Chadema Waishukuru Polisi

Mwiba,
Watanzania usiwageuze zezeta na wala kuendelea kuwapotosha wasio jua kilichokuwa kinaendelea. Hakuna cha taarifa ya inteligentia bali ni hofu tupu ya serikali iliyomfanya kumshinikiza IGP kutoa amri ambayo kwa mujibu wa SHERIA hakuwa na mamlaka yao. Serikali na kwa serikali ninamaanisha JK aliingiwa hofu kuwa Chadema itatumia nafasi hiyo kuzungumzia masuala mazito ya kitaifa(jambo ambalo ni haki
yetu kikatiba). Usalama uliohofiwa si wa Taifa bali wa JK na kundi lake, na kwa hofu hiyo tu wamepelekea umwagaji wa watanzania wasio na hatia. si kitu damu hiyo italia kwa Mwenyezi Mungu na hataacha kusikiliza kilio hicho kwa njia itakayompendeza YEYE.


Baba umenena big up;;tafadhali ukapumzike sasa ili utuandalie hotuba nzuri kesho tutakuja kwa wingi wetu kukusikiliza Raisi wetu laaa kucha mmbe kanyi,
 
Mwiba,
Watanzania usiwageuze zezeta na wala kuendelea kuwapotosha wasio jua kilichokuwa kinaendelea. Hakuna cha taarifa ya inteligentia bali ni hofu tupu ya serikali iliyomfanya kumshinikiza IGP kutoa amri ambayo kwa mujibu wa SHERIA hakuwa na mamlaka yao. Serikali na kwa serikali ninamaanisha JK aliingiwa hofu kuwa Chadema itatumia nafasi hiyo kuzungumzia masuala mazito ya kitaifa(jambo ambalo ni haki
yetu kikatiba). Usalama uliohofiwa si wa Taifa bali wa JK na kundi lake, na kwa hofu hiyo tu wamepelekea umwagaji wa watanzania wasio na hatia. si kitu damu hiyo italia kwa Mwenyezi Mungu na hataacha kusikiliza kilio hicho kwa njia itakayompendeza YEYE.

Dr. Slaa... ahsante

Kuna wanaharakati wa ukombozi na demokrasia kama wewe hapa duniani......Aung San Suu Kyi..... hebu soma kauli hii ya huyu mama na utoe angalau maoni yako


"governments must be chosen by the people and once in power must permit opposition. The basic principle of allowing people to voice views you disapprove of is alien to authoritarian regimes",


Aung San Suu Kyi...
 
Sijakuelewa hapa mbonaunaanza kujihami, usiwe kama kilaza mmoja pale thithiem (CHILIGATI)
Ingawa kuna watu humu watakuja na ujuwaji kulivyo wanavyojua,hao huwa nawaweka mkono wa kushoto na ni watu wa kupuuzwa,changamoto iliyopo ni uongozi wa juu kutafuta hizo habari za kiupelelezi kutoka kwa jeshi la polisi na kuwajua wabaya wao waliotaka kujichomeka ndani ya maandamano ili kujua ukweli wa mambo.Tugange yajayo yaliopita si ndwele ndivyo waswahili tusemavyo.[/QUOTE]

 
Jibu lake ni fupi. Na pia unanena vizuri. Chadema is big shock to CUF, CCM and evene Tanzanians. Ushindi wa viti 47 umewafanya watoe kucha zao walizozificha. Lakini pia wakati CUf wanakula matunda ya siasa za chuki na vurugu, Chadema nao wanasema ni wakati wao kujitengenezea mlo. Tatizo wanasahau kuwa Tanganyika sio Zanzibar, Upemba sio Uchaga lakini zaidi watangayika sio dini moja kama wapemba.....

KAMARADE
Member

Join Date
Wed Nov 2009
Posts
45
Thanks
6
Thanked 24 Times in 10 PostsRep Power
0


Wale wale wa uchaguzi...vibaraka wa mafisadi!
 
