Chadema Waishukuru Polisi

Naama Mwiba, Maalim Seif anaendeleaje na mnofu wa ngurue alioamua kuisaidia CCM kutafuna huko yakhe?
yakhe maalim yupo katika kazi kwani kazi tuliyomtuma hajaimaliza na wewe kama shahidi ,angalia tu na utakuja kuona kuwa jamaa ni MasterMind wa kuiondoa CCM kwenye madaraka ,haya ya huku yawache kama yalivyo ,CUF inasema wameshaingiza mguu mmoja ndani ya Ikulu sasa wanapigania kuingiza wa pili.Kazi huko mnakogombea umeya !

Tahadhari kubwa kwa wale ambao mawazo yao yanamuona Maalim Seif kama aliyepewa au kutupiwa fupa,mtakuwa mnakosea sana ,Msimamo waake na wa Chama Chake ni kuhakikisha CCM inaondoka madarakani,mwanzo walikuwa CCM watupu ,sasa hayo ni baada ya kusukumwa na CUF ,hivyo nguvu za kusukuma bado zinaendelea na hatimae kama yalivyomashindano ya mueleka ni kumsukuma hadi kumtoa nje ya ulingo,na hapa walipo wanendelea kumsukuma hadi wanahakikisha wametupa nje.

Ila Chadema wacheni kupelekwa puta na CCM ,mkifanya mchezo mtanasa,nasema tena washukuruni polisi wamewatoa kwenye mdomo wa chewa,naamini viongozi wenu watakuwa wameshajua.
 
Ninawashangaa mnajadili jambo ambalo ni simple logic.

IGP kasema kuna taarifa za kiinteligentsia, kwamba, maandamano yakifanyika, kutakuwa na vurugu.

Baada ya kilometa mbili, Polisi wakaingilia kati! Vurugu zikatokea!

AMETHIBITISHA KAULI YAKE!

Sasa mnataka nini tena?

Eboooo?
 
Guyz, mnanichosha na comments zenu humu,
I cant spend the rest of the night keeping an eye to this post wakati nyote ni watu wazima na mnajua mnachokifanya.
Kama thread haijakufurahisha just simply ignore it na endelea na threads nyingine,
lakini kila mtu akitaka kutoa tusi analojua yeye humu kweli tutakuwa 'great thinkers'??
huna cha kuchangia-simply keep quiet.
Nashukuru
 
Taarifa za kiintelijinsia ni aina ya ushenzi unaotumika kutenda yaliyotokea Arusha. Mimi nitoe mfano. wakati wa kampeni ya uchaguzi wa Oktoba mwaka jana JK alifika Mbulu. Wakati alipoanza tu kuzangumza upuuzi wake watu walianza kuondoka uwanjani. Polisi walipoona hivyo wakaanza kurusha mabomu ya machozi. Niambieni, taarifa za kiintelijinsia kwanini hazikutumika kuzuia mkutano huo?watu walioanza kuondoka kwenye uwanja wa mkutano walikuwa wanavunja amani gani?kwanini mabomu ya machozi yalitumuka hapo Mbulu?

Acheni kuwadanganya Watanzania. Kilichotokea Arusha ni uhuni wa Serikali ya CCM kwamba kitendo cha wananchi kuendelea kukiunga mkono Chadema kinawaumiza sana vichwa. Wanapoona kwamba Dr. Slaa bado yupo katika mioyo wa Watanzania kinawazengua sana. Wanadhani kwa kitendo kilichofanyika Arusha watapunguza umaarufu wa Chadema. wanadhani Watanzania wataamini kuwa Dr. Slaa alichochea vurugu Arusha na hivyo hafai kuwa rais. Hata kama watasema nini ukweli unajulikana uko wapi.

Mwiba umeleta propaganda, tunashukuru kwa mawasilisho ya hoja za kipropaganda. ujue tunajua lengo lako ni nini.
 
HUYU MWIBA NI TAHIRA itakuaje uvunjaji wa amani uwe wa upinzani tu Mbona hatusikii jeshi la Polsi kuzima mikutano ya CCM na kuuwa watu Nyerere aliwaambia mupingane kwa hoja .
Usiwe Limbukeni ukaandika vitu humu Arusha isengekalika umesoma mpaka darasa la ngapi wewe kama huan cha kuandika kaa pembeni soma yanayoandikwa usiwe zumbukuku.
Hii style ya CCM ni kama shetani kila miaka kumi lazima wamwage damu na kisingizio kulinda amani walimwaga damu Pemba na Unguja January 2001 na leo hii wamamemua kumwaga damu Arusha , awalimwaga damu Musoma , Walimwaga damu pale MWembechai Masjid magomeni CCM inauwa Waislamu kwa Wakristo ni jinamilzi linalowamaliza watanzania.
 
