mnajidanya kwa kufanya reference kwenye hukumu ya tarehe 31 Machi 2007 iliyotengua ubunge ea wabunge 9 wa Kenya kwenye bunge la EaC lililopita na Kenya kulazimika kuchagua tena.
Umechemka Mkuu. Hukumu ambayo inaweza kutumika kwenye kesi ya Chadema ni ile iliyotolewa dhidi ya Uganda mwaka jana. Case No. 6 of 2011. Katufute hiyo then isome.
Kesi ya CDM imeshachelewa mkuu, hakutakuwa na injuction kama Uganda, bali kutakuwa (if any) na kutengua matokeo.Umechemka Mkuu. Hukumu ambayo inaweza kutumika kwenye kesi ya Chadema ni ile iliyotolewa dhidi ya Uganda mwaka jana. Case No. 6 of 2011. Katufute hiyo then isome.
mkuu wabunge wa upinzani hawafiki 60 na ili waform 20% ya wabunge wote lazima wafike 70. Kwa sasa wanaform only 1% ya wabunge. Huo ndio ukweli mkuu.
Hiyo habari ya wabunge wa upinzania hawafiki 70 umeipata wapi? Una uhakika nayo? Umekuwa hata mvivu kwenda tovuti ya bunge kupata idadi kamili.
Kesi ya CDM imeshachelewa mkuu, hakutakuwa na injuction kama Uganda, bali kutakuwa (if any) na kutengua matokeo.
Ukweli ni kwamba, kwa Tanzania tuna proportionality based on sex,part of the union na party affilliation.Sasa CDM wamebase kwenye party affiliation as the only category, which is flimsy.
Mbona CUF wana mgombea nafasi ya wanawake?... kwanini CDM hawajamsimamisha mgombea upande wa wanawake?
Upande wa Zanzibar kuna wajumbe watatu pia. Na huko mkitaka mnaweza kusimamisha mgombea.
Halafu kutakuwa na nafasi nne zilizobakia, kwa sababu mgombea mmoja wa wanawake anatakiwa kutokea Zanzibar.
asilimia 75 ya nne ni Tatu, kwahiyo tatu CCM moja UPINZANI.
wakuu, kama kawaida, spika ana makinda amekataa mapendekezo yote yaliyopelekwa na wapinzani pursuant to EAC charter kuwa wabunge huchaguliwa kwa uwianao toka bunge la nchi husika. ameshilikia msimamo kuwa ni lazima wabunge 8 watoke ccm na wapinzani kiti kimoja. chadema ili kulinda charte ta EAC, na demokrasia katika ukanda huu wameamua rasmi kujitoa kwenye kinyanganyiro hicho. sasa wanakimbilia kwenye mahakama ya afrika mashariki kutafuta haki
mkuu wabunge wa upinzani hawafiki 60 na ili waform 20% ya wabunge wote lazima wafike 70. Kwa sasa wanaform only 1% ya wabunge. Huo ndio ukweli mkuu.