Mwiba,
Watanzania usiwageuze zezeta na wala kuendelea kuwapotosha wasio jua kilichokuwa kinaendelea. Hakuna cha taarifa ya inteligentia bali ni hofu tupu ya serikali iliyomfanya kumshinikiza IGP kutoa amri ambayo kwa mujibu wa SHERIA hakuwa na mamlaka yao. Serikali na kwa serikali ninamaanisha JK aliingiwa hofu kuwa Chadema itatumia nafasi hiyo kuzungumzia masuala mazito ya kitaifa(jambo ambalo ni haki
yetu kikatiba). Usalama uliohofiwa si wa Taifa bali wa JK na kundi lake, na kwa hofu hiyo tu wamepelekea umwagaji wa watanzania wasio na hatia. si kitu damu hiyo italia kwa Mwenyezi Mungu na hataacha kusikiliza kilio hicho kwa njia itakayompendeza YEYE.

Dr. unamweleza Mwiba mwendawazimu hatakuelewa, wala hiyo siyo hoja yake angalia michango yake yote ni ya kupotosha. Hata hivyo nashukuru kwa mchango wako utawafikia wengi wa Watanzania wenye nia ya kutaka kuelewa ukweli.

Nasisitiza kichwa habari si sahihi katika maudhui yake, watu wakutoa shukurani zao kwa Polisi ni Mwiba, JK na CCM kwa kufanikisha agenda yao ya ukandamizaji na mauaji.
 
umepoteza mwelekeo na credibility, umetoa thread mbovu na unakuja unaandika pumba tena au umegombana na mkeo asubuhi nini?

Wacheni Jazba ,muhimu ni kutafutwa walichokuwa nacho polisi ,jamani hasira hazijengi ,JF ni moja ya kiini zipatikanapo habari za kiintelejinsia ,sasa kale kaizi chetu ni lazima kapite huko kwenye vitalu vya habari za upelelezi ziwekwe hapa ,ikiwa Chadema na uongozi wao watashindwa kuzipata ,kama mnafahamu hili sio jambo jepesi ni lazima ukweli wa kilichokuwa kitendeke ambacho polisi walikihofia kielezwe ,nani atakieleza ,je Chadema wanazijua au wameshazijua ,au walipokamatwa walimegewa na sasa wamekaa kimya ,wengine wacheni kumwaga mavumba maana mna harufu mbaya ya midomo.
 
quote_icon.png
Originally Posted by Mwiba
Unafahamu jambo usilolijua ni kama usiku wa kiza,mambo ambayo yangetokea kama maandamano yangefanyika yangelipelekea Chadema kufutwa na pia wengi wa viongozi kuishia gerezani.

Majanga ambayo yangetokea kusingelikuwa na wa kumshika isipokuwa wahusika wangelikuwa ni Chama cha Chadema.Ni vizuri Chadema kutafuta ni habari gani polisi walikuwa nazo na ni akina nani walitayarisha mipango hiyo ya hatari,Je ni UVCCM au Ni WaChadema.

Habari za kiintelijensia ambazo polisi wamesema wanazo au walizipata bila ya wasiwasi wowote ule zingehatarisha usalama wa raia wengi kuliko inavyofikiriwa ,nionavyo ndio maana polisi wakalazimika kuzima maandamano kwa njia yeyote ile alimuradi nia ya waliokusudia uovu kutumia maandamano hayo zisifanikiwe.

Inawezekana kabisa habari hizo zikawa na ukweli au zikawa ni rummors zisizo na uthibitisho wowote ule, sasa inakuja kuja hali ya kudhibiti ni pale tunaposema ni bora kukinga kuliko kutibu,polisi wamekinga.

Ingawa kuna watu humu watakuja na ujuwaji kulivyo wanavyojua,hao huwa nawaweka mkono wa kushoto na ni watu wa kupuuzwa,changamoto iliyopo ni uongozi wa juu kutafuta hizo habari za kiupelelezi kutoka kwa jeshi la polisi na kuwajua wabaya wao waliotaka kujichomeka ndani ya maandamano ili kujua ukweli wa mambo.Tugange yajayo yaliopita si ndwele ndivyo waswahili tusemavyo.
MWIBA, UMENISIKITISHA SANA, SIAMINI MTU KAMA WEWE WAWEZA ANDIKA MAMBO YA AJABU KAMA HAYO KWANI KAZI YA POLICE ILIKUA NI KUZUIA MGOMO NA KUTUMIA SILAHA ZA MOTO NA KUUA WATU WASIO NA HATIA AU NI KUWAKAMATA WALIOKUWA NA MIPANGO MIBAYA AMBAYO NI UONGO TU WA POLICE NA JK.
 