Maskini pamoja na kuandika kote hakuna hata mtu mmoja aliedu ze niidifuli :washing::washing::washing::washing:
 



Huwezi kuwa na Mkuu wa ngazi ya juu kwa jinsi unavyoeneza pumba. Na kama kweli upo naye basi na yeye ni MPUMBAVU kama wewe.
Mauaji ya Arusha CCM walisababisha, kwahiyo kama kuna chama cha kufutwa ilitakiwa CCM ifutwe haraka iwezekanavyo.
 

WanaJF,

Post ya mwiba inatafsiriwa kama "Crap" na wengi wa wachangiaji, mimi naoana ametumia kejeli kidogo kuwasilisha ujumbe mzito.

Amesema analaani mauaji ya raia wasio na hatia. Hili halina shaka limo kwenye post yake...pia amekwenda mbali kusema wakati 2001 wapemba waliuwawa na hawa hawa Polisi wa serikali inayoilinda CCM na si wananchi. walipofanya mauaji wengi wa watu walifurahia waliona ni sawa tu waliyofanya Polisi wakati huo.

Vyama vyengine vinapoandamana, maoni yanayotolewa humu Jf yanaweza kukufanya ujiulize masuali mengi na usipate jawabu..wengine husema "vunja miguu", "vunja mikono hao", washikishe adabu hao nk.

Waswahili husema "ukimuona mwenzako ananyolewa, wewe tia maji!"
Kwa hiyo, wakati tunauchungu, tunaomboleza vifo vya Watznia wenzetu, pia tutafakari zaidi kuwa ushabiki wa kichama pekee, unatupeleka pabaya, kuna mambo ambayo yanamgusa kila raia, aliye Arusha, aliye Lindi, aliye Tanga, aliye Mbeya, aliye Pemba na kwa hivyo, linapotokea kama hili la Arusha inapasa tushikamane na kudai haki zetu.

kama nimemfahamu vyema Mwiba ni kuwa kama jamii ya Tz ingesimama kidete kutetea, kuunga mkono na kutetea haki za Raia waliouwawa Pemba 2001 leo Polisi na serikali ya CCM isingekuwa na jeuri hii waliyoifanya Arusha.

Badala ya kutupiana matusi, tuutafakari ujumbe wa Mwiba na tuufanyie kazi.
Tushikamane! na Haki ya Raia inapokanyangwa sote, tuhisi kuwa tumeonewa na tudai haki hiyo.

Na CCM na serikali yake haitaishia hapo,itaendeleza kumpiga nyundo kila ambaye anatishia maslahi yao.
kauli za NCCR, CUF nk ni mwanzo mzuri, vyama vinaanza kuona ukweli na taasisi nyengine za kiraia pia. sasa isiwe kwa hili tu.
 

Matokeo ya kutumia makalio kufikiri.
 

Sasa Mwiba intelligensia ya Chadema ambayo si lazima iwe sahihi inaonyesha kuwa polisi walijitungia hakukuwa na hatari yoyote ila ni CCM hawataki kuwa challenged kwa namna yoyote. Siasa za ubabe na ukandamizaji na matumizi ya nguvu ndiyo mtaji pekee walio baki nao baada ya kuishiwa na watu (hata wewe Mwiba deep down unajua huwapendi ila kwa ajili ya kazi na malipo ya usaliti inabidi uonyeshe kukubaliana). Sasa kama unapinga hili basi wewe bila shaka una taarifa ya kamili basi tupe data..
 
Mwiba umepoteza mwelekeo na credibility!
Habari za kiintelijensia zinaniambia kwamba unaishi kwa kutunga kubuni na kuzusha mambo na kuhisihisi bila kuwa objective!

Credibility ya kitu gani? tuchanganulie basi. Kwani si kila mtu ana haki ya kueleza maoni yake humu?
 
Tungekuwa na watu kumi tu wenye uelewa kama wako hapa JF tungelikuwa tumefika mbali ,ila kama uonavyo tuna mambutwai wababe na wajuaji na wenye urithi wa matusi kutoka wanakokujua,ahsante kwa kunifahamu kwa kina.
 
Mbona unaongea habari za kufikirika? Hata kama kulikuwa na habari za kiintelijensia, nguvu iliyotumika kuzuia mkutano wa chadema ikiwa imeambatana na marungu, risasi za moto, maguruneti ya nguvu, maji ya kusababisha raia wema wajikune strongly, askari waliojikoki kana kwamba wanaingia kwenye msitu wenye wanyama wakali, n.k; hivyo vyote visingalitosha kulinda hizo taarifa za "kiintelijensia"
My take:
Utumbo.:Cry:
 
Zile habari za kuchakachuwa wamiliki wa Dowans, ni za ki-inteligensia pia. Ebu pia wachukuwe mabomu maana ni za hatari mno.
 
Mwiba wewe ni mwanga,muuaji,jinamizi,matongotongo,uvundo,my foot,hayawani,mwanaharamu,najisi,Umechanyikiwa,mkuda wewe,chotara wewe,mla watu,damu ya kunguru wewe.Fakeni
 
Mwiba if you don't mind! please let me know where are you come from? coz it simce you are not Tanzanian then will get back to you with full dataz according to your Thread! Its total Craaaap please find another Thread.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…