Originally Posted by Dr.W.Slaa
Mwiba,
Watanzania usiwageuze zezeta na wala kuendelea kuwapotosha wasio jua kilichokuwa kinaendelea. Hakuna cha taarifa ya inteligentia bali ni
quote_icon.png
hofu tupu ya serikali iliyomfanya kumshinikiza IGP kutoa amri ambayo kwa mujibu wa SHERIA hakuwa na mamlaka yao. Serikali na kwa serikali ninamaanisha JK aliingiwa hofu kuwa Chadema itatumia nafasi hiyo kuzungumzia masuala mazito ya kitaifa(jambo ambalo ni haki
yetu kikatiba). Usalama uliohofiwa si wa Taifa bali wa JK na kundi lake, na kwa hofu hiyo tu wamepelekea umwagaji wa watanzania wasio na hatia. si kitu damu hiyo italia kwa Mwenyezi Mungu na hataacha kusikiliza kilio hicho kwa njia itakayompendeza YEYE.

THANK YOU MY PRESIDENT, DR SLAA YOU ARE LEADING US EVEN THOUGH YOU ARE NOT IN A STATE HOUSE. I SALUTE YOU SIR, AND GOD BLESS AND BE WITH YOU ALWAYS, YOU THE GREATEST WE HAVE.
 
Mwiba,
Watanzania usiwageuze zezeta na wala kuendelea kuwapotosha wasio jua kilichokuwa kinaendelea. Hakuna cha taarifa ya inteligentia bali ni hofu tupu ya serikali iliyomfanya kumshinikiza IGP kutoa amri ambayo kwa mujibu wa SHERIA hakuwa na mamlaka yao. Serikali na kwa serikali ninamaanisha JK aliingiwa hofu kuwa Chadema itatumia nafasi hiyo kuzungumzia masuala mazito ya kitaifa(jambo ambalo ni haki
yetu kikatiba). Usalama uliohofiwa si wa Taifa bali wa JK na kundi lake, na kwa hofu hiyo tu wamepelekea umwagaji wa watanzania wasio na hatia. si kitu damu hiyo italia kwa Mwenyezi Mungu na hataacha kusikiliza kilio hicho kwa njia itakayompendeza YEYE.

Ahsante Mheshimiwa,
Sasa nipo nawe katika yote hayo,na kwa upande wangu ni mzoefu wa harakati za kipolisi katika kuibadilisha haki kuwa batili,nakubaliana kabisa kuwa maandamano 100% ni ya kisheria baada ya kutoa taarifa polisi,anaekubali kufanywa zezeta ni yule asiefuatilia siasa za Tanzania tokea hapo mwanzo wa harakati za siasa za vyama vingi.

".... Jambo ambalo ni haki yetu kikatiba..." Msimamo huo nakubaliana nao ,sasa ile ruhusa inayoombwa na si ruhusa ni kuitaarifu polisi kama sikosei kuwa ,siku flani,saa flani katika uwanja kadhaa mtafanya mkutano au mtafanya maandamano na kupita njia flani na kuishia sehemu flani , na pengine kuomba ulinzi kutoka kwao,ili uwalindie mambo yenu.

Je polisi wanayo haki ya kukataa au hawana ? Nijuavyo polisi hawana haki ya aina yeyote ile zaidi ya kuwa wamepewa taarifa ni wajibu wao kutoa ulinzi na ndio kazi yao,sasa iwapo wamekataa na kutoa sababu wanazozijua wao kuwa wao ndio wahusika wakubwa wa ulinzi na hali ya hewa haibashirii kuwepo kwa usalama katika mambo mliokusudia kuyafanya ,tuchukulie hio ndio kauli yao,hamuoni kama hapa mnahitaji kukaa pamoja na kushauriana nao ni jinsi gani mtafanikisha mambo mliyoyandaa ?

Technical mnaweza kabisa kutumia mbinu za kujiunganisha au kuwaunganisha kana kwamba mnawashirikisha lakini sio lengo lenu kuwashirikisha ni kutumia ule msemo wa kila mtaka cha uvunguni ,sasa inapokuja wao wamekataa, wawe wameelekezwa kutoka juu au ni ukereketwa wao ,unahisi kuwatoa raia na kuwapeleka kwenye jambo ambalo kwa uwazi kabisa ni mapambano na unajua kuwa polisi ni kama majibwa ya kusakia , you give them order watafukuza na kushambulia tu,nafikiri kama mwenge tumia busara mungeliwezza kabisa kuwateka akili na mngepata gari moja ya polisi ikiwa mbele ya maandamano na nyingine zikiwepo nyuma.Ni akili tu inahitajika katika kuishi na serikali za aina hii.
 
Originally Posted by Dr.W.Slaa
Mwiba,
Watanzania usiwageuze zezeta na wala kuendelea kuwapotosha wasio jua kilichokuwa kinaendelea. Hakuna cha taarifa ya inteligentia bali ni
quote_icon.png
hofu tupu ya serikali iliyomfanya kumshinikiza IGP kutoa amri ambayo kwa mujibu wa SHERIA hakuwa na mamlaka yao. Serikali na kwa serikali ninamaanisha JK aliingiwa hofu kuwa Chadema itatumia nafasi hiyo kuzungumzia masuala mazito ya kitaifa(jambo ambalo ni haki
yetu kikatiba). Usalama uliohofiwa si wa Taifa bali wa JK na kundi lake, na kwa hofu hiyo tu wamepelekea umwagaji wa watanzania wasio na hatia. si kitu damu hiyo italia kwa Mwenyezi Mungu na hataacha kusikiliza kilio hicho kwa njia itakayompendeza YEYE.

THANK YOU MY PRESIDENT, DR SLAA YOU ARE LEADING US EVEN THOUGH YOU ARE NOT IN A STATE HOUSE. I SALUTE YOU SIR, AND GOD BLESS AND BE WITH YOU ALWAYS, YOU THE GREATEST WE HAVE.

please note, if dr slaa is leading as you said then he is leading you and the chademas only, i am not among them and he will never be the greatest to everyone because he is not for the interests of everyone
 
Mwiba,
Watanzania usiwageuze zezeta na wala kuendelea kuwapotosha wasio jua kilichokuwa kinaendelea. Hakuna cha taarifa ya inteligentia bali ni hofu tupu ya serikali iliyomfanya kumshinikiza IGP kutoa amri ambayo kwa mujibu wa SHERIA hakuwa na mamlaka yao. Serikali na kwa serikali ninamaanisha JK aliingiwa hofu kuwa Chadema itatumia nafasi hiyo kuzungumzia masuala mazito ya kitaifa(jambo ambalo ni haki
yetu kikatiba). Usalama uliohofiwa si wa Taifa bali wa JK na kundi lake, na kwa hofu hiyo tu wamepelekea umwagaji wa watanzania wasio na hatia. si kitu damu hiyo italia kwa Mwenyezi Mungu na hataacha kusikiliza kilio hicho kwa njia itakayompendeza YEYE.

Dr Slaa hivi kama ni kweli nia ilikuwa kuzungumza mambo mazito kama ulivyofanya mwembeyanga, kulikuwa na umuhimu gani wa kufanya maandamano ambayo yamekatazwa. Binafsi nina amini mkutano ulikuwa wa maana sana kuliko maandamano kwani dunia yote ingejua ulichozungumza.
Bado wewe nakutupia lawama nyingi 70% na polisi 30% kwa huo umwagaji damu. Ingawa wewe unajaribu kujitoa kuwa hukusababisha damu kumwagika lakini ukweli mbele ya mungu damu ya waliokufa iko juu yako kwa kukaidi mamlaka halali ambayo unaitambua. kumbuka katika hili suala la umwagaji damu fanya tafakari objectively badala ya subjectively. Naamini ukifanya hivyo na ukiwa umetulia chumbani kwako nafsi yako ndani itakusuta kiasi fulani cha 70% ambayo wewe na viongozi wenzio mmesababisha damu kumwagika
 
Back
Top Bottom